Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CUF yatangaza kuuvunja muungano wa Ukawa Ikungi

SAM_0005

 

Mwenyekiti wa CUF Wilaya ya Ikungi na ambaye pia ni Mjumbe wa Baraza kuu la uongozi Taifa,Bwana Athumani Henku akizungumza na mwandishi wa habari hizi(Picha Na Jumbe Ismailly).

Na Jumbe Ismailly,Ikungi      

CHAMA Cha Wananchi (CUF) Wilaya ya Ikungi,Mkoani Singida kimesema kitaandika barua kwenda CUF Makao makuu kuomba kuvunja masharti  kwenye wilaya ya Ikungi,Mkoani Singida yaliyofikiwa katika kikao cha pamoja cha vyama vilivyopo kwenye umoja wa Ukawa kuhusu kuachiana majimbo ya uchaguzi...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

LIPUMBA NDIE MGOMBEA PEKEE CUF ATAKAE WAKILISHA CUF KUGOMBEA URAIS UKAWA


Chama cha wananchi CUF kimesema kuwa siku ya Jumapili ya Tarehe 14 mwezi huu wa sita ndiyo siku rasmi ya kumkabidhi rasmi form ya kuomba kugombea urais wa jamhuri ya muunganoi wa Tanzania mwenyekiti wa chama hicho Profesa IBRAHIM LIPUMBA baada ya kujitokeza mwenyewe katika chama hicho kuomba nafasi hiyo licha ya chama hicho kutangaza kwa muda mrefu watu kujitokeza kutangaza nia.Naibu Mkurugenzi Uchaguzi na Mipango wa CUF, Shaweji Mketo akizngumza na wanahabari mbalimbali makao makuu ya chama...

 

9 years ago

Mwananchi

CUF yatangaza kuigomea polisi

Chama cha Wananchi (CUF) kimesema uamuzi wa Jeshi la Polisi kuzuia misafara ya wagombea urais wakati wa kuchukua na kurejesha fomu batili, kinyume na Katiba ya nchi na sheria ya vyama vya siasa, na unalenga “kuionea huruma CCM” baada ya kufunikwa na vyama vinavyounda Ukawa.

 

10 years ago

Vijimambo

CUF yatangaza wagombea ubunge, uwakilishi.



Chama cha Wananchi (CUF) kimetangaza majina ya wagombea ubunge na uwakilishi walioteuliwa na Baraza Kuu la chama hicho.
Baraza hilo lilikutana juzi jijini Dar es Salaam na kuchambua majina ya wagombea waliopitishwa kwenye kura za maoni katika majimbo mbalimbali nchini.

Wakati majina hayo yakitangazwa, baadhi ya wafuasi wa chama hicho wamelalamikia uteuzi huo kuwa haukuwa huru na haki.
Aidha, katika Jimbo la Mkanyageni, Pemba, wanachama wa chama hicho kwenye kura ya maoni ‘walimtema’ Mbunge wao...

 

9 years ago

StarTV

NEC yatangaza idadi ya uteuzi wa viti maalumuCCM, CHADEMA, CUF

Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC imetangaza idadi ya jumla ya uteuzi wa wabunge wa viti maalumu kutoka vyama vya siasa vya CCM, CHADEMA na CUF. Taarifa hiyo imetolewa na Kaimu mkurugenzi wa uchaguzi Emmanuel Kawishe alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam. Kwa mujibu wa Ibara ya 66 kifungu cha kwanza b na ibara ya 78 ya katiba ya jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 ikisomwa kwa pamoja na kifungu cha 86 A cha sheria ya uchaguzi sura ya 343, Tume imepewa...

 

10 years ago

Habarileo

Vuai aionya CUF kuhusu Muungano

NAIBU Katibu Mkuu wa CCM- Zanzibar, Vuai Ali Vuai amekitahadharisha Chama cha Wananchi (CUF) kijue kwamba Muungano ukivunjika basi Zanzibar nayo haitokuwa salama na itasambaratika.

 

11 years ago

Mwananchi

Kete ya Muungano imebaki mkononi mwa CCM na CUF

“Ni vyama viwili nchini kwa sasa ndivyo vilivyoshikilia suala la Muungano, kama viongozi wake wakikaa pamoja na kukubaliana, hakuna shida.

 

10 years ago

Habarileo

CUF waibipu Ukawa

Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba.CHAMA cha Wananchi (CUF) kimetangaza Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba, kuwa ni mmoja kati ya wanachama wa chama hicho, atakayewania nafasi ya Urais.

 

10 years ago

GPL

CUF: HATUJAJITOA UKAWA

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema hakikushiriki kikao cha jana cha UKAWA kutokana na sababu za kikatiba za ndani ya chama hicho na si kwamba wamejitoa. Taarifa hiyo imetolewa leo na Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho Bara, Mhe. Magdalena Sakaya aliyesema kuwa kwa sasa wamekuwa na vikao vinavyojadili kwa upana juu ya namna watakavyogawana madaraka endapo wakishinda uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba. Sakaya amesema wanachokifanya ni sawa...

 

10 years ago

TheCitizen

CUF: Who says we’ve ditched Ukawa?

Dar es Salaam. The Civic United Front (CUF) yesterday sent conflicting signals saying though it was still an active member of the Coalition of People’s Constitution (Ukawa), the decision on whether it will continue working with the other opposition parties who comprise this grouping would be made by its supreme council.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani