Membe amlipua Wenje
 Wakati Bunge likipitisha bajeti ya makadirio ya matumizi Sh191.91 bilioni ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa mwaka wa fedha 2014/15 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe, alitumia nafasi hiyo ‘kumchana’ Ezekiel Wenje na kusema kuwa anatumiwa na mataifa ya nje.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima04 Feb
Mbowe amlipua JK
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amemvaa Rais Jakaya Kikwete, akimtaka kuacha kutafuta huruma ya Watanzania juu ya suala la Katiba na badala yake atumie nafasi...
11 years ago
Tanzania Daima27 Feb
Dk. Slaa amlipua JK
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amemtaka Rais Jakaya Kikwete kujitokeza hadharani kuzungumzia rasimu ya siri ya Katiba inayodaiwa kuandaliwa na Chama Cha Mapinduzi...
11 years ago
TheCitizen11 Oct
Wenje criticises Magufuli
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Wenje amvaa Meya
MBUNGE wa Nyamagana jijini Mwanza, Ezekiel Wenje (CHADEMA), amemshambulia Meya wa jiji hilo, Stanslaus Mabula (CCM), akimuita ni mzigo aliyesababisha jiji kuwa na ukata mkubwa wa fedha za maendeleo. Alisema...
11 years ago
Tanzania Daima25 Jan
Wenje aonya makandarasi
MBUNGE wa Nyamagana, Ezekiel Wenje (CHADEMA), ametishia kuwachukulia hatua kali makandarasi watakaojenga miradi ya zahanati na wodi ya wazazi, inayotekelezwa na fedha za Mfuko wa Jimbo (CDCF), chini ya kiwango....
9 years ago
GPL
DIAMOND AMLIPUA WEMA
10 years ago
GPL
LUNGI AMLIPUA MASOGANGE
10 years ago
GPL
JOKATE AMLIPUA DIAMOND!
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Mgeja amlipua mkapa