UCHUNGUZI WA SAKATA LA WATUHUMIWA WA WIZI WA MAKONTENA 329 KUCHUKULIWA HATUA
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Bw.Diwani Athumani (CP) akizungumza na waandishi wa habari ambao hawapo katika picha leo jijini Dar es Salaam kuhusu uchunguzi wa sakata la watuhumiwa wa wizi wa makontena 329.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Bw.Diwani Athumani (CP) alipokuwa akitoa ufafanuzi kuhusu uchunguzi wa watuhumiwa wa wizi wa makontena kwa Mamlaka ya Bandari na Mamlaka ya Mapato Tanzania.
Na Nyakongo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Jeshi la Polisi lawashikilia watuhumiwa kumi na mbili wa wizi wa Makontena
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Bw.Diwani Athumani (CP) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo katika picha) jana jijini Dar es Salaam kuhusu uchunguzi wa sakata la watuhumiwa wa wizi wa makontena 329.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Bw.Diwani Athumani (CP) alipokuwa akitoa ufafanuzi kuhusu uchunguzi wa watuhumiwa wa wizi wa makontena kwa Mamlaka ya Bandari na Mamlaka ya Mapato Tanzania.
Na Nyakongo...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dK2Dr4I9KsU/VJrTZzANF6I/AAAAAAAAOo8/gu_-Mx4-NRo/s72-c/DSC_4297.jpg)
UKAWA WACHARUKA, WASEMA HATUA ZA JK DHIDI YA WATUHUMIWA SAKATA LA ESCROW HAZITOSHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-dK2Dr4I9KsU/VJrTZzANF6I/AAAAAAAAOo8/gu_-Mx4-NRo/s640/DSC_4297.jpg)
9 years ago
Mtanzania12 Dec
Watuhumiwa wa makontena 40 wawekwa rumande
NA TUNU NASSOR, DAR ES SALAAM
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limewakamata watumishi 40 wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Mamlaka ya Bandari (TPA) wanaotuhumiwa kula njama za kuikosesha Serikali mapato.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini, Kamishna wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, alisema jeshi hilo linawashikilia watumishi 26 wa TRA na watatu wa Bandari kavu (ICD) ya Azam kwa kuhusika na upotevu wa makontena 329.
Aliwataja watumishi...
10 years ago
BBCSwahili15 Jan
Magaidi kuchukuliwa hatua Ufaransa
10 years ago
BBCSwahili28 Aug
Wanamgambo kuchukuliwa hatua Libya
9 years ago
Mwananchi03 Jan
Sakata la makontena lahamia mahakamani
9 years ago
Habarileo02 Dec
Makontena yanaswa sakata TRA
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imekamata makontena tisa, yaliyotoroshwa kutoka katika bandari kavu na kuhamishiwa katika eneo la Mbezi Tangi Bovu, Dar es Salaam, hivyo kuwepo na kiashiria cha ukwepaji wa kodi.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Hw114l5o4GM/Xl4pvrDWeLI/AAAAAAACz8o/sO63b4J-NwcPHDx0hzYaJnTp5vjgwZjdQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KUCHUKULIWA HATUA KALI WALIOFUJA MALI ZA MKONGE
![](https://1.bp.blogspot.com/-Hw114l5o4GM/Xl4pvrDWeLI/AAAAAAACz8o/sO63b4J-NwcPHDx0hzYaJnTp5vjgwZjdQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Pia, Waziri Mkuu amesema Serikali itafanya uchunguzi katika mashamba yote ya mkonge ili kubaini yameendelezwa kwa kiasi gani na sehemu ambazo hazijaendelezwa zitachukuliwa na kugawiwa kwa wananchi ili walime mkonge.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumanne, Machi 3, 2020) wakati akizungumza kwa nyakati tofauti na wananchi wa kata za...
5 years ago
MichuziWALIOFUJA MALI ZA MKONGE KUCHUKULIWA HATUA-MAJALIWA
Pia, Waziri Mkuu amesema Serikali itafanya uchunguzi katika mashamba yote ya mkonge ili kubaini yameendelezwa kwa kiasi gani na sehemu ambazo hazijaendelezwa zitachukuliwa na kugawiwa kwa wananchi ili walime mkonge.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo(Jumanne, Machi 3, 2020) wakati akizungumza kwa nyakati tofauti na wananchi wa kata za Segera...