Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAKANISA MATATU YACHOMWA MOTO BUKOBA

Kanisa lilivyoteketea kwa moto. Kinanda kinchotumiwa na wanakwaya kwa ajili ya kupigia muziki kikiwa kimeungua. Makanisa hayo baada ya kuteketezwa kwa moto.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Makanisa mengine manne yachomwa Tanzania

Makanisa manne yameteketezwa Kagera, kaskazini magharibi mwa Tanzania na kufikisha saba, makanisa yaliyochomwa mwezi huu

 

10 years ago

BBCSwahili

Charlie Hebdo:Makanisa yachomwa Niger

Ripoti za Niger zinasema makanisa matatu yamechomwa katika mji mkuu wa Niamey dhidi ya uchapishaji wa vibonzo vya mtume Mohammed

 

9 years ago

BBCSwahili

Makanisa matatu yateketezwa Tanzania

Makanisa tatu katika mkoa wa Kagera kaskazini magharibi mwa Tanzania yamechomwa na watu wasiojulikana.

 

9 years ago

StarTV

Makanisa matatu yavunjwa na kuchomwa samani zake.

 

Mfululizo wa uhalifu dhidi ya makanisa mbalimbali bado unaendelea katika Mkoa wa Kagera ambapo makanisa matatu yamevunjwa na samani zake kuchomwa moto ndani ya siku moja likiwa ni tukio la pili kutokea katika kipindi cha wiki mbili sasa.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kagera Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Augustino Ollomi amethibitisha kutokea kwa matukio hayo na kwamba jeshi la Polisi bado linaendelea na upelelezi kuhakikisha linawatia mbaroni wale wote wanaohusika na vitendo...

 

10 years ago

Mwananchi

Ofisi yachomwa moto Rukwa

Wananchi ambao walishindwa kupiga kura kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa mjini Sumbawanga, Rukwa jana walivamia na kuchoma moto Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Kizwite iliyokuwa imesheheni vifaa vya kupigia kura.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Masijala ardhi Kigoma yachomwa moto

WATU wanne wanashikiliwa na jeshi la Polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kuchoma moto jengo la masijala ya Idara ya Ardhi Manispaa ya Kigoma Ujiji na kuteketeza nyaraka mbalimbali. Akizungumzia...

 

11 years ago

Habarileo

Vikongwe wauawa, miili yao yachomwa moto

 Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida, Geofrey KamwelaWATU wanne wamekufa mkoani Singida katika matukio mawili tofauti, likiwemo la wanandoa, vikongwe kuuawa kisha nyumba yao kuchomwa moto na mtu asiyefahamika.

 

11 years ago

Dewji Blog

Imani za kishirikika, makazi yachomwa moto Kigoma

Nyumba-kigoma

Pichani ni sehemu ya nyumba iliyoteketezwa na moto na wananchi wenye hasira kali wa kijiji cha Lugongoni “A” Kata na Tarafa ya Nguruka wilayani Uvinza mkoani Kigoma kwa kile kinachodaiwa ni imani za kishirikina.

Na Mwandishi wetu, Kigoma

Familia nne za wakazi wa Kijiji cha Lugongoni “A” Kata na Tarafa ya Nguruka Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma, hazina makazi baada ya nyumba zao kuchomwa moto na nyingine kubomolewa na kundi la wananchi wa kijiji hicho kutokana na imani za kishirikina.

Kamanda...

 

10 years ago

Michuzi

pikipiki yachomwa moto kwa kukwapua simu ya mtu

 Ule usemi wa za mwizi ni arobani,umetimia leo baada ya vijana wawili wanaotumia pikipiki (majina yao hayakupatikana mara moja) wenye utaalamu wa hali ya juu wa kukwapua simu za mikonini za watu wawapo kwenye magari au hata watembea kwa miguu kushindwa kufurukuta mbele ya wananchi wenye hasira.Tukio hilo limetokea jioni hii mbele ya bustani ya Botanical kwa upande unaotazamana na geti kuu la kuingia Hospitali ya Ocean Road,baada ya kumkwapulia simu mwanadada mmoja (jina kapuni) aliekuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani