Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


pikipiki yachomwa moto kwa kukwapua simu ya mtu

 Ule usemi wa za mwizi ni arobani,umetimia leo baada ya vijana wawili wanaotumia pikipiki (majina yao hayakupatikana mara moja) wenye utaalamu wa hali ya juu wa kukwapua simu za mikonini za watu wawapo kwenye magari au hata watembea kwa miguu kushindwa kufurukuta mbele ya wananchi wenye hasira.Tukio hilo limetokea jioni hii mbele ya bustani ya Botanical kwa upande unaotazamana na geti kuu la kuingia Hospitali ya Ocean Road,baada ya kumkwapulia simu mwanadada mmoja (jina kapuni) aliekuwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

BODABODA ANUSA KIFO KISA, KUKWAPUA SIMU!

Stori: Mwandishi Wetu Za mwizi arobaini! Ule mchezo wa kukwapua vitu na kukimbia umemtokea puani dereva wa pikipiki almaarufu bodaboda aliyetambulika kwa jina la Abuu Athumani (28) ambaye amenusa kifo baada ya kukwapua simu ya bei mbaya ya mrembo aitwaye Zaituni Hamisi. Dereva wa bodaboda aliyetambulika kwa jina la Abuu Athumani ambaye amenusa kifo baada ya kukwapua simu.
Tukio hilo la aina yake lilijiri majira ya...

 

11 years ago

GPL

MREMBO NUSURA AUAWE KISA KUDAIWA KUKWAPUA SIMU

Stori: Richard Bukos na Makongoro Oging'
MREMBO mmoja mkazi wa Mabibo Makutano jijini Dar es Salaam (jina lake halikupatikana) mwishoni mwa wiki iliyopita alinusurika kifo baada ya kuvamiwa na kudundwa baada ya kudaiwa kukwapua simu ya mwanaume na kuificha sehemu zake za siri. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, awali mrembo huyo alikuwa akila bata na mwanaume aitwaye Hashim kwenye Baa ya Jassun Inn iliyopo maeneo ya Mabibo...

 

10 years ago

Mwananchi

Ofisi yachomwa moto Rukwa

Wananchi ambao walishindwa kupiga kura kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa mjini Sumbawanga, Rukwa jana walivamia na kuchoma moto Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Kizwite iliyokuwa imesheheni vifaa vya kupigia kura.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Masijala ardhi Kigoma yachomwa moto

WATU wanne wanashikiliwa na jeshi la Polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kuchoma moto jengo la masijala ya Idara ya Ardhi Manispaa ya Kigoma Ujiji na kuteketeza nyaraka mbalimbali. Akizungumzia...

 

9 years ago

GPL

MAKANISA MATATU YACHOMWA MOTO BUKOBA

Kanisa lilivyoteketea kwa moto. Kinanda kinchotumiwa na wanakwaya kwa ajili ya kupigia muziki kikiwa kimeungua. Makanisa hayo baada ya kuteketezwa kwa moto.…

 

11 years ago

Dewji Blog

Imani za kishirikika, makazi yachomwa moto Kigoma

Nyumba-kigoma

Pichani ni sehemu ya nyumba iliyoteketezwa na moto na wananchi wenye hasira kali wa kijiji cha Lugongoni “A” Kata na Tarafa ya Nguruka wilayani Uvinza mkoani Kigoma kwa kile kinachodaiwa ni imani za kishirikina.

Na Mwandishi wetu, Kigoma

Familia nne za wakazi wa Kijiji cha Lugongoni “A” Kata na Tarafa ya Nguruka Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma, hazina makazi baada ya nyumba zao kuchomwa moto na nyingine kubomolewa na kundi la wananchi wa kijiji hicho kutokana na imani za kishirikina.

Kamanda...

 

11 years ago

Habarileo

Vikongwe wauawa, miili yao yachomwa moto

 Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida, Geofrey KamwelaWATU wanne wamekufa mkoani Singida katika matukio mawili tofauti, likiwemo la wanandoa, vikongwe kuuawa kisha nyumba yao kuchomwa moto na mtu asiyefahamika.

 

10 years ago

GPL

PIKIPIKI YATEKETEA KWA MOTO UBUNGO JIJINI DAR

Wananchi wakishuhudia pikipiki iliyoteketea kwa moto baada ya kugongana na daladala eneo la Ubungo Mataa mchana huu. Dalaldala aina ya DCM linalofanya safari zake kati ya Mbagala - Ubungo baada ya kugongana na pikipiki iliyoteketea.…

 

9 years ago

Vijimambo

NYUMBA YA NAIBU SHEHA, TIBIRINZI YACHOMWA MOTO NA WATU WASIOJULIKANA

NYUMBA ya Naibu sheha wa shehia ya Tibirinzi wilaya ya Chake chake Pemba, Bikombo Simai Juma (42), ambayo imedaiwa kuchomwa moto na watu wasiofahamika kwa madai ya hitilafu za kisiasa, tukio hilo lilitokea oktoba 26, majira ya saa 7:00 usiku, ambapo wakati huo alikuwa ndani amelala na jumla ya watu 13 akiwemo mtoto mchanga wa mwezi mmoja, walisalimika kufa, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
: NYUMBA nyengine ilioko kando mwa nyumba ya naibu sheha, eneo hilo la Tibirinzi, kijiji cha Minazini,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani