Watu wasiojulikana wahujumu gridi ya Taifa
WATU wasiojulikana wilayani Kahama, wameangusha nguzo mbili kubwa za chuma zinazosafirisha umeme wa gridi ya Taifa na kuchukua baadhi ya vyuma. Hali hiyo imesababisha maeneo kadhaa mikoa ya Mwanza, Geita na Shinyanga kukosa umeme.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BwQHig-W6bs/U9IlXX1vbuI/AAAAAAACmK0/7-E5I5nqYSk/s72-c/IPTL+1.jpg)
Songas, IPTL wachangiaji pekee wa umeme gridi ya Taifa - Tanesco
Uwezo ulioongezwa katika mitambo ya gesi asilia ya Songas iliyopo Ubungo ni ya megawati 189, wakati kampuni ya IPTL inatumia mafuta mazito na uwezo wake ni kuzalisha megawati 103, ingawa uzalishaji huo ubadilika...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Aug
Wamasai wala mkong’oto na watu wasiojulikana ZNZ
Habari tulozipata si muda mrefu kwamba Wamasai wamepewa kichapo na watu wasiojulikana Kundi la Wamasai 8 walikuwa katika ghasia hizo ambapo walikuwa wakishambuliwa ba kundi la Ubayaubaya. Ugomvi ulianzia mitaa ya Darajabovu ambapo Wamasahai hao walikabiliana […]
The post Wamasai wala mkong’oto na watu wasiojulikana ZNZ appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-R96KkFzbKqA/U7kdC6dikoI/AAAAAAAFvR4/kJFecBZT6Iw/s72-c/unnamed+(18).jpg)
KIONGOZI WA CHADEMA MKOANI KIGOMBA ASHAMBULIWA NA WATU WASIOJULIKANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-R96KkFzbKqA/U7kdC6dikoI/AAAAAAAFvR4/kJFecBZT6Iw/s1600/unnamed+(18).jpg)
Na Editha Karlo,Kigoma.
WATU wasiojulikana wamemvamia na kumpiga pamoja na kumjeruhi sehemu mbalimbali za mwili kwa kutumia vitu vyenye ncha kali Makamu Mwenyekiti wa uenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kanda ya Magaharibi,Deogratius Liyunga na kupelekea kulazwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iM_dimWMY2U/XqWhlk9w6PI/AAAAAAALoSo/0xOVA4QI-DMEY8UpbRfMYf6k6u1cJ4nWACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-1-8-768x512.jpg)
GGM KUANZA KUTUMIA UMEME WA GRIDI YA TAIFA MWEZI JUNI MWAKA HUU
![](https://1.bp.blogspot.com/-iM_dimWMY2U/XqWhlk9w6PI/AAAAAAALoSo/0xOVA4QI-DMEY8UpbRfMYf6k6u1cJ4nWACLcBGAsYHQ/s640/PICHA-1-8-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PICHA-2-6-1024x683.jpg)
Muonekano wa sehemu ya mitambo ya katika kituo cha kupoza na kusambaza umeme cha Mponvu kinachotarajiwa kukamilika mwishoni mwa Mwezi Mei, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PICHA-3-5-1024x683.jpg)
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani (katikati) akikagua...
9 years ago
VijimamboNYUMBA YA NAIBU SHEHA, TIBIRINZI YACHOMWA MOTO NA WATU WASIOJULIKANA
9 years ago
Vijimambo24 Aug
WATU WASIOJULIKANA WAVAMIA NA KUBOMOA NYUMBA YA MGOMBEA UBUNGE CUF MTWARA.
![](http://www.itv.co.tz/media/image/NYUMBA%281%29.jpg)
Wakizungumza kwa masikitiko baadhi ya viongozi wa chama hicho na wanachi wa jimbo la Nanyamba wamesema mazingira aliyotoweka mgombea huyo yanaonyesha wazi kuna mchezo mchafu umefanywa ili...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lDRj_LUmqEw/U-jbfvzMbZI/AAAAAAAF-e4/9SpzOp4iv90/s72-c/unnamed+(30).jpg)
SITTA AMJULIA HALI MJUMBE WA BUNGE MAALUM ALIYEJERUHIWA NA WATU WASIOJULIKANA
![](http://4.bp.blogspot.com/-lDRj_LUmqEw/U-jbfvzMbZI/AAAAAAAF-e4/9SpzOp4iv90/s1600/unnamed+(30).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-p9YQQiZYBns/U-jbfatBO5I/AAAAAAAF-e0/HD3401SJOmE/s1600/unnamed+(31).jpg)
11 years ago
Michuzi15 May
Mtu mmoja afa kwa kunyongwa na watu wasiojulikana mkoani Pwani
MLINZI Bakari Mape (70) mkazi wa Mlandizi wilaya ya Kibaha mkoa wa Pwani ameuwawa kwa kunyongwa na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi.
Watu hao ambao idadi yao haikuweza kufahamika mara moja walimwua mlinzi huyo kwa kumvunja shingo kisha kuiba kwenye duka ambalo mlinzi huyo alikuwa akililinda.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Polisi mkoani humo Kamishna Mwandamizi Msaidizi (SACP) Ulrich Matei alisema kuwa tukio hilo lilitokea Mei 14 mwaka huu...