Maandamano yakithiri Bangkok,Thailand
Melfu ya waandamanaji wanaopinga serikali wamefurika katika barabara za mji mkuu wa Thailand ,Bangkok licha ya serikali kutangaza uchaguzi wa mapema nchini humo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMAONESHO YA VITO NA USONARA MJINI BANGKOK THAILAND
9 years ago
MichuziTANZANIA YAENDELEA KUNG’ARA KATIKA MAONESHO YA VITO JIJINI BANGKOK, NCHINI THAILAND
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MutXCvJoyvI/VNIzKNk7lZI/AAAAAAAHBrk/wVlaEEYxUc0/s72-c/DSC_1394.jpg)
KAMANDA KOVA APIGA ‘STOP’ MAANDAMANO YA UVCCM ILALA,MAANDAMANO YA BAVICHA YAACHWA KIPORO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-MutXCvJoyvI/VNIzKNk7lZI/AAAAAAAHBrk/wVlaEEYxUc0/s1600/DSC_1394.jpg)
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam imezuia maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Ilala (UVCCM) ya kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho pamoja na kuacha kiporo maandamano ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha).
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ,Kamishina wa Jeshi la Polisi ,Suleiman Kova ,amesema kuzuia kwa maandamano...
10 years ago
Habarileo13 Mar
Biashara ya fedha haramu yakithiri
KUSHAMIRI kwa fedha haramu nchini kunakofanywa na baadhi ya Watanzania wasio waaminifu ndani na nje ya nchi, kumeisababishia taifa hasara ya bilioni 590/- (dola milioni 328) kila mwaka, imeelezwa.
11 years ago
BBCSwahili27 Feb
Mashambulizi ya Boko Haram yakithiri
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
Matukio ya wizi wa mifugo yakithiri
WANANCHI katika Wilaya Tarime mkoani Mara, wameiomba serikali kukomesha wizi wa mifugo unaotokea mara kwa mara wilayani humo, ambao unadaiwa kufanywa na watu kutoka nchi jirani. Wakizungumza na waandishi wa...
9 years ago
Mwananchi12 Dec
Misungwi yakithiri kwa ukatili wa kijinsia
10 years ago
Mwananchi23 Feb
Maambukizi ya VVU yakithiri kwa wanaojidunga dawa za kulevya
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OKCNZwa_dsM/XrqwlytQTzI/AAAAAAAAH4s/dykmUEuyNAsBv0euHSzlI9g10lmvAtYwgCLcBGAsYHQ/s72-c/BARAKA%2B2.jpg)
KATA YA KITWIRU YAKITHIRI KWA VITENDO VYA UPORAJI NA UKABAJI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-OKCNZwa_dsM/XrqwlytQTzI/AAAAAAAAH4s/dykmUEuyNAsBv0euHSzlI9g10lmvAtYwgCLcBGAsYHQ/s640/BARAKA%2B2.jpg)
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.Wananchi wa kata ya Kitwiru Manispaa ya Iringa Wameiomba Serikali kupitia vyombo vyake vya ulinzi na usalama kuanzisha mkakati maalum utakaowashirikisha wakazi wa maeneo hayo ili kudhibiti ongezeko la vijana wanaojihusisha na vitendo vya uhalifu ikiwemo matumizi yamihadarati aina...