Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


INDIA YAKABIDHI MASHINE YA USAFISHAJI DAMU MUHIMBILI

Serikali ya India imekabidhi msaada wa mashine ya kusafishia damu (hemodialysis) kwa Hospitali ya Taifa Muhimbili yenye thamani ya dola 15,000 za Marekani. Akikabidhi msaada huo, Balozi wa India hapa nchini Bw. Debnath Shaw amesema mashine hii itasaidia juhudi za hospitali katika kutoa huduma za usafishaji damu. Bw. Shaw amesema Serikali yake itaendelea kushirikiana na Serikali ya Tanzania na wa Wadau wa Sekta ya Afya kwa kupitia Mpango wa Ubia (Public Private Partnership-PPP) ili...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI YAFUNGA MASHINE TATU ZA KUSAFISHA DAMU

Hospitali ya Taifa Muhimbili, imefunga mashine tatu za kusafisha damu   katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana zenye thamani ya Shilingi Milioni 210.
Taarifa hiyo imetolewa leo Aprili 26, 2020 na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Umma wa Hospitali hiyo, Aminiel Aligaesha na kuongeza kuwa, Hospitali hiyo pia inatarajia kufunga mashine moja ya kumsaidia mgonjwa kupumua kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa waliopata maambukizi hayo.
"Tayari wagonjwa wanaohitaji kusafishwa damu wameanza kuhudumiwa ,...

 

5 years ago

Michuzi

MUHIMBILI KUFUNGA MASHINE TATU ZA KUSAFISHA DAMU HOSPITALI YA AMANA ILI KUHUDUMIA WAGONJWA WENYE MATATIZO YA FIGO WALIOAMBUKIZWA UGONJWA WA CORONA


Mojawapo ya mashine ya kusafisha damu kwa wagonjwa wa figo iliyofungwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana ambayo thamani yake ni TZS. 70 Mil.

Mashine ya kusaidia mgonjwa kupumua ambayo itafungwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana ambayo thamani yake ni TZS. 56 Mil.

Mtambo wa kuchuja maji (Portable RO System) kwenda kwenye mashine ya kusafisha damu wenye thamani ya TZS. 28 Mil uliofungwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana


Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imefunga mashine tatu za kusafisha damu...

 

9 years ago

Mtanzania

Muhimbili yaishiwa damu

BloodBanks-628x350Na Veronica Romwald, Dar es Salaam

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) inakabiliwa na upungufu mkubwa wa damu na kwa siku wanakusanya chupa 25 hadi 45 pekee, wakati mahitaji halisi ni chupa 70 hadi 100.

Akizungumza na MTANZANIA hospitalini hapo jana, Ofisa Uhusiano wa MNH, Neema Mwangomo, alisema upungufu huo ni sawa na asilimia 60.

“Mahitaji ya damu hapa hospitalini ni makubwa, tunakabiliwa na upungufu kwa asilimia 60. Ili yatosheleze tunahitaji kukusanya chupa 70 hadi 100 kwa siku lakini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Muhimbili yapokea mashine

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili imepokea msaada wa mashine yenye thamani ya sh milioni 24 kutoka Serikali ya India. Mashine hiyo itatumiwa na wagonjwa wenye matatizo ya figo waliopo katika wodi...

 

9 years ago

Mwananchi

Ukawa wajitolea damu Muhimbili

Wakati siku kuelekea Uchaguzi Mkuu zinazidi kukatika, baadhi ya wafuasi wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wametumia maadhimisho ya kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kuchangia damu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH).

 

10 years ago

Mtanzania

Muhimbili yakumbwa na uhaba wa damu

NA TUNU NASSOR , DAR ES SALAAM
HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) imekumbwa na uhaba wa damu hali ambayo imeulazimu uongozi wa hospitali hiyo kuomba msaada wa dharura kwa Serikali na watu binafsi.
Uongozi huo pia umewaomba Watanzania, mashirika ya umma, makampuni na watu binafsi kujitokeza kusaidia kuchangia damu kuokoa maisha ya wagonjwa wanaopelekwa katika hospitali hiyo.
Taarifa iliyotolewa jana na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Wateja, Aminiel Aligaesha, ilieleza kuwa kwa...

 

5 years ago

Michuzi

Muhimbili yawashukuru wachangiaji Damu



Kaimu Mkurugenzi wa Tiba Shirikishi Hospitali ya Taifa Muhimbili -Mloganzila Dkt. Lulu Sakafu akizungumza wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya uchangiaji damu duniani yenye kauli mbiu isemayo “damu salama, kwa wote” inayoadhimishwa Juni 14 kila mwakaAfisa Uhamasishaji Damu Bw. John Bigambalae akiwaelezea wananchi umuhimu wa kuchangia...

 

11 years ago

Habarileo

Benki ya KCB yakabidhi mashine kupimia wajawazito

KITUO cha Afya cha Makongoro, jijini hapa kimepokea msaada wa mashine ya Ultra Sound na Suction zenye thamani ya Sh milioni 15 kwa ajili ya kupimia wajawazito na wagonjwa wengine.

 

10 years ago

Mtanzania

Wafanyakazi Muhimbili walazimika kuchangia damu

TUNU NASSOR NA MWANTUMU SAADI,
DAR ES SALAAM
KUTOKANA na uhaba wa damu ulioikumba Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) wafanyakazi wa hospitali hiyo na ndugu wa wagonjwa, wamelazimika kuchangia damu kunusuru maisha ya wagonjwa .

Akizungumza na MTANZANIA Dar es Salaam jana, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Wateja wa hospitali hiyo, Aminieli Aligaesha, alisema wamelazimika kutumia wafanyakazi wa hospitali hiyo na ndugu wa wagonjwa kama chanzo cha ndani na kwa siku ya jana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani