pikipiki yachomwa moto kwa kukwapua simu ya mtu
![](http://2.bp.blogspot.com/-aLAJPBSYcn0/VN4eGvQDneI/AAAAAAAHDkE/-8vgX_Sd0kg/s72-c/DSCF4175.jpg)
Ule usemi wa za mwizi ni arobani,umetimia leo baada ya vijana wawili wanaotumia pikipiki (majina yao hayakupatikana mara moja) wenye utaalamu wa hali ya juu wa kukwapua simu za mikonini za watu wawapo kwenye magari au hata watembea kwa miguu kushindwa kufurukuta mbele ya wananchi wenye hasira.Tukio hilo limetokea jioni hii mbele ya bustani ya Botanical kwa upande unaotazamana na geti kuu la kuingia Hospitali ya Ocean Road,baada ya kumkwapulia simu mwanadada mmoja (jina kapuni) aliekuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lu8a2-fLGRmyjcmEKk3WJ*AWcvrhsV8jPQp3YfPAVkr*J3ogAEab3vOn3AY-SN9gGxj1kfr8CDmNlkdigBaLWH1PgFdcqfs1/boda.jpg)
BODABODA ANUSA KIFO KISA, KUKWAPUA SIMU!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YBFp7QfmCZe6ADBWzMBhQDgaeCM4p80akkzHUzhk0eN7O0uewxhqGy5G6o5RajPaVCI8iluuij6xVHYs6JwoOc7Zvp-gXvK3/mrembo.jpg?width=650)
MREMBO NUSURA AUAWE KISA KUDAIWA KUKWAPUA SIMU
10 years ago
Mwananchi15 Dec
Ofisi yachomwa moto Rukwa
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Masijala ardhi Kigoma yachomwa moto
WATU wanne wanashikiliwa na jeshi la Polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kuchoma moto jengo la masijala ya Idara ya Ardhi Manispaa ya Kigoma Ujiji na kuteketeza nyaraka mbalimbali. Akizungumzia...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/118.jpg)
MAKANISA MATATU YACHOMWA MOTO BUKOBA
11 years ago
Dewji Blog15 Jul
Imani za kishirikika, makazi yachomwa moto Kigoma
Pichani ni sehemu ya nyumba iliyoteketezwa na moto na wananchi wenye hasira kali wa kijiji cha Lugongoni “A” Kata na Tarafa ya Nguruka wilayani Uvinza mkoani Kigoma kwa kile kinachodaiwa ni imani za kishirikina.
Na Mwandishi wetu, Kigoma
Familia nne za wakazi wa Kijiji cha Lugongoni “A” Kata na Tarafa ya Nguruka Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma, hazina makazi baada ya nyumba zao kuchomwa moto na nyingine kubomolewa na kundi la wananchi wa kijiji hicho kutokana na imani za kishirikina.
Kamanda...
11 years ago
Habarileo14 Jun
Vikongwe wauawa, miili yao yachomwa moto
WATU wanne wamekufa mkoani Singida katika matukio mawili tofauti, likiwemo la wanandoa, vikongwe kuuawa kisha nyumba yao kuchomwa moto na mtu asiyefahamika.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uFCQvH3jdgA2LhQowgioMipa1BIHd8hH6joHesrD-LVrdVJkKL1OPxDJUUP6opTE608sTwSmkmz00AvWgKRFNFAZWVdI1JaN/ajali2.jpg?width=650)
PIKIPIKI YATEKETEA KWA MOTO UBUNGO JIJINI DAR
9 years ago
VijimamboNYUMBA YA NAIBU SHEHA, TIBIRINZI YACHOMWA MOTO NA WATU WASIOJULIKANA