Wenje aizidi kete CCM
MBUNGE wa Nyamagana kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Ezekiel Wenje, amewaacha hoi viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na Rais Jakaya Kikwete, baada ya kuwataka wasitumie kodi za...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi05 Sep
Ukawa, CCM wapambana kete nne
11 years ago
Mwananchi01 Aug
Ukawa, CCM kucheza kete ya mwisho leo
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Kete ya Muungano imebaki mkononi mwa CCM na CUF
10 years ago
Mtanzania08 May
Katibu CCM ampiga kombora Wenje
NA PETER FABIAN, MWANZA
KATIBU wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mwanza, Miraji Mtaturu, amewataka wananchi wa Jimbo la Nyamagana wamhoji Mbunge wa Jimbo hilo, Ezekiel Wenje, jinsi fedha za mfuko wa jimbo lao zilivyotumika kwa kipindi cha miaka mitatu iliyopita.
Mtaturu alisema hayo juzi jijini Mwanza kwa nyakati tofauti, wakati akihutubia wakazi wa Bugarika, Kata ya Pamba na alipokuwa akizindua shina la vijana waendesha pikipiki ambao ni wafuasi wa CCM katika Mtaa wa Nyamagana...
10 years ago
Tanzania Daima24 Nov
Wenje: CCM imewatupa vijana, kina mama
MBUNGE wa Nyamagana, Ezekiel Wenje (CHADEMA), amesema Serikali inayoongozwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), imeshindwa kuwathamini vijana na wanawake kitendo kinachosababisha uhalifu. Kauli hiyo, ameitoa juzi wakati wa harambee ya...
10 years ago
Mwananchi21 Jul
Masha amkimbia Wenje, amvaa Ngeleja, Arfi aibukia CCM
9 years ago
VijimamboSIKILIZA WALICHOKISEMA STANSLAUS MABULA (CCM) BAADA YA USHINDI PAMOJA NA EZEKIEL WENJE (CHADEMA) BAADA YA KUSHINDWA.
BONYEA PLAY HAPA CHINI KUSIKILIZA
10 years ago
Habarileo17 Dec
Chadema yazidiwa kete Mwibara
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) katika jimbo la Mwibara, ambalo mbunge wake ni Kangi Lugola hadi sasa kimeshinda jumla ya viti 26 vya serikali ya kijiji.
11 years ago
Mwananchi19 Mar
Akamatwa na kete 61 za cocaine JNIA