Ahadi ya kutomaliza tatizo la umeme yamuumiza kichwa JK
Rais Jakaya Kikwete amesema wakati anaingia madarakani alianza na tatizo la mgawo wa umeme na sasa anaondoka nalo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
Kodi ya Zimamoto yamuumiza kichwa Malima
NAIBU Waziri wa Fedha, Adam Malima, amesema suala la ukusanyaji wa kodi inayotozwa na Jeshi la Zimamoto linamuumiza kichwa kwa madai kuwa hawatoi huduma stahiki kwa wananchi wanaowatoza fedha. Malima...
9 years ago
Vijimambo16 Sep
Mitambo ya kuzalisha umeme wa gesi yawashwa., Inategemewa tatizo la kukatika umeme litafikia tamati kuanzia leo
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Tanesco-16Sept2015.png)
Aidha, kazi ya kuwasha mashine 10 za mtambo wa Ubungo I imekamilika na inategemewa tatizo la kukatika umeme litafikia tamati kuanzia leo.
Akizungumza na Nipashe jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Uhusiano wa Tanesco, Adrian Severin, alisema kazi ya kuwasha mitambo hiyo inahitaji umakini mkubwa kutokana na mfumo unaotumika...
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Donald Mwakamele: Umeme si kitu cha kusumbua kichwa miaka yote
HAKUNA asiyefahamu kuwa uchumi wa nchi unategemea suala zima la upatikanaji wa umeme wa uhakika. Hivyo kila kukicha wataalamu mbalimbali wa masuala ya umeme wamekuwa wakitoa maoni yao nini kifanyike,...
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Umeme tatizo Tanga
9 years ago
Habarileo09 Oct
'Tatizo la umeme ni la muda mfupi'
SERIKALI imesema tatizo la kukatika kwa umeme ni la muda mfupi na kwamba linafanyiwa kazi kupata ufumbuzi wa kudumu.
9 years ago
Mwananchi17 Oct
Nani wa kupambana na tatizo la umeme?
9 years ago
Mwananchi11 Oct
Tatizo la umeme nchini lawa kizungumkuti
9 years ago
Mwananchi14 Dec
Muhongo: Tatizo la umeme ni uchakavu wa mitambo
10 years ago
Habarileo24 Sep
Tatizo la umeme Dar kuwa historia
SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limesisitiza kwamba ifikapo Agosti mwakani, hakutakuwa na tatizo la umeme katika Jiji la Dar es Salaam. Pia, limesema taasisi ambazo zilikuwa miongoni mwa wadaiwa sugu, zimeendelea kulipa na kulifanya liendelee vizuri.