Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Usafishaji visima wachangia uhaba wa umeme’

SHIRIKA la Umeme Nchini (TANESCO), limesema tatizo la kukosekana kwa huduma ya umeme kwa baadhi ya maeneo kulikojitokeza wiki iliyopita kulisababishwa na usafishaji wa visima vya gesi ya Songosongo. Akizungumza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Zaidi ya visima 19,000 vyashindwa kutoa maji kwa ukosefu wa umeme

Deni la Sh13.5 bilioni limesababisha zaidi ya visima 19,000 kutotoa maji kutokana na kukosa umeme na kuathiri zaidi ya wananchi milioni nne.

 

11 years ago

Michuzi

INDIA YAKABIDHI MASHINE YA USAFISHAJI DAMU MUHIMBILI

Serikali ya India imekabidhi msaada wa mashine ya kusafishia damu (hemodialysis) kwa Hospitali ya Taifa Muhimbili yenye thamani ya dola 15,000 za Marekani. Akikabidhi msaada huo, Balozi wa India hapa nchini Bw. Debnath Shaw amesema mashine hii itasaidia juhudi za hospitali katika kutoa huduma za usafishaji damu. Bw. Shaw amesema Serikali yake itaendelea kushirikiana na Serikali ya Tanzania na wa Wadau wa Sekta ya Afya kwa kupitia Mpango wa Ubia (Public Private Partnership-PPP) ili...

 

11 years ago

Michuzi

Shoti ya Umeme yasababisha Kukosekana Umeme Baadhi ya Maeneo Zanzibar leo

                     Hii ndio breaker liyoungua na kusabibisha maeneo ya mjini Ubguja kukosa umeme leo


 Mafundi kutoka ZECO wakiwa katika harakati za kutengeneza panel iliyoleta hitilafu za umeme na kupelekea maeneo yote ya mji wa Unguja kukosa umeme


Baada ya kukamilika kwa matengenezo


Kuamkia alfajiri ya leo ya tarehe 17/06/2014 maeneo yate ya mji wa Unguja na maeneo jirani ya mji wa Unguja yalikumbwa na ukosefu wa umeme uliotokea kuanzia majira ya saa 11 asubuhi hadi saa 7 mchana...

 

10 years ago

Michuzi

SHIRIKA LA UMEME TANESCO LAIBIWA NYAYA ZA UMEME KITUO CHA KIPAWA





Mhandisi  Emmanuel Manirabona akiwaeleza  wandishi wa habari kuhusu wizi wa nyaya za umeme zilizokuwa zinafungwa chini katika kituo cha kusafirishia na kupelekea umeme kilichopo kipawa jijini Dar es Salaam wakatialipowatembeza wandishi wa  habari kuangalia wizi uliotokea wa nyaya leo

Afisa mwandamizi makao makuu ya Tanesco Leni Kiobya  akiwaeleza wandishi wa habari kuhusu wizi wa nyaya za umeme zilizokuwa zinafungwa chini




Akiwaonyeshea wandishiwa habari moja ya nyaya  ambazo zilizokatwa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Abood apongezwa kuchimba visima

WANANCHI mkoani Morogoro wamempongeza Mbunge wao, Aziz Abood, kwa jitihada mbalimbali anazofanya ikiwemo kuhakikisha huduma ya maji inapatikana katika maeneo mbalimbali. Wakizungumza na Tanzania Daima jana, wananchi hao walisema tatizo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TBL yakabidhi visima 20 Misungwi

WAKAZI wilayani Misungwi, Mwanza wameondokana na  kero ya maji baada ya Kampuni ya Bia  Tanzania (TBL) kukarabati visima 20. Visima hivyo vilizinduliwa mwishoni mwa wiki na Waziri wa Maji, Profesa...

 

9 years ago

Vijimambo

Mitambo ya kuzalisha umeme wa gesi yawashwa., Inategemewa tatizo la kukatika umeme litafikia tamati kuanzia leo

Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema kazi ya kuunganisha mabomba ya gesi kutoka Kinyelezi I kwenda katika mitambo ya Ubungo I na II, jijini Dar es Salaam imekamilika.

Aidha, kazi ya kuwasha mashine 10 za mtambo wa Ubungo I imekamilika na inategemewa tatizo la kukatika umeme litafikia tamati kuanzia leo.

Akizungumza na Nipashe jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Uhusiano wa Tanesco, Adrian Severin, alisema kazi ya kuwasha mitambo hiyo inahitaji umakini mkubwa kutokana na mfumo unaotumika...

 

10 years ago

Habarileo

Visima vitano vyachimbwa jimbo la Makunduchi

Haroun Ali SuleimanVISIMA 5 vimechimbwa na kuanza kuzalisha majisafi na salama katika jimbo la Makunduchi na hivyo kuondoa tatizo la muda mrefu la ukosefu wa huduma hiyo.

 

10 years ago

Habarileo

Kigoma wafunga visima kudhibiti kipindupindu

 Mganga Mkuu wa mkoa Kigoma, Leonard SubiWAKATI ikielezwa kuwa ugonjwa wa kipindupindu bado unaendelea kuwasumbua wakazi wa mkoa Kigoma, kwa kuendelea kuwepo kwa wagonjwa wapya serikali imeanza kuchukua hatua kukabiliana na hali hiyo, ikiwemo kuvifunga baadhi ya visima vilivyokuwa vikitumiwa na wananchi kwa maji ya majumbani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani