CCM YAMLIPIA FAINI DKT. MASHINJI, AKWEPA KIFUNGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-8xK5LEJJHwU/XmjQUK9EPTI/AAAAAAALilo/2jZDj7auqUsukbWHhZdiu-2K9c3JAek1wCLcBGAsYHQ/s72-c/POLE%2B2.jpg)
BAADA ya jana, Machi 10,2020 Dkt. Vicent Mashinji kukutwa na hatia katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kuhukumiwa kulipa faini ya sh. Milioni 30 ama kwenda jela miezi mitano leo Machi 11 Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Dar es salaam kimemlipia faini hiyo ya sh. Milioni 30 na kupewa kibali cha kwenda kumtoa gerezani.
Mashinji ambaye awali alikuwa Katibu Mkuu wa Chadema kabla ya hivi karibuni kuhamia CCM, pamoja na Viongozi nane wa Chadema wote kwa pamoja walihukumiwa kulipa faini ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ClKtrwHc1Ko/XkupvFM6DCI/AAAAAAALd3Y/_aPqt1pQYxMUY1zAPLt136eesggHIE6zACLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
BREAKING NEWZZZZZ: ALIYEKUWA KATIBU MKUU TAIFA WA CHADEMA DKT MASHINJI AHAMIA CCM.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ClKtrwHc1Ko/XkupvFM6DCI/AAAAAAALd3Y/_aPqt1pQYxMUY1zAPLt136eesggHIE6zACLcBGAsYHQ/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
Habarileo26 Mar
Dawa za kulevya faini bil.1/-, kifungo miaka 30
BUNGE limepitisha rasmi Muswada wa Sheria ya Udhibiti wa Dawa za Kulevya wa mwaka 2014, huku adhabu ya kifo kwa watakaokutwa na dawa hizo, ikishindikana kuingizwa kwenye muswada huo, isipokuwa mapapa na vigogo wa biashara hiyo, wameongezewa adhabu ya faini ya Sh bilioni moja na kifungo cha maisha.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FzKN1tywSG8/XmopGiy_s7I/AAAAAAALixI/BaV_wiiiqQ4jlUeY9D7b9N94WSknDaguwCLcBGAsYHQ/s72-c/MSIGWA%252BPIC.jpg)
BREAKING NEWZZZZ: RAIS MAGUFULI AMNUSURU KIFUNGO MBUNGE WA IRINGA MJINI PETER MSIGWA,AMLIPIA FAINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-FzKN1tywSG8/XmopGiy_s7I/AAAAAAALixI/BaV_wiiiqQ4jlUeY9D7b9N94WSknDaguwCLcBGAsYHQ/s640/MSIGWA%252BPIC.jpg)
Hatua hiyo imefikiwa leo Machi 12,2020 baada ya familia kwenda kuomba msaada kwa Rais Magufuli baada ya wao kuchangishana na kufanikiwa kupata sh. Milioni mbili tu na kushindwa kutimiza fedha hizo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wLSuPVV4czA/Xo2pEZBGJ5I/AAAAAAALmf0/Y3cBt9phgmUgtB67E7ZwrtvF9j1Y5ZtZwCLcBGAsYHQ/s72-c/a15a3111-e5ae-452d-b58d-82b5997eae2e.jpg)
NEWZ ALERT: MKURUGENZI MTENDAJI MTANDAO WA JAMII FORUM MAXENCE MERO AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MWAKA MMOJA AMA KULIPA FAINI
Hukumu hiyo imesomwa leo Aprili 8,2020 na Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba.
Hata hivyo mahakama imemuachia huru mshtakiwa Micke William ambaye ni Mwanahisa wa mtandao...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-sW6TZhGLzlA/XmfCjS3dUYI/AAAAAAACIe8/DU7gqOUO0_oWW0HRk3lfBUgPvoO-B5QzgCLcBGAsYHQ/s72-c/mbowe.jpg)
MAHAKAMA YA KISUTU YAWATIA HATIANI KINA MBOWE, YAWAHUKUMU KILA MMOJA KIFUNGO CHA MIAKA MITANO JELA AU KULIPA FAINI YA MAMILIONI YA FEDHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-sW6TZhGLzlA/XmfCjS3dUYI/AAAAAAACIe8/DU7gqOUO0_oWW0HRk3lfBUgPvoO-B5QzgCLcBGAsYHQ/s400/mbowe.jpg)
KISUTU, Dar es SalaamMahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam, imewatia hatiani viongozi wanane wa Chadema na Katibu Mkuu wa zamani wa chama hicho Dk. Vicent Mashinji, katika mashtaka 12 kati ya 13 yaliyokuwa yanawakabili, isipokuwa shtaka la kwanza la kula njama.
Akisoma hukumu kwa washtakiwa hao, Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo Thomas Simba,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-r8FmsELRVAg/Xkvf2Q89LzI/AAAAAAALd4o/yg56ItPY5W4AM7_lC8Ot9pfY2ygPdVuJwCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
ALIYEKUWA KATIBU MKUU CHADEMA DK.MASHINJI ATUA CCM ...ATOA SABABU
Na Said Mwishehe,Michuzi Blogu ya jamii
AMETUA CCM!Hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Dk.Vicent Mashinji kutangaza kujiunga na Chama Cha Mapinduzi(CCM).
DK.Mashinji aliyejiondoa Chadema Desemba mwaka 1919 amefikia uamuzi wa kujiunga CCM leo Februari 18, mwaka 2020 ambapo akitangaza uamuzi huo akiwa Ofisi ndogo za CCM zilizopo Lumumba jijini Dar es Salaam akiwa amepokelewa na Katibu wa Itikadi na Uenezi Humphrey...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4Aml9tsFYU4/XlfIqOzCHNI/AAAAAAALftk/-xNVPU6oT0EZdBUbdzfsINGNnZkZjRxDACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-27%2Bat%2B3.10.38%2BPM.jpeg)
MKURUGENZI WA KAMPUNI INAYOJENGA RELI YA KISASA YAPI MARKEZ, AHUKUMIWA KULIPA FAINI YA DOLA MILIONI 100 AMA KIFUNGO CHA MIAKA MITATU JERA
![](https://1.bp.blogspot.com/-4Aml9tsFYU4/XlfIqOzCHNI/AAAAAAALftk/-xNVPU6oT0EZdBUbdzfsINGNnZkZjRxDACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-27%2Bat%2B3.10.38%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-oCStbbgFXV8/XlfIqbYAH3I/AAAAAAALfts/KoKB1Mgah0oBK7G8gvdKHDcEnLreGzGJQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-27%2Bat%2B3.10.39%2BPM.jpeg)
MKURUGENZI wa Uwezeshaji wa Kampuni ya Yapi Markez inayojenga Reli ya kisasa Standard Gauge, Yetkin Genc Mehmet ((54) raia wa Uturuki amehukumiwa kulipa faini ya USD milioni 100 ama kutumikia kifungo cha miaka mitatu gerezani baada ya kukiri...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xQP30VmWEzo/XmowkS2MQiI/AAAAAAALixs/M0dG3YtMvmA-mr9GFRaL1bF7psp9TfqvACLcBGAsYHQ/s72-c/D3EdG2vWoAA5Gy4.jpg)
RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI AMNUSURU KIFUNGO MBUNGE WA IRINGA MJINI PETER MSIGWA,AMLIPIA SHILINGI MILIONI 38
![](https://1.bp.blogspot.com/-xQP30VmWEzo/XmowkS2MQiI/AAAAAAALixs/M0dG3YtMvmA-mr9GFRaL1bF7psp9TfqvACLcBGAsYHQ/s640/D3EdG2vWoAA5Gy4.jpg)
Hatua hiyo imefikiwa leo Machi 12,2020 baada ya familia kwenda kuomba msaada kwa Rais Magufuli kufuatia wao kuchangishana na kufanikiwa kupata sh. Milioni mbili tu na kushindwa kutimiza...
10 years ago
Mwananchi08 May
Kada CCM atozwa faini ‘buku mbili’