Zaidi ya visima 19,000 vyashindwa kutoa maji kwa ukosefu wa umeme
Deni la Sh13.5 bilioni limesababisha zaidi ya visima 19,000 kutotoa maji kutokana na kukosa umeme na kuathiri zaidi ya wananchi milioni nne.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo08 May
Vyama 10 vyashindwa kutoa taarifa kwa CAG
VYAMA 10 vya siasa kati ya 21 vyenye usajili wa kudumu, vimeshindwa kuwasilisha hesabu zao za vyama kwa Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa ajili ya ukaguzi. Kati ya hivyo, vyama 11 havikuwasilisha taarifa zao huku vinne vilivyokaguliwa havina akaunti ya benki.
11 years ago
Mwananchi28 Jun
Dar hatarini kwa unga wa lishe, visima vya maji
5 years ago
BBCSwahili26 May
Rusty Hutson: Mwanamume aliyekuwa milionea kwa kununua visima 60,000 vya mafuta na gesi
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
‘Usafishaji visima wachangia uhaba wa umeme’
SHIRIKA la Umeme Nchini (TANESCO), limesema tatizo la kukosekana kwa huduma ya umeme kwa baadhi ya maeneo kulikojitokeza wiki iliyopita kulisababishwa na usafishaji wa visima vya gesi ya Songosongo. Akizungumza...
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
Wenje adai visima havitoi maji
MBUNGE wa Nyamagana, Ezekiel Wenje (CHADEMA), amesema kuwa mradi wa uchimbaji wa visima vya maji kumi kila kijiji umekwama kwa asilimia 80 na hali hiyo inatokana na ufisadi mkubwa katika...
11 years ago
Habarileo30 Dec
‘Miradi ya umeme kwa maji kutoanzishwa’
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema serikali haitaanzisha miradi ya kufua umeme kwa njia ya maji nchini kutokana na nchi kukumbwa na ukame unaotokana na mabadiliko ya tabia nchi.
9 years ago
StarTV19 Aug
Visima vya maji Iringa vyatajwa kusababisha vifo
Kukithiri kwa visima vya maji katika eneo la Changalawe mjini Mafinga wilayani Mufindi mkoani Iringa kumetajwa kusababisha vifo visivyo vya lazima kwa wananchi kutokana na eneo hilo kutokuwa na huduma ya maji ya bomba.
Umuhimu wa huduma ya maji unawalazimu wakazi wa Changalawe kubuni njia mbadala ya kupata maji jirani kwa kuchimba visima nje ya nyumba zao jambo ambalo limetajwa kuhatarisha maisha mara kwa mara.
Baadhi ya visima hivyo vinaurefu zaidi ya futi 15 kwenda chini, jambo ambalo ni...
11 years ago
Michuzi31 Jul
MH. MAKALLA AKAGUA MIRADI YA VISIMA VYA MAJI MKURANGA
![](https://4.bp.blogspot.com/-LYrhx1PyvJ0/U9pucLRjeXI/AAAAAAAArYU/RkEVQ9jnpBY/s1600/Picture+001.jpg)
9 years ago
Habarileo07 Sep
Ukosefu wa umeme kukumba mikoa ya Gridi
BAADA ya kufika kwa gesi asilia jijini Dar es Salaam ikitokea Mtwara, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), itaingiza gesi hiyo katika mitambo yote ya umeme nchini, hivyo kuanzia leo kutakuwa na ukosefu wa umeme katika mikoa yote inayotumia Gridi ya Taifa.