Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SERIKALI YADHAMIRIA KUPELEKA UMEME WA GRIDI KAGERA YOTE

Veronica Simba – KageraWaziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani amesema Serikali imedhamiria kupeleka umeme wa gridi ya Taifa katika Mkoa wote wa Kagera, awamu kwa awamu ikianza na Wilaya za Bukoba Vijijini, Muleba na Misenyi.
Amesema Wilaya hizo za awali zitaungwa kwenye gridi ya Taifa ndani ya kipindi cha mwezi mmoja kutoka sasa.
Waziri ameeleza hayo Februari 27 mwaka huu wakati akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Brigedia Generali Marco Gaguti, akiwa katika ziara ya kazi.
“Wataalamu wetu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Ukosefu wa umeme kukumba mikoa ya Gridi

BAADA ya kufika kwa gesi asilia jijini Dar es Salaam ikitokea Mtwara, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), itaingiza gesi hiyo katika mitambo yote ya umeme nchini, hivyo kuanzia leo kutakuwa na ukosefu wa umeme katika mikoa yote inayotumia Gridi ya Taifa.

 

11 years ago

Michuzi

Songas, IPTL wachangiaji pekee wa umeme gridi ya Taifa - Tanesco

MAKAMPUNI ya Songas Tanzania na Independent Power Tanzania Limited (IPTL) ni makampuni pekee ya binafsi yazalishayo umeme ambayo kwa sasa uzalisha umeme kwa ajili ya gridi ya Taifa wakati mengine yaliyobaki Aggreko na Symbion Power Tanzania yakiwa yanatumika tu wakati wa dharura. 
Uwezo ulioongezwa katika mitambo ya gesi asilia ya Songas iliyopo Ubungo ni ya megawati 189, wakati kampuni ya IPTL inatumia mafuta mazito na uwezo wake ni kuzalisha megawati 103, ingawa uzalishaji huo ubadilika...

 

5 years ago

Michuzi

GGM KUANZA KUTUMIA UMEME WA GRIDI YA TAIFA MWEZI JUNI MWAKA HUU

Waziri wa Nishati, Dkt. Medrad Kalemani, ( katikati) akitoa maelekezo kwa wakandarasi wanaotekeleza ujenzi wa kituo cha kupoza na kusambaza umeme cha Mponvu mkoani Geita baada ya kuridhishwa na kasi ya ujenzi wa kituo hicho alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa kituo hicho.
Muonekano wa sehemu ya mitambo ya katika kituo cha kupoza na kusambaza umeme cha Mponvu kinachotarajiwa kukamilika mwishoni mwa Mwezi Mei, 2020.
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani (katikati) akikagua...

 

11 years ago

Dewji Blog

Tanesco kushirikiana na REA kupeleka umeme vijijini

DSC09653

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mhangwa Kitwanga, akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kayui kata ya Mitundu jimbo la Manyoni magharibi.

Na Nathaniel Limu, Manyoni

SERIKALI imeliagiza shirika la TANESCO lishirikiane na REA,kufanya usanifu wa kina juu ya gharama halisi ya utoaji wa huduma ya umeme katika kila kijiji nchini ili kuijengea mazingira mazuri serikali iweze kufahamu  kiasi cha fedha kitakachokidhi mahitaji.

Agizo hilo limetolewa hivi karibuni na Naibu Waziri wa...

 

10 years ago

Vijimambo

Serikali yadhamiria kukamilisha Miradi ya Kitaifa ya Kimkakati


Waziri wa nchi (Ofisi ya Rais) Mahusiano na Uratibu, Mhe. Dkt. Mary Nagu akiwasilisha Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2015/16 Katika Kamati ya Mpango ya Bunge Zima kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere.Sehemu ya Wabunge waliohudhuria uwasilishaji wa Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2015/16 Katika Kamati ya Mpango ya Bunge Zima wakimsikiliza Waziri wa nchi (Ofisi ya Rais) Mahusiano na Uratibu, Mhe. Dkt. Mary Nagukwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu...

 

11 years ago

Michuzi

Serikali yadhamiria kuboresha huduma kwa nchi jirani-Mwakyembe

Na Mwandishi wetu, Pwani Serikali imesema imedhamiria kukabiliana kwa vitendo na changamoto ya kutotumia fursa na nafasi ya kijiografia ya nchi ya Tanzania na kuifanya kuwa shindani na hivyo kuleta maendeleo endelevu na ustawi wa jamii. Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe amesema jana mkoani Pwani kuwa hakuna sababu inayoifanya Tanzania isiwe taifa shindani kibiashara katika ukanda huu wa Afrika kutokana na nafasi yake kijiografia miongoni mwa sababu nyingine.
Katika kuonyesha...

 

10 years ago

Dewji Blog

Rex Energy kupeleka umeme jua kwa kaya milioni moja na laki tano nchini

001.ENERGY

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Rex Energy Francis Khibhisa akizungumza wakati wa uzinduzi wa Teknolojia mpya ya umeme jua ya gharama nafuu ijulikanayo kama 3G+Solar Homes System (SHS). Katikati ni Paul Kiwele Naibu  Kamishna wa Nishati Mbadala wa Wizara ya Nishati na Madini,Mwisho ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Solaric Pvt Lt  kutoka Bagladesh Didar Islam.

Na Mwandishi Wetu

Naibu Kamishna wa Nishati Mbadala wa Wizara ya Nishati na Madini amezindua usambazaji wa Teknolojia ya Umeme...

 

10 years ago

Michuzi

REX ENERGY KUPELEKA UMEME JUA KWA KAYA MILIONI MOJA NA LAKI TANO NCHINI

Naibu Kamishna wa Nishati Mbadala wa Wizara ya Nishati na Madini amezindua usambazaji wa Teknolojia ya Umeme wa Jua, Rex Energy, inayotarajia kuzifikia kaya milioni moja na nusu kufikia mwaka 2020 kupitia teknolijia mpya ya umeme wa jua wa gharama nafuu.  Akizungumza wakati wa uzinduzi wa teknolojia hiyo mpya inayojulikana kama 3G+ Solar Home System (SHS) iliyobuniwa kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na ikiwa ni mara ya kwanza kutumika TanzaniaMkurugenzi Mtendaji wa Rex Energy Francis...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Donald Mwakamele: Umeme si kitu cha kusumbua kichwa miaka yote

HAKUNA asiyefahamu kuwa uchumi wa nchi unategemea suala zima la upatikanaji wa umeme wa uhakika. Hivyo kila kukicha wataalamu mbalimbali wa masuala ya umeme wamekuwa wakitoa maoni yao nini kifanyike,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani