Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukosefu wa umeme kukumba mikoa ya Gridi

BAADA ya kufika kwa gesi asilia jijini Dar es Salaam ikitokea Mtwara, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), itaingiza gesi hiyo katika mitambo yote ya umeme nchini, hivyo kuanzia leo kutakuwa na ukosefu wa umeme katika mikoa yote inayotumia Gridi ya Taifa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YADHAMIRIA KUPELEKA UMEME WA GRIDI KAGERA YOTE

Veronica Simba – KageraWaziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani amesema Serikali imedhamiria kupeleka umeme wa gridi ya Taifa katika Mkoa wote wa Kagera, awamu kwa awamu ikianza na Wilaya za Bukoba Vijijini, Muleba na Misenyi.
Amesema Wilaya hizo za awali zitaungwa kwenye gridi ya Taifa ndani ya kipindi cha mwezi mmoja kutoka sasa.
Waziri ameeleza hayo Februari 27 mwaka huu wakati akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Brigedia Generali Marco Gaguti, akiwa katika ziara ya kazi.
“Wataalamu wetu...

 

11 years ago

Michuzi

Songas, IPTL wachangiaji pekee wa umeme gridi ya Taifa - Tanesco

MAKAMPUNI ya Songas Tanzania na Independent Power Tanzania Limited (IPTL) ni makampuni pekee ya binafsi yazalishayo umeme ambayo kwa sasa uzalisha umeme kwa ajili ya gridi ya Taifa wakati mengine yaliyobaki Aggreko na Symbion Power Tanzania yakiwa yanatumika tu wakati wa dharura. 
Uwezo ulioongezwa katika mitambo ya gesi asilia ya Songas iliyopo Ubungo ni ya megawati 189, wakati kampuni ya IPTL inatumia mafuta mazito na uwezo wake ni kuzalisha megawati 103, ingawa uzalishaji huo ubadilika...

 

5 years ago

Michuzi

GGM KUANZA KUTUMIA UMEME WA GRIDI YA TAIFA MWEZI JUNI MWAKA HUU

Waziri wa Nishati, Dkt. Medrad Kalemani, ( katikati) akitoa maelekezo kwa wakandarasi wanaotekeleza ujenzi wa kituo cha kupoza na kusambaza umeme cha Mponvu mkoani Geita baada ya kuridhishwa na kasi ya ujenzi wa kituo hicho alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa kituo hicho.
Muonekano wa sehemu ya mitambo ya katika kituo cha kupoza na kusambaza umeme cha Mponvu kinachotarajiwa kukamilika mwishoni mwa Mwezi Mei, 2020.
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani (katikati) akikagua...

 

10 years ago

Dewji Blog

Halmashauri ya wilaya ya Songea yawaalika wawekezaji kutatua changamoto ya ukosefu wa umeme

unnamed

Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda cha Katani LTD cha Hale, Tanga, Salum Shamte.

Na Nathan Mtega wa demashonews, Songea.

Katika kukabiliana na changamoto uya kosefu wa umeme wa uhakika mkoani Ruvuma na Njombe halamashari ya wilaya ya Songea imeanza kukabiliana na changaotyo hiyo kwa kuwaalika wawekezezaji mbali mbali wakiwemo wa sekta hiyo ya nishati ili kutumia fursa zilizopo kutatua changamoto hiyo.

Akizungumza kwa niaba ya wawekezaji wengine katika kikao hicho cha ushauri wa maendeleo cha...

 

10 years ago

Mwananchi

Zaidi ya visima 19,000 vyashindwa kutoa maji kwa ukosefu wa umeme

Deni la Sh13.5 bilioni limesababisha zaidi ya visima 19,000 kutotoa maji kutokana na kukosa umeme na kuathiri zaidi ya wananchi milioni nne.

 

10 years ago

Mwananchi

Umeme ni shida, Uchunguzi wabaini mikoa mingi iko kwenye hali tete

Wakati Naibu Waziri wa Nishati na Madini na Tanesco wakikanusha kuwepo kwa mgawo wa umeme, imebainika kuwa sehemu kubwa ya nchi imekosa umeme kwa siku kadhaa, likiwemo Jiji la Dar es salaam.

 

5 years ago

Michuzi

DODOMA ITAKUWA NA UMEME MWINGI KUPITA MIKOA YOTE NCHINI – WAZIRI KALEMANI

Veronica Simba – Dodoma

Serikali kupitia Wizara ya Nishati, inakamilisha mradi mkubwa wa upanuzi wa kituo cha kupoza umeme kilichopo Zuzu Dodoma, ambacho baada ya kukamilika kitakuwa na uwezo wa megawati zaidi ya 600, hivyo kuongoza Tanzania nzima kwa wingi wa umeme.
Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani, Februari 19, 2020 alipofanya ziara katika kituo hicho kujionea maendeleo ya utekelezaji wa mradi husika.
Akizungumza na waandishi wa habari, Waziri amebainisha kuwa, kwa...

 

9 years ago

StarTV

Tanesco yasema kukatika kwa umeme kwa baadhi ya mikoa yatokana na hitilafu.

Shirika la umeme tanesco lamesema kukatika kwa umeme katika baadhi ya mikoa nchini kumesababishwa na hitilafu katika kituo kidogo cha kupoozea umeme wa gridi ya taifa kilichoko mkoani singida

Meneja wa tanseco mkoa wa singida gamba mahugila amesema hitilafu hiyo imetokea leo asubuhi na kusababisha kukatika kwa umeme katika mikoa ya singida, tabora, mwanza, mara, manyara, geita na sehemu ya mkoa wa arusha

Amesema tayari mafundi wa tanesco wanaendelea na matengenezo yaliyoanza saa tano asubuhi...

 

11 years ago

Habarileo

Watu wasiojulikana wahujumu gridi ya Taifa

WATU wasiojulikana wilayani Kahama, wameangusha nguzo mbili kubwa za chuma zinazosafirisha umeme wa gridi ya Taifa na kuchukua baadhi ya vyuma. Hali hiyo imesababisha maeneo kadhaa mikoa ya Mwanza, Geita na Shinyanga kukosa umeme.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani