Umeme wakatika maeneo mengi nchini
Baadhi ya maeneo nchini yalikosa umeme kwa siku nzima ya jana, kitendo kilichotafsiriwa na wengi kwamba ni hujuma ili kuwafanya wasione mjadala wa kashfa ya IPTL uliokuwa ukiendelea bungeni Dodoma jana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-35hDsgsQkZ4/U6BuM07ztLI/AAAAAAABLoE/GHFyuMo_AvQ/s72-c/PIC+1.png)
Shoti ya Umeme yasababisha Kukosekana Umeme Baadhi ya Maeneo Zanzibar leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-35hDsgsQkZ4/U6BuM07ztLI/AAAAAAABLoE/GHFyuMo_AvQ/s1600/PIC+1.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wLPALSA0wcA/U6BuRrBeKjI/AAAAAAABLoU/Xq2PEvJf09w/s1600/PIC+4.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bXlBlTHSs-A/U6BuXprjHcI/AAAAAAABLok/Owounfiqwn8/s1600/PIC+7.png)
Kuamkia alfajiri ya leo ya tarehe 17/06/2014 maeneo yate ya mji wa Unguja na maeneo jirani ya mji wa Unguja yalikumbwa na ukosefu wa umeme uliotokea kuanzia majira ya saa 11 asubuhi hadi saa 7 mchana...
10 years ago
Mwananchi15 Dec
Wawekwa kiporo maeneo mengi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4YilfwQJfCs0qM3i91EH3PeCMRWq3dVvqPOQ9VaXHEz-7OuiVe*8RqFD-2RDv1vjoLRP-Cbi-uQX2zaBtTo6pZIYMO253n-w/Diamond.jpg)
DIAMOND AVUNJA REKODI MAENEO MENGI
10 years ago
Mwananchi14 Apr
Mtandao wa vibaka na uhalifu wajiimarisha maeneo mengi
9 years ago
StarTV30 Dec
Serikali yabaini kuwepo maeneo mengi yasiyoendelezwa Â
Serikali imebaini kuwepo kwa maeneo mengi ambayo wamiliki wake wameshindwa kuyaendeleza hali ambayo imesababisha migogoro ya mara kwa mara baina yao na wananchi.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amesema kuanzia Januari mwakani, Serikali itakagua mashamba yote yaliyoshindwa kuendelezwa, yasiyolipiwa kodi na yaliyowekwa dhamana ama bondi na kuyarudisha serikalini.
Amedai hatua hiyo itafanyika kwa umakini mkubwa kutokana na Serikali kutambua kuwa ardhi ni uchumi...
5 years ago
MichuziUMEME MDOGO KWA BAADHI YA MAENEO YA MJI WA ZANZIBAR,CHANZO NI ONGEZEKO LA WATUMIAJI NA UJENZI HOLELA
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
Tutafakari sababu za kuanzishwa makanisa mengi nchini
HIVI karibuni rafiki yangu Mwislamu, ambaye hakutaka jina lake litajwe hapa, lakini kesho na keshokutwa nitalitaja, aliniuliza swali: “Una maoni gani juu ya makanisa haya yanayochipuka kila kukicha hapa nchini?”...
11 years ago
Mwananchi17 May
Serikali sasa kutenga maeneo ya wafugaji nchini
11 years ago
Dewji Blog04 Jun
“Mpaka sasa maandamano mengi yamefanyika hapa nchini”- SACP Simon Sirro
Kamishina Mwandamizi wa Jeshi la Polisi nchini (SACP) Simon Sirro akizungumza kwenye ufunguzi wa mafunzo ya wiki mbili kwa makamanda wa Jeshi hilo nchini, mafunzo hayo yaliyofadhiliwa na UNDP yana lengo la kuwajengea uwezo makamanda jinsi ya kupambana na viashiria vya uvunjifu wa amani bila kuleta madhara makubwa kwa jamii. Kushoto ni Mtaalamu wa Uchaguzi kutoka UNDP, William Hogan na kulia ni wakufunzi kutoka Uingereza, Adrian Barnes (kulia) na Alan Binks (wa pili kulia).
Na Mwandishi...