Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema yazidiwa kete Mwibara

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) katika jimbo la Mwibara, ambalo mbunge wake ni Kangi Lugola hadi sasa kimeshinda jumla ya viti 26 vya serikali ya kijiji.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tanzania yazidiwa kete soko la pamba

Tanzania ni moja kati ya nchi zinazozalisha pamba kwa wingi katika bara la Afrika, lakini inazidiwa kete na nchi za Kenya, Madagascar na Lesotho katika uuzaji wa nguo katika masoko ya kimataifa.

 

11 years ago

Barred

Mwibara appeal case time


Mwibara appeal case time-barred
Daily News
THE appeal lodged by a member of Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mr Chiriko David, to challenge election results for Mwibara Constituency has died a natural death following the expiry of time for courts to entertain the matter. Last week ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Liberia yazidiwa nguvu na ebola

Waziri mmoja wa Liberia akiri kuwa ebola imetapakaa zaidi kushinda walivyokisia, lakini wanajikaza kupambana nayo

 

11 years ago

IPPmedia

Mwibara MP Lugola challenges appointments in new cabinet


Mwibara MP Lugola challenges appointments in new cabinet
IPPmedia
The retention in the new cabinet of ministers labeled 'a burden' could undermine the national integrity, the Member of Parliament for Mwibara (CCM) Kangi Lugola warned in a morning talk show programme aired by Star TV mid this week. Expressing ...

 

9 years ago

GPL

BI. SAMIA SULUHU AMNADI DK MAGUFULI, SERENGETI NA MWIBARA

Baadhi ya wanaCCM na wananchi waliojitokeza kumsikiliza Mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu Hassan (hayupo pichani) katika mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika katika Jimbo la Mwibara, Wilaya ya Bunda, jana. Sehemu ya wananchi wakiwa katika mkutano wa mgombea mwenza wa CCM, Jimbo la Mwibara.…

 

5 years ago

CCM Blog

YANGA YAZIDIWA NGUVU NA KMC YA KINONDONI, YACHAPWA 3-0, LEO


CCM Blog, Dar es SalaamKlabu ya Soka ya Manispaa ya Kinondoni (KMC) imeibuka kidedea baada ya kuichapa Yanga 3-0 katika mechi ya kirafiki iliyorindima katika Uwanja wa Uhuru  jijini Dar es Salaam, leo.
Katika mpambano huo uliokuwa wa kupimana nguvu kujiandaa na mechi za ligi kuu, mabao ya KMC yamewekwa kimiani na Sadala Lipangile katika dakika ya 31 huku Charles Ilafya akifunga bao la pili katika Dakika ya 45, na hadi kuingia kipindi cha pili timu hiyo ilikuwa inaongoza kwa bao 2-0.

Goli la...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wenje aizidi kete CCM

MBUNGE wa Nyamagana kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Ezekiel Wenje, amewaacha hoi viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na Rais Jakaya Kikwete, baada ya kuwataka wasitumie kodi za...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sitta amzidi kete Chenge

WAKATI kitendawili cha nani atakuwa Mwenyekiti wa Bunge la Katiba kitatenguliwa Jumapili, Waziri wa  Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta amemzidi ujanja Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge anayetajwa kuwania...

 

11 years ago

Mwananchi

Akamatwa na kete 61 za cocaine JNIA

 Mkazi wa Buguruni, Dar es Salaam (Jina linahifadhiwa) amedaiwa kukamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) akiwa na kete 61 za dawa za kulevya aina ya Cocaine.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani