Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NYUMBA YA NAIBU SHEHA, TIBIRINZI YACHOMWA MOTO NA WATU WASIOJULIKANA

NYUMBA ya Naibu sheha wa shehia ya Tibirinzi wilaya ya Chake chake Pemba, Bikombo Simai Juma (42), ambayo imedaiwa kuchomwa moto na watu wasiofahamika kwa madai ya hitilafu za kisiasa, tukio hilo lilitokea oktoba 26, majira ya saa 7:00 usiku, ambapo wakati huo alikuwa ndani amelala na jumla ya watu 13 akiwemo mtoto mchanga wa mwezi mmoja, walisalimika kufa, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
: NYUMBA nyengine ilioko kando mwa nyumba ya naibu sheha, eneo hilo la Tibirinzi, kijiji cha Minazini,...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

WATU WASIOJULIKANA WAVAMIA NA KUBOMOA NYUMBA YA MGOMBEA UBUNGE CUF MTWARA.

Kundi la watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo wamevamia na kuibomoa nyumba ya mgombea ubunge wa chama cha wananchi CUF jimbo jipya la nanyamba wilaya ya mtwara vijijini, twahiri saidi baada ya kushindwa kurudisha fomu ya ubunge na kutokomea kusiko julikana huku simu zake za mkononi zikiwa hazipatikani.


Wakizungumza kwa masikitiko baadhi ya viongozi wa chama hicho na wanachi wa jimbo la Nanyamba wamesema mazingira aliyotoweka mgombea huyo  yanaonyesha wazi  kuna mchezo mchafu umefanywa ili...

 

11 years ago

Mwananchi

Nyumba 24 zachomwa moto wakituhumiwa kuua watu 5

Geita. Zaidi ya nyumba 24 zimevunjwa na kuteketezwa moto Kijiji cha Kilombero, mkoani Geita na wananchi kutokana na mauaji ya Felister Mathias (55), anayedaiwa kuuawa kwa kukatwa mapanga na watu wa ukoo mmoja.

 

10 years ago

Mwananchi

Ofisi yachomwa moto Rukwa

Wananchi ambao walishindwa kupiga kura kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa mjini Sumbawanga, Rukwa jana walivamia na kuchoma moto Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Kizwite iliyokuwa imesheheni vifaa vya kupigia kura.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Masijala ardhi Kigoma yachomwa moto

WATU wanne wanashikiliwa na jeshi la Polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kuchoma moto jengo la masijala ya Idara ya Ardhi Manispaa ya Kigoma Ujiji na kuteketeza nyaraka mbalimbali. Akizungumzia...

 

9 years ago

GPL

MAKANISA MATATU YACHOMWA MOTO BUKOBA

Kanisa lilivyoteketea kwa moto. Kinanda kinchotumiwa na wanakwaya kwa ajili ya kupigia muziki kikiwa kimeungua. Makanisa hayo baada ya kuteketezwa kwa moto.…

 

11 years ago

Habarileo

Vikongwe wauawa, miili yao yachomwa moto

 Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida, Geofrey KamwelaWATU wanne wamekufa mkoani Singida katika matukio mawili tofauti, likiwemo la wanandoa, vikongwe kuuawa kisha nyumba yao kuchomwa moto na mtu asiyefahamika.

 

11 years ago

Dewji Blog

Imani za kishirikika, makazi yachomwa moto Kigoma

Nyumba-kigoma

Pichani ni sehemu ya nyumba iliyoteketezwa na moto na wananchi wenye hasira kali wa kijiji cha Lugongoni “A” Kata na Tarafa ya Nguruka wilayani Uvinza mkoani Kigoma kwa kile kinachodaiwa ni imani za kishirikina.

Na Mwandishi wetu, Kigoma

Familia nne za wakazi wa Kijiji cha Lugongoni “A” Kata na Tarafa ya Nguruka Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma, hazina makazi baada ya nyumba zao kuchomwa moto na nyingine kubomolewa na kundi la wananchi wa kijiji hicho kutokana na imani za kishirikina.

Kamanda...

 

10 years ago

Michuzi

pikipiki yachomwa moto kwa kukwapua simu ya mtu

 Ule usemi wa za mwizi ni arobani,umetimia leo baada ya vijana wawili wanaotumia pikipiki (majina yao hayakupatikana mara moja) wenye utaalamu wa hali ya juu wa kukwapua simu za mikonini za watu wawapo kwenye magari au hata watembea kwa miguu kushindwa kufurukuta mbele ya wananchi wenye hasira.Tukio hilo limetokea jioni hii mbele ya bustani ya Botanical kwa upande unaotazamana na geti kuu la kuingia Hospitali ya Ocean Road,baada ya kumkwapulia simu mwanadada mmoja (jina kapuni) aliekuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Majina ya wapiga kura yachomwa moto Dar kupinga kituo hewa

Kasheshe iliibuka katika zoezi la uandikishaji la wakazi katika Mtaa wa Mbondole katika Kata ya Msongola Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam baada ya makarani kuandikisha majina kwenye kituo bubu cha Shule ya Msingi Mbondole.

Tukio hilo lilitokea juzi asubuhi baada ya Uongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) tawi la Mbondole kubaini mbinu hiyo kuwa inaweza kutumika kuandisha majina watu ambao siyo wakazi, hivyo kuamuru kituo hicho kisitishwe na kuhamia kituo cha Sekondari ya Mbondole.

Wanachama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani