Vyama 10 vyashindwa kutoa taarifa kwa CAG
VYAMA 10 vya siasa kati ya 21 vyenye usajili wa kudumu, vimeshindwa kuwasilisha hesabu zao za vyama kwa Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali kwa ajili ya ukaguzi. Kati ya hivyo, vyama 11 havikuwasilisha taarifa zao huku vinne vilivyokaguliwa havina akaunti ya benki.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Sep
Zaidi ya visima 19,000 vyashindwa kutoa maji kwa ukosefu wa umeme
10 years ago
Habarileo17 Mar
CAG: Taarifa za ukaguzi ziripotiwe kwa uangalifu
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Musa Juma Asaad ametoa wito kwa asasi za kiraia pamoja na vyombo vya habari nchini kupitia kwa umakini na uangalifu taarifa za ukaguzi wa hesabu zinazotolewa na ofisi hiyo ili kuepusha upotoshaji wakati wa kuelimisha jamii.
11 years ago
Habarileo25 Dec
CUF wawasilisha taarifa za hesabu kwa CAG
BARAZA Kuu la Chama cha Wananchi CUF, limesema chama hicho kimeandaa na kuwasilisha taarifa za fedha za chama hicho na kuziwasilisha kwa Msajili wa Vyama vya Siasa na kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serika (CAG).
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lu7fZBLnWM0/VdzP08A2dNI/AAAAAAAHz_0/jiVDwEF4Sd4/s72-c/tume1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lwxfeD2hI7U/VdXmC_QsmuI/AAAAAAAHyow/aD9K5g2NN-s/s72-c/003.jpg)
10 years ago
BBCSwahili16 Oct
Ebola:BBC kutoa taarifa kwa 'WhatsApp'
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1APnWjUDdoQ/Xnyd80wml7I/AAAAAAALlHA/7Yo_fxymMZwJE03BB_PanpgW8br1DsYTQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS, DKT. MAGUFULI APOKEA TAARIFA YA CAG YA 2018/2019, APOKEA TAARIFA YA PCCB IKULU YA CHAMWINO LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-1APnWjUDdoQ/Xnyd80wml7I/AAAAAAALlHA/7Yo_fxymMZwJE03BB_PanpgW8br1DsYTQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-vRwGnH4JXeM/Xnyejo7W6TI/AAAAAAALlHo/f5x7obnD1eMrP6PBAQFsOdo7sV805g8NwCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-1APnWjUDdoQ/Xnyd80wml7I/AAAAAAALlHA/7Yo_fxymMZwJE03BB_PanpgW8br1DsYTQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS, DKT. MAGUFULI APOKEA TAARIFA YA CAG YA 2018/2019, APOKEA TAARIFA YA PCCB IKULU YA CHAMWINO LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-1APnWjUDdoQ/Xnyd80wml7I/AAAAAAALlHA/7Yo_fxymMZwJE03BB_PanpgW8br1DsYTQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-vRwGnH4JXeM/Xnyejo7W6TI/AAAAAAALlHo/f5x7obnD1eMrP6PBAQFsOdo7sV805g8NwCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
10 years ago
Vijimambo30 Oct
CAG abaini dosari ruzuku vyama vyote
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Benja%20-Majura-0ctober29-2014.jpg)
Hesabu za mapato na matumizi ya fedha za ruzuku zilizotolewa na serikali kwa vyama vya siasa nchini, ikiwamo CCM, Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi, kati ya mwaka 2009 na 2013 zimegubikwa na dosari na hivyo kusababisha baadhi kupata hati yenye shaka na vingine hati mbaya kutoka Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
Vyama vilivyopata hati zenye shaka kufuatia ukaguzi wa hesabu zake uliofanywa na CAG ni CCM, Chadema,...