Dawa za kulevya faini bil.1/-, kifungo miaka 30
BUNGE limepitisha rasmi Muswada wa Sheria ya Udhibiti wa Dawa za Kulevya wa mwaka 2014, huku adhabu ya kifo kwa watakaokutwa na dawa hizo, ikishindikana kuingizwa kwenye muswada huo, isipokuwa mapapa na vigogo wa biashara hiyo, wameongezewa adhabu ya faini ya Sh bilioni moja na kifungo cha maisha.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TlZuy_yX7iw/XrWMFT12naI/AAAAAAALphM/er39MqVCxU0WPndFnZpMvBWNq7y6Zv19gCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
AHUKUMIWA KIFUNGO MIAKA 30 GEREZANI KWA KOSA LA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA AINA YA HEROINE ZENYE UZITO WA GRAMU 306.6
Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu uchumi, imemuhukumu Islem Shebe Islem (50) raia wa Tanzania mwenye asili ya kiarabu, kutumikia kifungo cha miaka 30 gerezani baada ya kupatikana na hatia katika kosa la kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroine zenye uzito wa gramu 306.32.
Hukumu hiyo imesomwa leo Mei 8 2020 mbele Jaji Elinaza Luvanda baada upande wa mashtaka kupitia mashahidi wake saba na vielelezo mbali mbali zikiwemo dawa hizo kuweza...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-sW6TZhGLzlA/XmfCjS3dUYI/AAAAAAACIe8/DU7gqOUO0_oWW0HRk3lfBUgPvoO-B5QzgCLcBGAsYHQ/s72-c/mbowe.jpg)
MAHAKAMA YA KISUTU YAWATIA HATIANI KINA MBOWE, YAWAHUKUMU KILA MMOJA KIFUNGO CHA MIAKA MITANO JELA AU KULIPA FAINI YA MAMILIONI YA FEDHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-sW6TZhGLzlA/XmfCjS3dUYI/AAAAAAACIe8/DU7gqOUO0_oWW0HRk3lfBUgPvoO-B5QzgCLcBGAsYHQ/s400/mbowe.jpg)
KISUTU, Dar es SalaamMahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam, imewatia hatiani viongozi wanane wa Chadema na Katibu Mkuu wa zamani wa chama hicho Dk. Vicent Mashinji, katika mashtaka 12 kati ya 13 yaliyokuwa yanawakabili, isipokuwa shtaka la kwanza la kula njama.
Akisoma hukumu kwa washtakiwa hao, Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo Thomas Simba,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4Aml9tsFYU4/XlfIqOzCHNI/AAAAAAALftk/-xNVPU6oT0EZdBUbdzfsINGNnZkZjRxDACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-27%2Bat%2B3.10.38%2BPM.jpeg)
MKURUGENZI WA KAMPUNI INAYOJENGA RELI YA KISASA YAPI MARKEZ, AHUKUMIWA KULIPA FAINI YA DOLA MILIONI 100 AMA KIFUNGO CHA MIAKA MITATU JERA
![](https://1.bp.blogspot.com/-4Aml9tsFYU4/XlfIqOzCHNI/AAAAAAALftk/-xNVPU6oT0EZdBUbdzfsINGNnZkZjRxDACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-27%2Bat%2B3.10.38%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-oCStbbgFXV8/XlfIqbYAH3I/AAAAAAALfts/KoKB1Mgah0oBK7G8gvdKHDcEnLreGzGJQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-27%2Bat%2B3.10.39%2BPM.jpeg)
MKURUGENZI wa Uwezeshaji wa Kampuni ya Yapi Markez inayojenga Reli ya kisasa Standard Gauge, Yetkin Genc Mehmet ((54) raia wa Uturuki amehukumiwa kulipa faini ya USD milioni 100 ama kutumikia kifungo cha miaka mitatu gerezani baada ya kukiri...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
Tanzania yashiriki Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) jijini Vienna, Austria
![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s1600/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
9 years ago
Mtanzania03 Dec
Dawa za kulevya zampeleka Harris jela miaka nane
NEW YORK, MAREKANI
MKALI wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Mendeces Harris, amepelekwa jela miaka nane kutokana na kesi ya dawa ya kulevya.
Msanii huyo mwenye umri wa miaka 37, awali alikamatwa na dawa mwaka 2011, akiwa na gari aina ya Audi R8 yenye thamani ya dola 111,000, lakini inasemekana kuwa kesi hiyo ilimalizika kwa kulipa kiasi cha dola 171,000.
Msanii huyo ameonekana kuwa mtu wa matukio tangu mwaka 2005, 2006, 2008 na 2012, hivyo kwa sasa ametakiwa atumikie kifungo hicho akiwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8xK5LEJJHwU/XmjQUK9EPTI/AAAAAAALilo/2jZDj7auqUsukbWHhZdiu-2K9c3JAek1wCLcBGAsYHQ/s72-c/POLE%2B2.jpg)
CCM YAMLIPIA FAINI DKT. MASHINJI, AKWEPA KIFUNGO
Mashinji ambaye awali alikuwa Katibu Mkuu wa Chadema kabla ya hivi karibuni kuhamia CCM, pamoja na Viongozi nane wa Chadema wote kwa pamoja walihukumiwa kulipa faini ya...
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Watuhumiwa wa wizi Sh5 bil wapunguziwa kifungo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FzKN1tywSG8/XmopGiy_s7I/AAAAAAALixI/BaV_wiiiqQ4jlUeY9D7b9N94WSknDaguwCLcBGAsYHQ/s72-c/MSIGWA%252BPIC.jpg)
BREAKING NEWZZZZ: RAIS MAGUFULI AMNUSURU KIFUNGO MBUNGE WA IRINGA MJINI PETER MSIGWA,AMLIPIA FAINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-FzKN1tywSG8/XmopGiy_s7I/AAAAAAALixI/BaV_wiiiqQ4jlUeY9D7b9N94WSknDaguwCLcBGAsYHQ/s640/MSIGWA%252BPIC.jpg)
Hatua hiyo imefikiwa leo Machi 12,2020 baada ya familia kwenda kuomba msaada kwa Rais Magufuli baada ya wao kuchangishana na kufanikiwa kupata sh. Milioni mbili tu na kushindwa kutimiza fedha hizo...