Kete ya Muungano imebaki mkononi mwa CCM na CUF
“Ni vyama viwili nchini kwa sasa ndivyo vilivyoshikilia suala la Muungano, kama viongozi wake wakikaa pamoja na kukubaliana, hakuna shida.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Wenje aizidi kete CCM
MBUNGE wa Nyamagana kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Ezekiel Wenje, amewaacha hoi viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na Rais Jakaya Kikwete, baada ya kuwataka wasitumie kodi za...
9 years ago
Mwananchi05 Sep
Ukawa, CCM wapambana kete nne
11 years ago
Mwananchi01 Aug
Ukawa, CCM kucheza kete ya mwisho leo
10 years ago
Habarileo24 Mar
Vuai aionya CUF kuhusu Muungano
NAIBU Katibu Mkuu wa CCM- Zanzibar, Vuai Ali Vuai amekitahadharisha Chama cha Wananchi (CUF) kijue kwamba Muungano ukivunjika basi Zanzibar nayo haitokuwa salama na itasambaratika.
10 years ago
Dewji Blog04 Jul
CUF yatangaza kuuvunja muungano wa Ukawa Ikungi
Mwenyekiti wa CUF Wilaya ya Ikungi na ambaye pia ni Mjumbe wa Baraza kuu la uongozi Taifa,Bwana Athumani Henku akizungumza na mwandishi wa habari hizi(Picha Na Jumbe Ismailly).
Na Jumbe Ismailly,Ikungi
CHAMA Cha Wananchi (CUF) Wilaya ya Ikungi,Mkoani Singida kimesema kitaandika barua kwenda CUF Makao makuu kuomba kuvunja masharti kwenye wilaya ya Ikungi,Mkoani Singida yaliyofikiwa katika kikao cha pamoja cha vyama vilivyopo kwenye umoja wa Ukawa kuhusu kuachiana majimbo ya uchaguzi...
10 years ago
Dewji Blog26 May
Hatma ya CCM ipo mikononi mwa vijana
-Shirikisho lina Wajumbe 683
-Wanachama 31,000
-Vijana wafurahi kupiga picha pamoja na Nape
![](http://3.bp.blogspot.com/-qqrsIr_dxHc/VWOHgo5CKgI/AAAAAAAAcdY/V1mg3CxV1-o/s640/01.jpg)
Wanafunzi kutoka vyuo vya elimu ya juu nchini wakifurahi kupiga picha na Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye.
![](http://4.bp.blogspot.com/-2rzqaKemhlE/VWOHiRCNNCI/AAAAAAAAcds/Xgm7pz2fLqM/s640/2.jpg)
Kila mwanafunzi alipenda apate ukumbushokwa kupiga picha na na Katibu wa NEC Npe Nnauye.
![](http://4.bp.blogspot.com/-qHeJpyvhNpM/VWOHjQ2fbII/AAAAAAAAcdw/2tnMemMpi5I/s640/3.jpg)
Wajumbe kutoka mikoa mbali mbali wakiimba na kucheza nyimbo za hamasa.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Hat9k0Vpz2Q/VWOHkl8CzoI/AAAAAAAAcd8/XW4j2LPBor8/s640/4.jpg)
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza meza kuu kuimba wakati wa kufungua kwa mkutano wa Shirikisho la...
10 years ago
VijimamboMJUMBE WA KAMATI KUU YA CCM NA MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. BILAL AONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 38 YA CCM DAR ES SALAAM