Donald Mwakamele: Umeme si kitu cha kusumbua kichwa miaka yote
HAKUNA asiyefahamu kuwa uchumi wa nchi unategemea suala zima la upatikanaji wa umeme wa uhakika. Hivyo kila kukicha wataalamu mbalimbali wa masuala ya umeme wamekuwa wakitoa maoni yao nini kifanyike,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Ahadi ya kutomaliza tatizo la umeme yamuumiza kichwa JK
Rais Jakaya Kikwete amesema wakati anaingia madarakani alianza na tatizo la mgawo wa umeme na sasa anaondoka nalo.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TYI_-2I1G1U/VbiQ8ALedMI/AAAAAAAHsbw/PkCvCvxtROc/s72-c/_MG_1131.jpg)
TANESCO IMEPATA MAFANIKIO MAKUBWA YA UTOAJI WA HUDUMA YA UMEME NCHINI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 10 -MHANDISI MRAMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-TYI_-2I1G1U/VbiQ8ALedMI/AAAAAAAHsbw/PkCvCvxtROc/s640/_MG_1131.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GPMVNxH70Vc/VbiRMMNFGLI/AAAAAAAHsb4/0leXLRBS5cE/s1600/_MG_1137.jpg)
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
SHIRIKA la Umeme (Tanesco) limesema kuwa limepata mafanikio katika kipindi cha miaka...
5 years ago
MichuziSERIKALI YADHAMIRIA KUPELEKA UMEME WA GRIDI KAGERA YOTE
Veronica Simba – KageraWaziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani amesema Serikali imedhamiria kupeleka umeme wa gridi ya Taifa katika Mkoa wote wa Kagera, awamu kwa awamu ikianza na Wilaya za Bukoba Vijijini, Muleba na Misenyi.
Amesema Wilaya hizo za awali zitaungwa kwenye gridi ya Taifa ndani ya kipindi cha mwezi mmoja kutoka sasa.
Waziri ameeleza hayo Februari 27 mwaka huu wakati akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Brigedia Generali Marco Gaguti, akiwa katika ziara ya kazi.
“Wataalamu wetu...
Amesema Wilaya hizo za awali zitaungwa kwenye gridi ya Taifa ndani ya kipindi cha mwezi mmoja kutoka sasa.
Waziri ameeleza hayo Februari 27 mwaka huu wakati akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Brigedia Generali Marco Gaguti, akiwa katika ziara ya kazi.
“Wataalamu wetu...
5 years ago
MichuziDODOMA ITAKUWA NA UMEME MWINGI KUPITA MIKOA YOTE NCHINI – WAZIRI KALEMANI
Veronica Simba – Dodoma
Serikali kupitia Wizara ya Nishati, inakamilisha mradi mkubwa wa upanuzi wa kituo cha kupoza umeme kilichopo Zuzu Dodoma, ambacho baada ya kukamilika kitakuwa na uwezo wa megawati zaidi ya 600, hivyo kuongoza Tanzania nzima kwa wingi wa umeme.
Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani, Februari 19, 2020 alipofanya ziara katika kituo hicho kujionea maendeleo ya utekelezaji wa mradi husika.
Akizungumza na waandishi wa habari, Waziri amebainisha kuwa, kwa...
Serikali kupitia Wizara ya Nishati, inakamilisha mradi mkubwa wa upanuzi wa kituo cha kupoza umeme kilichopo Zuzu Dodoma, ambacho baada ya kukamilika kitakuwa na uwezo wa megawati zaidi ya 600, hivyo kuongoza Tanzania nzima kwa wingi wa umeme.
Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani, Februari 19, 2020 alipofanya ziara katika kituo hicho kujionea maendeleo ya utekelezaji wa mradi husika.
Akizungumza na waandishi wa habari, Waziri amebainisha kuwa, kwa...
10 years ago
MichuziSHIRIKA LA UMEME TANESCO LAIBIWA NYAYA ZA UMEME KITUO CHA KIPAWA
10 years ago
Bongo531 Dec
Linex: Nimeingiza mkwanja mrefu mwaka 2014 kuliko miaka yote
Mwaka 2014 umekuwa wenye neema kuliko miaka yote kwa Linex Sunday Mjeda kwakuwa anadai ameingiza mkwanja mrefu zaidi. Linex ameiambia Bongo5 kuwa anafikiri yeye ni msanii pekee aliyefanya matangazo mengi ya biashara ya redio kuliko wasanii wote wa Tanzania. “Toka nimeanza kufanya Bongo Flava, hakuna mwaka nimefanikiwa kama mwaka huu,” amesema Linex. “Mwaka huu nimefanya […]
5 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA KIKAO CHA DHARURA CHA HALI YA MAZINGIRA KATIKA MIGODI YOTE NCHINI
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/6raASOZgcN4/default.jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Mar
Sangoma akamatwa na kichwa cha mtu
Na Abdallah Amiri, Igunga
WAKATI kamatakamata ya waganga wa kienyeji ikiendelea kupamba moto katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, mmoja amenaswa akiwa na viungo vya binadamu, kikiwemo kichwa ambacho bado kilikuwa na nywele zake.
Mganga huyo, Nyamizi Makunga (70), mkazi wa Kijiji cha Igurubi wilayani Igunga, Tabora, alitiwa mbaroni juzi. Mbali na viungo hivyo, pia alikutwa na vifaa vingine, zikiwemo nyara za serikali.
Mwenyekiti wa Kijiji cha Igurubi, George Henry, alisema Makunga alikamatwa nyumbani...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania