Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyumba ya ‘mlawiti’yateketezwa

>Wananchi wenye hasira, wameteketeza kwa moto nyumba ya mkazi wa Kijiji cha Mwika Uuwo, Wilaya ya Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro, wakimtuhumu kulawiti wanaume  wenzake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

nyumba, magari mawili yateketezwa kwa moto katika vurugu eneo la Olasiti jijini Arusha leo

Vurugu kubwa zinaripotiwa kutokea leo maeneo ya Olasiti jijini Arusha baaada ya habari ambazo bado kuthibitishwa rasmi zimeanza kufuatia mtu mmoja kukuta mfanyakazi wake wa kike akiwa  amelala  na anayedaiwa kuwa mpenzi wake ndani ya nyumba anayofanyia kazi. Inasemekana baba mwenye nyumba alikasirika sana kwa kitendo hicho na akampiga huyo kijan hadi akafa. Ndipo marafiki wa huyo anayedaiwa kuuwawa wakakusanyika nyumbani hapo na kuchoma moto nyumba na magari mawili kabla askari wa kutuliza...

 

10 years ago

Vijimambo

MAGARI TISA YATEKETEZWA KWA MOTO, NYUMBA 16 ZATIWA MOTO MGOGORO WA ENEO LA MALISHO SIHA

Mabaki ya nyumba yaliyoteketezwa kwa moto na wafugaji wa kimasaii wakidai eneo la malisho yao.(picha: Elias Kija, Siha, Kilimanjaro)Jeshi la Polisi likiwa limeimarisha ulinzi katika kijiji cha Miti-Mirefu wilayani Siha. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akiliangalia mojawapo la gari la mwekezaji lililochomwa moto katika eneo la Ndarakwai. Mwekezaji wa eneo la Ndarakwai wilayani Siha mkoani Kilimanjaro Peter Jones akizungumza na wanahabari katika eneo la tukio.Kwa picha na maelezo...

 

10 years ago

Habarileo

Chumvi yateketezwa

Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano wa TBS, Roida AndusamileSHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS), limeteketeza tani moja na nusu ya chumvi ya Sea Salt, inayozalishwa na Kampuni ya Sea Salt Food Limited ya Bagamoyo mkoani Pwani, kutokana na kuwa chini ya kiwango cha ubora kinachotakiwa.

 

10 years ago

Habarileo

Mahakama ya Mwanzo yateketezwa

MAHAKAMA ya Mwanzo ya Riagoro wilayani Rorya mkoani Mara, imechomwa moto na watu wasiojulikana na mali na nyaraka mbalimbali zilizokuwao, zimeteketea.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mashamba ya bangi yateketezwa Moro

OPERESHENI maalumu ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro kutokomeza mashamba ya bangi imefanyika na kufanikiwa kuwakamata watu wanne wamiliki wa mashamba hayo katika Wilaya za Kilosa, Mvomero na Morogoro....

 

9 years ago

BBCSwahili

Makanisa matatu yateketezwa Tanzania

Makanisa tatu katika mkoa wa Kagera kaskazini magharibi mwa Tanzania yamechomwa na watu wasiojulikana.

 

9 years ago

StarTV

Misumeno ya moto 45 yateketezwa Zanzibar

Jumla ya misumeno ya moto 45 inayosadikiwa kuangamiza kwa kiasi kikubwa misitu ya asili visiwani Zanzibar imeteketezwa kwa moto visiwani Zanzibar baada ya kubainika kuwa wamiliki wake wanaitumia kinyume na taratibu zilizopo.

Kutokana na hali hiyo Serikali ya Zanzibar imezindua sheria mpya ya kudhibiti matumizi ya misumeno hiyo inayopiga marufuku mtu yeyote kumiliki ama kuingiza nchini aina ya misumeno hiyo bila ya kibali maalum kwa mamlaka husika lengo likiwa kunusuru uharibifu mkubwa wa...

 

10 years ago

Habarileo

Makazi ya watuhumiwa wizi wa mifugo yateketezwa

WATU wasiojulikana wamevamia na kuchoma zaidi ya nyumba 10 za watuhumiwa watano wa wizi wa mifugo na wengine wanaojihusisha na migogoro ya ardhi wilaya ya Rorya mkoani Mara.

 

9 years ago

Dewji Blog

Shirika la Nyumba NHC lazindua uuzaji wa nyumba za mradi wa 711 Kawe

k1

Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba NHC Bw. Nehemia Mchechu Kyando akizungumza na wageni waalikwa wakati wa hafla ya uzinduzi wa uuzaji wa nyumba za mradi wa 711 uliopo Kawe jijini Dar es salaam, Nyumba hizi ziko kwenye majengo 7 yenye ghorofa 11 kila moja ambayo yanatarajiwa kuchukua watu 1000 kwa na huu ni utangulizi wa ujenzi wa mji mpya wa kisasa unaotarajiwa kujengwa eneo la Tanganyika Pakers Kawe jijini Dar es salaam ambao ukikamilika utaweza kuchukua watu 15000.

Watu wanaohitaji kununua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani