INDIA YAKABIDHI MASHINE YA USAFISHAJI DAMU MUHIMBILI
![](http://3.bp.blogspot.com/-oMDmUBur960/U5bDOLlTr8I/AAAAAAAFpfk/Mj2saXVyPEg/s72-c/image011.jpg)
Serikali ya India imekabidhi msaada wa mashine ya kusafishia damu (hemodialysis) kwa Hospitali ya Taifa Muhimbili yenye thamani ya dola 15,000 za Marekani. Akikabidhi msaada huo, Balozi wa India hapa nchini Bw. Debnath Shaw amesema mashine hii itasaidia juhudi za hospitali katika kutoa huduma za usafishaji damu. Bw. Shaw amesema Serikali yake itaendelea kushirikiana na Serikali ya Tanzania na wa Wadau wa Sekta ya Afya kwa kupitia Mpango wa Ubia (Public Private Partnership-PPP) ili...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-qyEMYVG42YI/XqVMj6AEKkI/AAAAAAAC3-U/0ZenNmtGRV0XlRqkY6M5gbDBsMD0qFECgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI YAFUNGA MASHINE TATU ZA KUSAFISHA DAMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-qyEMYVG42YI/XqVMj6AEKkI/AAAAAAAC3-U/0ZenNmtGRV0XlRqkY6M5gbDBsMD0qFECgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Taarifa hiyo imetolewa leo Aprili 26, 2020 na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Umma wa Hospitali hiyo, Aminiel Aligaesha na kuongeza kuwa, Hospitali hiyo pia inatarajia kufunga mashine moja ya kumsaidia mgonjwa kupumua kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa waliopata maambukizi hayo.
"Tayari wagonjwa wanaohitaji kusafishwa damu wameanza kuhudumiwa ,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1woV2DlXM1I/XqUwL4izw0I/AAAAAAAAJtw/6MyntbeTLfEXZtdFV-xmssz9EfzIDK4mgCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-04-26-09-46-54.jpg)
MUHIMBILI KUFUNGA MASHINE TATU ZA KUSAFISHA DAMU HOSPITALI YA AMANA ILI KUHUDUMIA WAGONJWA WENYE MATATIZO YA FIGO WALIOAMBUKIZWA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-1woV2DlXM1I/XqUwL4izw0I/AAAAAAAAJtw/6MyntbeTLfEXZtdFV-xmssz9EfzIDK4mgCLcBGAsYHQ/s640/PHOTO-2020-04-26-09-46-54.jpg)
Mojawapo ya mashine ya kusafisha damu kwa wagonjwa wa figo iliyofungwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana ambayo thamani yake ni TZS. 70 Mil.
![](https://1.bp.blogspot.com/-C9SzRQw0VPc/XqUwLzKSPZI/AAAAAAAAJts/i1i-k5MOdmwmeJrjW4vBmdnI-T-ipMihQCLcBGAsYHQ/s640/PHOTO-2020-04-26-09-46-54%2B2.jpg)
Mashine ya kusaidia mgonjwa kupumua ambayo itafungwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana ambayo thamani yake ni TZS. 56 Mil.
![](https://1.bp.blogspot.com/-QVchssb9eP4/XqUwL9rYO1I/AAAAAAAAJt0/-HWZUnwo1U4yzHAn5tQipuQ4RbiMVZPEACLcBGAsYHQ/s640/PHOTO-2020-04-26-09-46-54%2B3.jpg)
Mtambo wa kuchuja maji (Portable RO System) kwenda kwenye mashine ya kusafisha damu wenye thamani ya TZS. 28 Mil uliofungwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Amana
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imefunga mashine tatu za kusafisha damu...
9 years ago
Mtanzania15 Oct
Muhimbili yaishiwa damu
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) inakabiliwa na upungufu mkubwa wa damu na kwa siku wanakusanya chupa 25 hadi 45 pekee, wakati mahitaji halisi ni chupa 70 hadi 100.
Akizungumza na MTANZANIA hospitalini hapo jana, Ofisa Uhusiano wa MNH, Neema Mwangomo, alisema upungufu huo ni sawa na asilimia 60.
“Mahitaji ya damu hapa hospitalini ni makubwa, tunakabiliwa na upungufu kwa asilimia 60. Ili yatosheleze tunahitaji kukusanya chupa 70 hadi 100 kwa siku lakini...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
Muhimbili yapokea mashine
HOSPITALI ya Taifa Muhimbili imepokea msaada wa mashine yenye thamani ya sh milioni 24 kutoka Serikali ya India. Mashine hiyo itatumiwa na wagonjwa wenye matatizo ya figo waliopo katika wodi...
9 years ago
Mwananchi15 Oct
Ukawa wajitolea damu Muhimbili
10 years ago
Mtanzania12 May
Muhimbili yakumbwa na uhaba wa damu
NA TUNU NASSOR , DAR ES SALAAM
HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) imekumbwa na uhaba wa damu hali ambayo imeulazimu uongozi wa hospitali hiyo kuomba msaada wa dharura kwa Serikali na watu binafsi.
Uongozi huo pia umewaomba Watanzania, mashirika ya umma, makampuni na watu binafsi kujitokeza kusaidia kuchangia damu kuokoa maisha ya wagonjwa wanaopelekwa katika hospitali hiyo.
Taarifa iliyotolewa jana na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Wateja, Aminiel Aligaesha, ilieleza kuwa kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oFuljr4cuTg/XuY3AUJHAsI/AAAAAAALtyw/3xfJntAMfRMtG2WCkQHSTNLGc2NLBMVuACLcBGAsYHQ/s72-c/7026f8f2-8a89-416b-8e35-a013b2ff903e.jpg)
Muhimbili yawashukuru wachangiaji Damu
![](https://1.bp.blogspot.com/-oFuljr4cuTg/XuY3AUJHAsI/AAAAAAALtyw/3xfJntAMfRMtG2WCkQHSTNLGc2NLBMVuACLcBGAsYHQ/s640/7026f8f2-8a89-416b-8e35-a013b2ff903e.jpg)
Kaimu Mkurugenzi wa Tiba Shirikishi Hospitali ya Taifa Muhimbili -Mloganzila Dkt. Lulu Sakafu akizungumza wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya uchangiaji damu duniani yenye kauli mbiu isemayo “damu salama, kwa wote” inayoadhimishwa Juni 14 kila mwaka
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/8c0d2427-ebab-462d-b28a-137876273317.jpg)
11 years ago
Habarileo05 Jul
Benki ya KCB yakabidhi mashine kupimia wajawazito
KITUO cha Afya cha Makongoro, jijini hapa kimepokea msaada wa mashine ya Ultra Sound na Suction zenye thamani ya Sh milioni 15 kwa ajili ya kupimia wajawazito na wagonjwa wengine.
10 years ago
Mtanzania13 May
Wafanyakazi Muhimbili walazimika kuchangia damu
TUNU NASSOR NA MWANTUMU SAADI,
DAR ES SALAAM
KUTOKANA na uhaba wa damu ulioikumba Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) wafanyakazi wa hospitali hiyo na ndugu wa wagonjwa, wamelazimika kuchangia damu kunusuru maisha ya wagonjwa .
Akizungumza na MTANZANIA Dar es Salaam jana, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Wateja wa hospitali hiyo, Aminieli Aligaesha, alisema wamelazimika kutumia wafanyakazi wa hospitali hiyo na ndugu wa wagonjwa kama chanzo cha ndani na kwa siku ya jana...