Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makazi ya watuhumiwa wizi wa mifugo yateketezwa

WATU wasiojulikana wamevamia na kuchoma zaidi ya nyumba 10 za watuhumiwa watano wa wizi wa mifugo na wengine wanaojihusisha na migogoro ya ardhi wilaya ya Rorya mkoani Mara.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Matukio ya wizi wa mifugo yakithiri

WANANCHI katika Wilaya Tarime mkoani Mara, wameiomba serikali kukomesha wizi wa mifugo unaotokea mara kwa mara wilayani humo, ambao unadaiwa kufanywa na watu kutoka nchi jirani. Wakizungumza na waandishi wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watuhumiwa wizi wa mtandao mbaroni

JESHI la Polisi Kanda Maalumu jijini Dar es Salaam limewakamata watu wawili wanaojihusisha na mtandao wa uhalifu kwa kutumia teknolojia ya mawasiliano (IT). Watuhumiwa hao Edison Mbekya (27), mkazi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Watuhumiwa kuwa na mtandao wa wizi wa madini

Sakata la wizi wa madini ya Tanzanite ya uzito wa kilogramu 15 yenye thamani ya zaidi ya Sh10 bilioni uliotokea katika Mgodi wa Tanzanite One Mining Limited(TML) hivi karibuni limeendelea kuchukua sura mpya baada ya vigogo wawili ndani ya kampuni hiyo kutajwa kuunda mtandao mpana wa wizi wa madini hayo.

 

11 years ago

Mwananchi

Watuhumiwa wa wizi wa Benki ya Barclays wafikishwa kortini

>Watu saba wakiwamo mameneja wawili wa Benki ya Barclays wamefikishwa katika  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka  ya wizi wa zaidi ya Sh479 milioni mali ya benki hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Watuhumiwa wa wizi Sh5 bil wapunguziwa kifungo

Mahakama Kuu imebatilisha kifungo cha miaka 30 jela walichokuwa wakitumikia wafungwa watatu kwa uporaji wa Sh5.3 bilioni zilizoporwa Benki ya NBC na kuwa kifungo cha miaka mitano jela.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Elias Goroi na suluhu ya vita ya koo, wizi wa mifugo Rorya

WILAYA ya Rorya iliyopo mkoani Mara ni miongoni mwa wilaya mpya hapa nchini ambayo pamoja na mambo mengine imekuwa ikisifika kwa baadhi ya wananchi wake kushiriki katika matukio ya ugomvi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Jeshi la Polisi lawashikilia watuhumiwa kumi na mbili wa wizi wa Makontena

PIX 1

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai  Bw.Diwani Athumani (CP) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo katika picha) jana jijini Dar es Salaam kuhusu uchunguzi wa sakata la watuhumiwa wa wizi wa makontena 329.

PIX 2

Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Bw.Diwani Athumani (CP) alipokuwa akitoa ufafanuzi kuhusu uchunguzi wa watuhumiwa wa wizi wa makontena kwa Mamlaka ya Bandari na Mamlaka ya Mapato Tanzania.

Na Nyakongo...

 

9 years ago

Michuzi

UCHUNGUZI WA SAKATA LA WATUHUMIWA WA WIZI WA MAKONTENA 329 KUCHUKULIWA HATUA

 Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai  Bw.Diwani Athumani (CP) akizungumza na waandishi wa habari ambao hawapo katika picha leo jijini Dar es Salaam kuhusu uchunguzi wa sakata la watuhumiwa wa wizi wa makontena 329.Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Bw.Diwani Athumani (CP) alipokuwa akitoa ufafanuzi kuhusu uchunguzi wa watuhumiwa wa wizi wa makontena kwa Mamlaka ya Bandari na Mamlaka ya Mapato Tanzania.

Na Nyakongo...

 

10 years ago

Michuzi

POLISI MNAWAFAHAMU WATUHUMIWA HAWA! WIZI WA KITAPELI KWA SIMU ZA MKONONI WAKITHIRI KARIKAKOO DAR.


Baadhi ya vijana wanaofanya utapeli kwa kutumia vipande vya sabuni wakikimbia baada ya kunaswa na kamera ya bloger wetu wakiwa katika jitihada za kumwibia mmoja wapita njia katika mtaa wa Uhuru Dar es Salaam leo asubuhi. 

Kwa Mujibu wa shuhuda vijana hao huwa kundi na baadhi huangalia mwenzao akitekeleza uhalifu wakati wao wakihakikisha wanampa ishara ya kufuatiliwa na kutoa ishara waonapo mazingira ya mchakato kushindikana ama hali kuwa tete kwa mwenzao iwapo mnunuzi wa simu atakuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani