Wenje adai visima havitoi maji
MBUNGE wa Nyamagana, Ezekiel Wenje (CHADEMA), amesema kuwa mradi wa uchimbaji wa visima vya maji kumi kila kijiji umekwama kwa asilimia 80 na hali hiyo inatokana na ufisadi mkubwa katika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV19 Aug
Visima vya maji Iringa vyatajwa kusababisha vifo
Kukithiri kwa visima vya maji katika eneo la Changalawe mjini Mafinga wilayani Mufindi mkoani Iringa kumetajwa kusababisha vifo visivyo vya lazima kwa wananchi kutokana na eneo hilo kutokuwa na huduma ya maji ya bomba.
Umuhimu wa huduma ya maji unawalazimu wakazi wa Changalawe kubuni njia mbadala ya kupata maji jirani kwa kuchimba visima nje ya nyumba zao jambo ambalo limetajwa kuhatarisha maisha mara kwa mara.
Baadhi ya visima hivyo vinaurefu zaidi ya futi 15 kwenda chini, jambo ambalo ni...
11 years ago
Michuzi31 Jul
MH. MAKALLA AKAGUA MIRADI YA VISIMA VYA MAJI MKURANGA
![](https://4.bp.blogspot.com/-LYrhx1PyvJ0/U9pucLRjeXI/AAAAAAAArYU/RkEVQ9jnpBY/s1600/Picture+001.jpg)
11 years ago
Mwananchi28 Jun
Dar hatarini kwa unga wa lishe, visima vya maji
10 years ago
MichuziTBL YATOA MSAADA WA VISIMA VYA MAJI ZANZIBAR NA MBAGALA
![](http://3.bp.blogspot.com/-sGDd74hOiZI/VCKCLkkJ18I/AAAAAAAAAFo/CtwEZNVhxy0/s1600/TBL%2B5.jpg)
11 years ago
Dewji Blog01 Aug
Naibu Waziri Makalla akagua Miradi ya Visima vya Maji Mkuranga
![](http://4.bp.blogspot.com/-LYrhx1PyvJ0/U9pucLRjeXI/AAAAAAAArYU/RkEVQ9jnpBY/s1600/Picture+001.jpg)
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla (kulia), akipata maelezo kutoka kwa kiongozi wa Mafundi wa Kampuni ya CDM Smith, John Donoherth, kuhusu ujenzi wa kisima kilichopo Mkwalia Mkuranga ambacho ni moja kati ya visima 8 vinavyofanyiwa utafiti maji wilayani humo. Makalla alifanya ziara ya kukagua miradi ya maji wilayani Mkuranga mkoani Pwani leo. Pia alikagua mradi wa kisima cha maji cha Nyamato chenye uwezo wa kutoa maji lita 26,000 kwa saa kitakachohudumia wakazi wa vijiji vya Mvuleni,...
10 years ago
GPLTBL YATOA MSAADA WA VISIMA VYA MAJI ZANZIBAR NA MBAGALA
10 years ago
Mwananchi23 Sep
Zaidi ya visima 19,000 vyashindwa kutoa maji kwa ukosefu wa umeme
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YATOA MSAADA WA VISIMA VYA MAJI SAFI NA SALAMA MKOANI SINGIDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-WuKigAmZbnA/U2eeQYPqxhI/AAAAAAAA-S4/fHvcQBosT3A/s1600/s11.jpg)