Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makanisa matatu yateketezwa Tanzania

Makanisa tatu katika mkoa wa Kagera kaskazini magharibi mwa Tanzania yamechomwa na watu wasiojulikana.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MAKANISA MATATU YACHOMWA MOTO BUKOBA

Kanisa lilivyoteketea kwa moto. Kinanda kinchotumiwa na wanakwaya kwa ajili ya kupigia muziki kikiwa kimeungua. Makanisa hayo baada ya kuteketezwa kwa moto.…

 

9 years ago

StarTV

Makanisa matatu yavunjwa na kuchomwa samani zake.

 

Mfululizo wa uhalifu dhidi ya makanisa mbalimbali bado unaendelea katika Mkoa wa Kagera ambapo makanisa matatu yamevunjwa na samani zake kuchomwa moto ndani ya siku moja likiwa ni tukio la pili kutokea katika kipindi cha wiki mbili sasa.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kagera Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Augustino Ollomi amethibitisha kutokea kwa matukio hayo na kwamba jeshi la Polisi bado linaendelea na upelelezi kuhakikisha linawatia mbaroni wale wote wanaohusika na vitendo...

 

9 years ago

BBCSwahili

Makanisa mengine manne yachomwa Tanzania

Makanisa manne yameteketezwa Kagera, kaskazini magharibi mwa Tanzania na kufikisha saba, makanisa yaliyochomwa mwezi huu

 

9 years ago

Michuzi

MCHUNGAJI CHARLES GADI ASIMIKWA RASMI KUWA ASKOFU MKUU WA MAKANISA YOTE YA GOOD NEWS FOR ALL NCHINI TANZANIA


Askofu Charles Gadi akitoa historia yake katika ibada yake ya kusimikwa kuwa Askofu Mkuu wa Makanisa ya Good News for All baada ya kusimikwa rasmi katika kanisa hilo la Mapinga Wilayani Bagamoyo mkoani Pwani hivi karibuni.Wazee wa kiroho wa Askofu Gadi wakiwasalimia waumini katika ibada hiyo.Rais wa Makanisa ya Kipentekosti Afrika, Dk.Athar Gitonga (kushoto), akimkabdidhi fimbo ya Uaskofu, Askofu Gadi wakati wa ibada hiyo ya kuzimikwa kuwa Askofu wa Makanisa hayo.Hapa akikabidhiwa...

 

9 years ago

GPL

MCHUNGAJI CHARLES GADI ASIMIKWA RASMI KUWA ASKOFU MKUU WA MAKANISA YOTE YA GOOD NEWS FOR ALL NCHINI TANZANIA‏



Askofu Charles Gadi akitoa historia yake katika ibada yake ya kusimikwa kuwa Askofu Mkuu wa Makanisa ya Good News for All baada ya kusimikwa rasmi katika kanisa hilo la Mapinga Wilayani Bagamoyo mkoani Pwani hivi karibuni.

Wazee wa kiroho wa Askofu Gadi wakiwasalimia waumini katika ibada hiyo.…

 

10 years ago

Habarileo

Chumvi yateketezwa

Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano wa TBS, Roida AndusamileSHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS), limeteketeza tani moja na nusu ya chumvi ya Sea Salt, inayozalishwa na Kampuni ya Sea Salt Food Limited ya Bagamoyo mkoani Pwani, kutokana na kuwa chini ya kiwango cha ubora kinachotakiwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Nyumba ya ‘mlawiti’yateketezwa

>Wananchi wenye hasira, wameteketeza kwa moto nyumba ya mkazi wa Kijiji cha Mwika Uuwo, Wilaya ya Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro, wakimtuhumu kulawiti wanaume  wenzake.

 

10 years ago

Habarileo

Mahakama ya Mwanzo yateketezwa

MAHAKAMA ya Mwanzo ya Riagoro wilayani Rorya mkoani Mara, imechomwa moto na watu wasiojulikana na mali na nyaraka mbalimbali zilizokuwao, zimeteketea.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mashamba ya bangi yateketezwa Moro

OPERESHENI maalumu ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro kutokomeza mashamba ya bangi imefanyika na kufanikiwa kuwakamata watu wanne wamiliki wa mashamba hayo katika Wilaya za Kilosa, Mvomero na Morogoro....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani