Makanisa matatu yavunjwa na kuchomwa samani zake.
Mfululizo wa uhalifu dhidi ya makanisa mbalimbali bado unaendelea katika Mkoa wa Kagera ambapo makanisa matatu yamevunjwa na samani zake kuchomwa moto ndani ya siku moja likiwa ni tukio la pili kutokea katika kipindi cha wiki mbili sasa.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kagera Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Augustino Ollomi amethibitisha kutokea kwa matukio hayo na kwamba jeshi la Polisi bado linaendelea na upelelezi kuhakikisha linawatia mbaroni wale wote wanaohusika na vitendo...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili23 Sep
Makanisa matatu yateketezwa Tanzania
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/118.jpg)
MAKANISA MATATU YACHOMWA MOTO BUKOBA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oDtF2zwUl_4/UzHgewgJwjI/AAAAAAACeP0/W__xmjZYwqA/s72-c/michael.jpg)
Michael Agustine Lukindo Mtanzania aliyefariki Wisconsin wanatafutwa ndugu zake - maiti kuchomwa moto Jumamosi
![](http://3.bp.blogspot.com/-oDtF2zwUl_4/UzHgewgJwjI/AAAAAAACeP0/W__xmjZYwqA/s1600/michael.jpg)
Mtanzania mwenzetu amefariki Madison Wisconsin nchini Marekani, na kwa sasa ndugu zake wanatafutwa. Yeye ni mtu wa Tanga kwa jina la Michael Agustine Lukindo. Alikuja USA miaka mingi iliyopita, inasemekana zaidi ya miaka 30. Ameacha mke (African American) na watoto wanne, mkubwa alizaliwa 1989. Familia yake haijui ndugu za Michael. Mazishi yatafanyika Jumamosi March 29, 2014, ila mwili utachomwa. Kama una fununu au kujua lolote kuhusiana na...
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-oDtF2zwUl_4/UzHgewgJwjI/AAAAAAACeP0/W__xmjZYwqA/s1600/michael.jpg)
MICHAEL AGUSTINE LUKINDO MTANZANIA ALIYEFARIKI WISCONSIN WANATAFUTWA NDUGU ZAKE MAITI KUCHOMWA MOTO JUMAMOSI
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Tume ya Warioba yavunjwa rasmi
HATIMAYE Rais Jakaya Kikwete ameivunja rasmi Tume ya Mabadiliko ya Katiba, iliyokuwa chini ya Mwenyekiti Jaji Joseph Warioba. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana jijini Dar es Salaam na...
9 years ago
Mtanzania27 Nov
Kamati Taifa Stars yavunjwa
NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
KAMATI ya Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, jana imevunjwa rasmi baada ya kumaliza kazi yao iliyokuwa inawakabili ya kuhamasisha mechi dhidi ya Algeria.
Kamati hiyo iliyoundwa na Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi, ilikuwa na kazi ya kuhakikisha Taifa Stars inafanya vema kwenye michuano ya kuwania kufuzu kwa kombe la dunia 2018 nchini Urusi.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa kamati hiyo, Farough Baghouzah,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vshXEK8U-iiZV8yA8jopBOeybxfLyQtvhaHFoq2aURpGNtbmFuD4tJpw7uqKAZBU7-pO9bQIkOlYK5pcMC5qgsr-w7h5pCzQ/SLIM.jpg)
NDOA YA SLIM YAVUNJWA MAHAKAMANI
10 years ago
Habarileo17 Sep
Ofisi ya ACT yavunjwa, nyaraka zaibwa
OFISI ya Chama cha Mabadiliko na Uwazi (ACT) imevunjwa na kuibwa nyaraka mbalimbali muhimu, ikiwemo fedha taslimu Sh 280,000 usiku wa kuamkia jana. Taarifa ya tukio hilo, ilielezwa kwa waandishi wa habari na Katibu wa ACT Mkoa wa Arusha, Matokeo Simba.
10 years ago
BBCSwahili13 Aug
Rekodi ya wizi yavunjwa huko Chile