Halmashauri ya wilaya ya Songea yawaalika wawekezaji kutatua changamoto ya ukosefu wa umeme
Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda cha Katani LTD cha Hale, Tanga, Salum Shamte.
Na Nathan Mtega wa demashonews, Songea.
Katika kukabiliana na changamoto uya kosefu wa umeme wa uhakika mkoani Ruvuma na Njombe halamashari ya wilaya ya Songea imeanza kukabiliana na changaotyo hiyo kwa kuwaalika wawekezezaji mbali mbali wakiwemo wa sekta hiyo ya nishati ili kutumia fursa zilizopo kutatua changamoto hiyo.
Akizungumza kwa niaba ya wawekezaji wengine katika kikao hicho cha ushauri wa maendeleo cha...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-okFeQL6KYvw/VCCB7-TLexI/AAAAAAAGlIw/tTP4yqvJMtc/s72-c/4.jpg)
Mradi wa TEDAP kutatua changamoto za upatikanaji wa umeme Jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-okFeQL6KYvw/VCCB7-TLexI/AAAAAAAGlIw/tTP4yqvJMtc/s1600/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-p7fuzFa92CA/VCCB-GeA7NI/AAAAAAAGlI4/YmXqCGK0n-o/s1600/5.jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Sep
Mradi wa TEDAP kutatua changamoto za upatikanaji wa umeme Jijini Dar es Salaam
Meneja wa Miradi, Usambazaji na Usafirishaji kutoka Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Emmanuel Manderabona akiwaonesha waandishi wa habari mfumo wa usambazaji umeme kwenye Moja kituo cha Mradi “Tanzania Energy Development and Access Program (TEDAP)” unaofadhiliwa na Benki ya Dunia, kilichopo Mbagalakitakachozalishamegawatt 100 za umeme,kituo hiki kinatarajiwa kuanza kutoa huduma za umeme wa uhakika kwa wakazi wa maeneo ya Kurasini, Kigamboni, Mbagala na Maeneo ya Mkuranga kuanzia Mwezi...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
NHC yawaalika wawekezaji ujenzi miradi wa nyumba
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limewaalika wawekezaji watakaoshirikiana nao katika ujenzi wa miradi ya nyumba inayofanyika nchini. Mkurugenzi wa Shirika hilo, Nehemiah Mchechu, alitangaza hayo jijini Dar es Salaam...
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
EABC kutatua kero za wawekezaji
MWENYEKITI wa Baraza la Jumuiya ya Afrika Mashariki la Biashara (EABC), Felix Mosha, amesema baraza hilo litahakikisha linazipatia ufumbuzi changamoto zinazowakabili wawekezaji wa sekta binafsi na wafanyabiashara. Akizungumza na waandishi...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Ukosefu wa viwanda vya dawa changamoto kwa MSD
BOHARI ya Dawa (MSD) ni taasisi ya serikali yenye majukumu ya kununua, kuhifadhi, kusambaza dawa, vifaa tiba na vitendanishi vya maabara. MSD haiongezi faida katika bei za dawa na usambazaji...
9 years ago
Habarileo07 Sep
Ukosefu wa umeme kukumba mikoa ya Gridi
BAADA ya kufika kwa gesi asilia jijini Dar es Salaam ikitokea Mtwara, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), itaingiza gesi hiyo katika mitambo yote ya umeme nchini, hivyo kuanzia leo kutakuwa na ukosefu wa umeme katika mikoa yote inayotumia Gridi ya Taifa.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-a1KkhezR-BY/VMBZPb0nKQI/AAAAAAAAsho/NgX8xnJ9XBk/s72-c/9J.jpg)
NYALANDU KATIKA KUTATUA CHANGAMOTO ZA UTALII NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-a1KkhezR-BY/VMBZPb0nKQI/AAAAAAAAsho/NgX8xnJ9XBk/s640/9J.jpg)
Katika kuhakikisha hilo linafanyika kwa mafanikio na kwa haraka, Nyalandu ametangaza kuanza kwa vikao vitakavyowakutanisha wataalamu wa Wizara zinazohusika na maliasili na utalii za Tanzania na Kenya kwa lengo la kujadiliana masuala mbalimbali iili yapatiwe ufumbuzi kwa maslahi ya pande zote.
Hatua hiyo imetokana na...
9 years ago
Habarileo14 Aug
Wathamini madini watakiwa kutatua changamoto zao
KAIMU Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Ngosi Mwihava amewataka Wathamini Madini ya Vito na Almasi nchini, kuendelea kuwa wabunifu kutafuta majibu na suluhisho kwa changamoto zinazokabili tasnia ya vito nchini.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bg3JfvAd-aE/VWM7pm4zcKI/AAAAAAAC5CQ/jLiIc8EtiHM/s72-c/1.jpg)
BAJETI YA WATOTO IONGEZWE KUTATUA CHANGAMOTO ZAO-C-SEMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-bg3JfvAd-aE/VWM7pm4zcKI/AAAAAAAC5CQ/jLiIc8EtiHM/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cuHYtUPVU4U/VWM7pm1YVMI/AAAAAAAC5CY/FbrbyyAvC40/s640/2.jpg)