Wawekwa kiporo maeneo mengi
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa jana ulilazimika kuahirishwa katika baadhi ya maeneo nchini, kutokana ama na kukosewa kwa majina ya wagombea, baadhi yao kuwekewa nembo za vyama wasivyotoka au uhaba wa vifaa vya kupigia kura.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Umeme wakatika maeneo mengi nchini
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4YilfwQJfCs0qM3i91EH3PeCMRWq3dVvqPOQ9VaXHEz-7OuiVe*8RqFD-2RDv1vjoLRP-Cbi-uQX2zaBtTo6pZIYMO253n-w/Diamond.jpg)
DIAMOND AVUNJA REKODI MAENEO MENGI
9 years ago
StarTV30 Dec
Serikali yabaini kuwepo maeneo mengi yasiyoendelezwa Â
Serikali imebaini kuwepo kwa maeneo mengi ambayo wamiliki wake wameshindwa kuyaendeleza hali ambayo imesababisha migogoro ya mara kwa mara baina yao na wananchi.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amesema kuanzia Januari mwakani, Serikali itakagua mashamba yote yaliyoshindwa kuendelezwa, yasiyolipiwa kodi na yaliyowekwa dhamana ama bondi na kuyarudisha serikalini.
Amedai hatua hiyo itafanyika kwa umakini mkubwa kutokana na Serikali kutambua kuwa ardhi ni uchumi...
10 years ago
Mwananchi14 Apr
Mtandao wa vibaka na uhalifu wajiimarisha maeneo mengi
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-393RB8L67uw/VSkgUxufGwI/AAAAAAAAaac/VOBM3x0ayd0/s72-c/jk823.jpg)
MKE WA BILLIONEA MENGI K-LYIN AAMUA KUBADILI JINA MARA BAADA YA KUFUNGA NDOA NA MH. MENGI
![](http://3.bp.blogspot.com/-393RB8L67uw/VSkgUxufGwI/AAAAAAAAaac/VOBM3x0ayd0/s640/jk823.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-riMQ3-qlTZs/VSkgUxBCNEI/AAAAAAAAaaY/zFfW6l5uG-s/s640/jk89.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AVxR5UeiMtw/VSkgW24dBCI/AAAAAAAAaao/0WxrEGDQO4Q/s640/meng879.jpg)
5 years ago
BBCSwahili23 Feb
Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Mkewe Reginald Mengi adai kuzuiwa kuona kaburi la mumewe Tanzania
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-QVFvxB3vifE/VW1Gbdk868I/AAAAAAAAu9g/Yxkr0FKnjy4/s72-c/007d2d.jpg)
Bifu la Emelda Mwamanga wa Bang magazine na Reginald Mengi Kwa Kuvujisha Picha za Mengi na Familia yake
![](http://2.bp.blogspot.com/-QVFvxB3vifE/VW1Gbdk868I/AAAAAAAAu9g/Yxkr0FKnjy4/s640/007d2d.jpg)
Mwanamama mjasiriamali, na managing director wa jarida maarufu nchini , Bang magazine , aitwaye Emelda Mwamanga amefunguka kuhusu bifu lake na mfanyabiashara maarufu nchini, Reginald Mengi, kupitia kwenye moja ya mahojiano ya kwenye kipindi maarufu cha Tv Hapa nchini .Mbali na kuelezea experience yake kwenye biashara yake, pia alizungumzia changamoto mbali mbali anazokabiliana nazo kwenye biashara zake, moja ya changamoto alizozielezea ni ile ya kushtakiwa na mfanyabiashara maarufu nchini,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KRjKHmERqpU/VZqTKj1dMSI/AAAAAAAHnUk/pg6ndeyG-AA/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-07-06%2Bat%2B5.36.52%2BPM.png)