Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAHAKAMA YA KISUTU YAWATIA HATIANI KINA MBOWE, YAWAHUKUMU KILA MMOJA KIFUNGO CHA MIAKA MITANO JELA AU KULIPA FAINI YA MAMILIONI YA FEDHA

Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe na washitakiwa wenzake wakiwa Mahakamani leo. Mwenye nguo nyeusi ni Maalim Seif Sharif Hamad.
KISUTU, Dar es SalaamMahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam, imewatia hatiani viongozi wanane wa Chadema na Katibu Mkuu wa zamani wa chama hicho Dk. Vicent Mashinji, katika mashtaka 12 kati ya 13 yaliyokuwa yanawakabili, isipokuwa shtaka la kwanza la kula njama.
Akisoma hukumu kwa washtakiwa hao, Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo Thomas Simba,...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MAHAKAMA YAWAHUKUMU MRAMBA NA YONA KIFUNGO CHA MIAKA MITATU JELA


 Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imewahukumu kifungo cha miaka mitatu jela na kulipa faini ya shilingi milioni 5 kila mmoja aliyekuwa Waziri wa Fedha Basil Mramba na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini Daniel Yona baada ya kuwatia hatiani kwa makosa mawili.
Hukumu hiyo imetolewa na Jaji John Utamwa, Jaji Sam Rumwenyi pamoja na Hakimu Saul Kinemela ambapo mtuhumiwa wa tatu wa kesi hiyo, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Gray Mgonja amekutwa hana hatia.


Washitakiwa hao walikuwa...

 

5 years ago

Michuzi

WAFANYABIASHARA WANNE JIJINI DAR WAHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA MITATU AU KULIPA FAINI YA 500,000/- KILA MMOJA

Na Karama Kenyunko,Michuzi TV

MAHAKAMA ya Hakimu Kisutu imewahukumu wafanyabiashara wanne wakazi wa Dar es Salaam kulipa faini ya shilingi  500,000 kila mmoja  ama kifungo cha miaka mitatu jela  kwa kosa la kukutwa na madini tofauti tofauti yenye uzito  gram 131 yenye thamani ya zaidi shilingi milioni 100  kinyume na sheria.

Wafanyabiashara hao Noah Mmasanga, Richard  Boniface, Ally Said na Mosses Mbojo ambapo wamehukumiwa kulipa faini hiyo baada ya kufika makubaliano na Mkurugenzi wa...

 

5 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZZ: MBOWE,WENZAKE WATAKIWA KULIPA FAINI YA SHILINGI MILIONI 350 AU KWENDA JELA MIEZI MITANO

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuhukumu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)Freeman Mbowe na wenzake nane kulipa faini ya Shilingi milioni 350 ama kutumikia kutumikia kifungo cha miezi mitano gerezani baada ya Mahakama kuwakuta kila mmoja na hatia katika kesi ya uchochezi yenye mashtaka 12 iliyokuwa inayowakabili.

Hukumu hiyo iliyochukua takribani saa nne imesomwa na Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba amesema upande wa mashtaka unaweza kuthibitisha pasipo kuacha shtaka...

 

5 years ago

Michuzi

NEWZ ALERT: MKURUGENZI MTENDAJI MTANDAO WA JAMII FORUM MAXENCE MERO AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MWAKA MMOJA AMA KULIPA FAINI

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuhukumu Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jamii Forum Maxence Melo kulipa faini ya Sh. Milioni tatu ama kutumikia kifungo cha mwaka mmoja gerezani baada ya kupatikana na hatia katika kosa la kuzuia jeshi la polisi kufanya kazi yao ya uchunguzi kwa kuzuia taarifa binafsi za wateja wa mtandao wao.

Hukumu hiyo imesomwa leo Aprili 8,2020 na Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba.

Hata hivyo mahakama imemuachia huru mshtakiwa Micke William ambaye ni Mwanahisa wa mtandao...

 

5 years ago

Michuzi

MKURUGENZI WA KAMPUNI INAYOJENGA RELI YA KISASA YAPI MARKEZ, AHUKUMIWA KULIPA FAINI YA DOLA MILIONI 100 AMA KIFUNGO CHA MIAKA MITATU JERA


MKURUGENZI wa Uwezeshaji wa Kampuni ya Yapi Markez inayojenga Reli ya kisasa Standard Gauge, Yetkin Genc Mehmet ((54) akitoka katika mahakama ya Hakimu Mkazi kisutu baada ya kuhukumiwa kulipa faini ya dola milioni 100 ama kifungo cha miaka mitatu jera
MKURUGENZI wa Uwezeshaji wa Kampuni ya Yapi Markez inayojenga Reli ya kisasa Standard Gauge, Yetkin Genc Mehmet ((54) raia wa Uturuki amehukumiwa kulipa faini ya USD milioni 100 ama kutumikia kifungo cha miaka mitatu gerezani baada ya kukiri...

 

5 years ago

BBCSwahili

Tanzania: Mbowe na wenzake waliopatikana na hatia kulipa 'faini au jela'

Mahakama kuu nchini Tanzania imewakuta na hatia viongozi tisa wa chama cha upinzani -CHADEMA ambao wametakiwa kulipa shilingi milioni 350 za Tanzania.

 

5 years ago

Michuzi

RAIA WA CAMEROON AHUKUMIWA KULIPA FAINI YA SH. MILIONI 100 AMA KWENDA JELA MIAKA MITATU

RAIA wa Cameroon Kohnson Tebo (32) amehukumiwa kulipa faini ya Sh milioni 100 ama kwenda gerezani miaka mitatu baada ya kukiri shtaka moja la kusafirisha fedha bila ya kuzitolea taarifa.
Pia Mahakama imeamuru kutaifishwa kwa USD 84,300 alizokutwa nazo mshtakiwa.
Hukumu hiyo imesomwa na Hakimu Mkazi Mwandamizi, Rashidi Chaungu baada ya mshtakiwa kukiri kosa lake.
Kabla ya kusomwa kwa hukumu hiyo Wakili wa Serikali Mkuu, Shadrack Kimaro aliomba mahakama pamoja na adhabu ya kulipa faini aliomba...

 

5 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YAMHUKUMU MENEJA WA UKODI KWENDA JELA MIAKA MITANO KWA NJAMA ZA WIZI WA MIL.45.2

NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kibaha Mkoa wa Pwani, imemuhukumu aliyekuwa meneja wa kituo cha kuuza mafuta cha UKODI INTERNATIONAL COM LIMITED, Malima Charles miaka 40 mkazi wa Maili moja Kibaha, kwenda jela miaka mitano baada ya kumkuta na hatia katika makosa mawili yaliyokuwa yakimkabili ikiwemo kuvunja ofisi na wizi.
Akisoma hukumu hiyo iliyodumu kwa muda wa saa moja ambayo ilivuta hisia za wakazi wa Kibaha, Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo Joyce Mushi, alieleza ...

 

10 years ago

Michuzi

Mahakama ya Kisutu yamtia hatiani Macha

Na Mwandishi Wetu
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imetoa uamuzi katika kesi inayomkabili mfanyabiashara maarufu jijini Dar es Salaam, Hans Aingaya Macha (pichani) kuwa ana kesi ya kujibu.
Uamuzi huo, umetolewa na Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo, Devotha Kisoka katika kesi inayomkabili mfanyabiashara huyo ya kugushi hati ya kiwanja cha Ramadhan Balenga chenye namba 183 kilichopo Kigogo, mkataba wa mauziano na hati ya uhamishaji miliki.
Akitoa uamuzi huo jana, Hakimu Devotha alisema baada...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani