Watuhumiwa wa makontena 40 wawekwa rumande
NA TUNU NASSOR, DAR ES SALAAM
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limewakamata watumishi 40 wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Mamlaka ya Bandari (TPA) wanaotuhumiwa kula njama za kuikosesha Serikali mapato.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini, Kamishna wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, alisema jeshi hilo linawashikilia watumishi 26 wa TRA na watatu wa Bandari kavu (ICD) ya Azam kwa kuhusika na upotevu wa makontena 329.
Aliwataja watumishi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV26 Nov
Maafisa ardhi Kinondoni wawekwa rumande kwa saa 6
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda ameagiza kuwekwa ndani kwa Maofisa Ardhi wote wa Wilaya ya Kinondoni kwa saa sita kutokana na kuchelewa kufika katika eneo la Sangwe Kata ya Wazo walipokuwa wamekubaliana kukutana kwa ajili kutafuta suluhisho la migogoro ardhi katika eneo hilo.
Kwa Mujibu wa Makonda, Kitendo cha Maofisa ardhi hao kuchelewa katika eneo la tukio ni utovu wa Nidhamu na ukiukaji wa maadili ya kazi ambayo yanazidi kuwafanya wananchi kuishi kwa shida kutokana na...
9 years ago
MichuziUCHUNGUZI WA SAKATA LA WATUHUMIWA WA WIZI WA MAKONTENA 329 KUCHUKULIWA HATUA
Na Nyakongo...
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Jeshi la Polisi lawashikilia watuhumiwa kumi na mbili wa wizi wa Makontena
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Bw.Diwani Athumani (CP) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo katika picha) jana jijini Dar es Salaam kuhusu uchunguzi wa sakata la watuhumiwa wa wizi wa makontena 329.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Bw.Diwani Athumani (CP) alipokuwa akitoa ufafanuzi kuhusu uchunguzi wa watuhumiwa wa wizi wa makontena kwa Mamlaka ya Bandari na Mamlaka ya Mapato Tanzania.
Na Nyakongo...
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Zanzibar wawekwa kitimoto
9 years ago
Habarileo05 Dec
Wanafunzi wawekwa kinyumba
BAADHI wa wanafunzi wa kike wanaosoma katika shule za sekondari mkoani Rukwa, wamejikuta wakiwekwa kinyumba baada ya wazazi na walezi wao kuwapangishia vyumba vijijini na kuwatelekeza.
9 years ago
BBCSwahili28 Sep
Ng’ombe wawekwa ‘reflector’ Zimbabwe
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Majaji, Mahakimu wawekwa kikaangoni
10 years ago
Mwananchi15 Dec
Wawekwa kiporo maeneo mengi
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Makamba Wassira nao wawekwa kikaangoni