Watuhumiwa wa wizi Sh5 bil wapunguziwa kifungo
Mahakama Kuu imebatilisha kifungo cha miaka 30 jela walichokuwa wakitumikia wafungwa watatu kwa uporaji wa Sh5.3 bilioni zilizoporwa Benki ya NBC na kuwa kifungo cha miaka mitano jela.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Kaya 12,300 kunufaika na miradi ya Sh5 bil Chamwino
10 years ago
Habarileo26 Mar
Dawa za kulevya faini bil.1/-, kifungo miaka 30
BUNGE limepitisha rasmi Muswada wa Sheria ya Udhibiti wa Dawa za Kulevya wa mwaka 2014, huku adhabu ya kifo kwa watakaokutwa na dawa hizo, ikishindikana kuingizwa kwenye muswada huo, isipokuwa mapapa na vigogo wa biashara hiyo, wameongezewa adhabu ya faini ya Sh bilioni moja na kifungo cha maisha.
10 years ago
Tanzania Daima16 Sep
Watuhumiwa wizi wa mtandao mbaroni
JESHI la Polisi Kanda Maalumu jijini Dar es Salaam limewakamata watu wawili wanaojihusisha na mtandao wa uhalifu kwa kutumia teknolojia ya mawasiliano (IT). Watuhumiwa hao Edison Mbekya (27), mkazi wa...
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Watuhumiwa kuwa na mtandao wa wizi wa madini
10 years ago
Habarileo30 Oct
Makazi ya watuhumiwa wizi wa mifugo yateketezwa
WATU wasiojulikana wamevamia na kuchoma zaidi ya nyumba 10 za watuhumiwa watano wa wizi wa mifugo na wengine wanaojihusisha na migogoro ya ardhi wilaya ya Rorya mkoani Mara.
11 years ago
Mwananchi03 May
Watuhumiwa wa wizi wa Benki ya Barclays wafikishwa kortini
10 years ago
Habarileo06 Jan
Wizi wa madini ya bil. 1,2/- wastukiwa
NJAMA na hujuma zinazodaiwa kupangwa na baadhi vigogo waliokuwa wafanyakazi wa Kampuni ya Tanzanite One iliyouza hisa zake, zinaendelea kushika kasi, kwani madini yenye thamani ya Dola za Marekani zaidi ya 790,000 (Sh bilioni 1.2) yamenusurika kuibwa hivi karibu.
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Jeshi la Polisi lawashikilia watuhumiwa kumi na mbili wa wizi wa Makontena
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Bw.Diwani Athumani (CP) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo katika picha) jana jijini Dar es Salaam kuhusu uchunguzi wa sakata la watuhumiwa wa wizi wa makontena 329.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Bw.Diwani Athumani (CP) alipokuwa akitoa ufafanuzi kuhusu uchunguzi wa watuhumiwa wa wizi wa makontena kwa Mamlaka ya Bandari na Mamlaka ya Mapato Tanzania.
Na Nyakongo...
9 years ago
MichuziUCHUNGUZI WA SAKATA LA WATUHUMIWA WA WIZI WA MAKONTENA 329 KUCHUKULIWA HATUA
Na Nyakongo...