Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matukio ya wizi wa mifugo yakithiri

WANANCHI katika Wilaya Tarime mkoani Mara, wameiomba serikali kukomesha wizi wa mifugo unaotokea mara kwa mara wilayani humo, ambao unadaiwa kufanywa na watu kutoka nchi jirani. Wakizungumza na waandishi wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Makazi ya watuhumiwa wizi wa mifugo yateketezwa

WATU wasiojulikana wamevamia na kuchoma zaidi ya nyumba 10 za watuhumiwa watano wa wizi wa mifugo na wengine wanaojihusisha na migogoro ya ardhi wilaya ya Rorya mkoani Mara.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Elias Goroi na suluhu ya vita ya koo, wizi wa mifugo Rorya

WILAYA ya Rorya iliyopo mkoani Mara ni miongoni mwa wilaya mpya hapa nchini ambayo pamoja na mambo mengine imekuwa ikisifika kwa baadhi ya wananchi wake kushiriki katika matukio ya ugomvi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi ya Boko Haram yakithiri

Maafisa wakuu Nigeria wanasema kuwa Boko Haram, wameshambulia vijiji kadhaa katika jimbo la Adamawa Kaskazini mwa nchi hiyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Maandamano yakithiri Bangkok,Thailand

Melfu ya waandamanaji wanaopinga serikali wamefurika katika barabara za mji mkuu wa Thailand ,Bangkok licha ya serikali kutangaza uchaguzi wa mapema nchini humo.

 

10 years ago

Habarileo

Biashara ya fedha haramu yakithiri

Kamishna Mkuu wa TRA, Dk Rished Bade KUSHAMIRI kwa fedha haramu nchini kunakofanywa na baadhi ya Watanzania wasio waaminifu ndani na nje ya nchi, kumeisababishia taifa hasara ya bilioni 590/- (dola milioni 328) kila mwaka, imeelezwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Misungwi yakithiri kwa ukatili wa kijinsia

Wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza imeelezwa kukithiri kwa ukatili wa kijinsia, huku idadi kubwa ya watu wanaofanyiwa vitendo hivyo ni wanawake na watoto.     

 

10 years ago

Mwananchi

Maambukizi ya VVU yakithiri kwa wanaojidunga dawa za kulevya

Serikali imetoka takwimu za utafiti wa maambukizi ya ukimwi nchini ukionyesha kuenea kwa kasi zaidi kwa maambukizi mapya ya VVU kwenye makundi maalumu ambayo ni wale wanaotumia dawa za kulevya ,Wanawake wanaofanya biashara ya ngono, na kundi la wanaume wanaofanya mapenzi ya jinsia moja.

 

5 years ago

Michuzi

KATA YA KITWIRU YAKITHIRI KWA VITENDO VYA UPORAJI NA UKABAJI.

Diwani wa Kata ya Kitwiru Baraka Kimata akiongea na wananchi jinsi ya kupambana na vitendo vya ukabaji na uporaji wa mali unaofanywa na vibaka katika mtaa wa Nyamuhanga( PICHA KUTOKA MAKTABA)

NA FREDY MGUNDA,IRINGA.Wananchi wa kata ya Kitwiru  Manispaa ya Iringa Wameiomba Serikali kupitia vyombo vyake vya ulinzi na usalama kuanzisha mkakati maalum utakaowashirikisha wakazi wa maeneo hayo ili kudhibiti ongezeko la vijana wanaojihusisha na vitendo vya uhalifu ikiwemo matumizi yamihadarati aina...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yakemea utesaji mifugo

SERIKALI imekemea tabia inayozidi kujengeka ya kutesa mifugo kwa kuinyima chakula na maji, kuipiga risasi au kuikata mapanga kwa kisingizio cha migogoro ya ardhi. Aidha, imesisitiza wafugaji kuheshimu shughuli za watumiaji wengine wa ardhi kwani jamii zote zinategemeana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani