MAKANISA MATATU YACHOMWA MOTO BUKOBA
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/118.jpg)
Kanisa lilivyoteketea kwa moto. Kinanda kinchotumiwa na wanakwaya kwa ajili ya kupigia muziki kikiwa kimeungua. Makanisa hayo baada ya kuteketezwa kwa moto.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili29 Sep
Makanisa mengine manne yachomwa Tanzania
10 years ago
BBCSwahili17 Jan
Charlie Hebdo:Makanisa yachomwa Niger
9 years ago
BBCSwahili23 Sep
Makanisa matatu yateketezwa Tanzania
9 years ago
StarTV29 Sep
Makanisa matatu yavunjwa na kuchomwa samani zake.
Mfululizo wa uhalifu dhidi ya makanisa mbalimbali bado unaendelea katika Mkoa wa Kagera ambapo makanisa matatu yamevunjwa na samani zake kuchomwa moto ndani ya siku moja likiwa ni tukio la pili kutokea katika kipindi cha wiki mbili sasa.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kagera Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Augustino Ollomi amethibitisha kutokea kwa matukio hayo na kwamba jeshi la Polisi bado linaendelea na upelelezi kuhakikisha linawatia mbaroni wale wote wanaohusika na vitendo...
10 years ago
Mwananchi15 Dec
Ofisi yachomwa moto Rukwa
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Masijala ardhi Kigoma yachomwa moto
WATU wanne wanashikiliwa na jeshi la Polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kuchoma moto jengo la masijala ya Idara ya Ardhi Manispaa ya Kigoma Ujiji na kuteketeza nyaraka mbalimbali. Akizungumzia...
11 years ago
Habarileo14 Jun
Vikongwe wauawa, miili yao yachomwa moto
WATU wanne wamekufa mkoani Singida katika matukio mawili tofauti, likiwemo la wanandoa, vikongwe kuuawa kisha nyumba yao kuchomwa moto na mtu asiyefahamika.
11 years ago
Dewji Blog15 Jul
Imani za kishirikika, makazi yachomwa moto Kigoma
Pichani ni sehemu ya nyumba iliyoteketezwa na moto na wananchi wenye hasira kali wa kijiji cha Lugongoni “A” Kata na Tarafa ya Nguruka wilayani Uvinza mkoani Kigoma kwa kile kinachodaiwa ni imani za kishirikina.
Na Mwandishi wetu, Kigoma
Familia nne za wakazi wa Kijiji cha Lugongoni “A” Kata na Tarafa ya Nguruka Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma, hazina makazi baada ya nyumba zao kuchomwa moto na nyingine kubomolewa na kundi la wananchi wa kijiji hicho kutokana na imani za kishirikina.
Kamanda...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aLAJPBSYcn0/VN4eGvQDneI/AAAAAAAHDkE/-8vgX_Sd0kg/s72-c/DSCF4175.jpg)
pikipiki yachomwa moto kwa kukwapua simu ya mtu
![](http://2.bp.blogspot.com/-aLAJPBSYcn0/VN4eGvQDneI/AAAAAAAHDkE/-8vgX_Sd0kg/s1600/DSCF4175.jpg)