YANGA YAZIDIWA NGUVU NA KMC YA KINONDONI, YACHAPWA 3-0, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-FVHerfraR34/Xt0e4-W19VI/AAAAAAACMsI/hxu9ACbyX44b2Fw4WBcXEy99pYhngIS5wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200607_200644.jpg)
CCM Blog, Dar es SalaamKlabu ya Soka ya Manispaa ya Kinondoni (KMC) imeibuka kidedea baada ya kuichapa Yanga 3-0 katika mechi ya kirafiki iliyorindima katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, leo.
Katika mpambano huo uliokuwa wa kupimana nguvu kujiandaa na mechi za ligi kuu, mabao ya KMC yamewekwa kimiani na Sadala Lipangile katika dakika ya 31 huku Charles Ilafya akifunga bao la pili katika Dakika ya 45, na hadi kuingia kipindi cha pili timu hiyo ilikuwa inaongoza kwa bao 2-0.
Goli la...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili10 Aug
Liberia yazidiwa nguvu na ebola
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--NR7-EW9_7E/Xt0biFMLMLI/AAAAAAALs70/9ZLHVe4eyes22e_c7G3vqYvr1IrXhaStQCLcBGAsYHQ/s72-c/fdad5cae-9c4c-4f65-b63e-16fd8dbd1c7e.jpg)
YANGA YANYUKWA 3-0 NA KMC UWANJA WA UHURU JIJINI DAR
WAMEKAA!!! Mchezo wa Kirafiki kati ya Yanga na KMC imemalizika kwa Yanga kukubali kipigo cha goli 3-0.
Mchezo huo umechezwa leo katika Uwanja wa Uhuru ikiwa ni mchezo wao wa pili wa kirafiki baada ya kupata ushindi wa 3-1 dhidi ya Transit Camp.
Mpira ulianza kwa kasi KMC wakitawala mchezo kwa dakika za mwanzo kabla ya Yanga kubadilisha mchezo na kuonekana kuutawala.
KMC walichukua dakika 31 kuweza kuandika goli la kwanza kupitia kwa Sadala Lipangile akipokea pasi ya Charlse...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Fhkr5VpbCUg/VAW71yV_D4I/AAAAAAAGbbs/NwDjDszAE58/s72-c/unnamed.jpg)
WWF YATOA MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA IDARA ZA HALMASHAURI YA MANSIPAA YA KINONDONI KMC JUU YA KUKABILIANA NA UENEAJI WA HEWA UKAA NA NISHATI JADIDIFU NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Fhkr5VpbCUg/VAW71yV_D4I/AAAAAAAGbbs/NwDjDszAE58/s1600/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-m_xB2NauOkQ/VAW758pLqFI/AAAAAAAGbb0/ntdu4_SxCXQ/s1600/unnamed.jpgn.jpg)
11 years ago
GPLYANGA WATOSHANA NGUVU NA AZAM UWANJA WA TAIFA LEO
10 years ago
Vijimambo28 Dec
YANGA NA AZAM NI SHIIIIIIIIIDA WATOSHANA NGUVU 2 KWA 2 TAIFA LEO
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-9Pef3R8ima0%2FVKAdMvtxGXI%2FAAAAAAADS_k%2F4WfHUMmfSuQ%2Fs1600%2FMMGM0086.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-YJzRmL1OBeo%2FVKAdM-4xgXI%2FAAAAAAADS_o%2FOlzwzXZpitc%2Fs1600%2FMMGM0090.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-5ITVeLUCc5Y%2FVKAecHl5SQI%2FAAAAAAADTAA%2FxiVn-n0DoZQ%2Fs1600%2FMMGM0072.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
MichuziSIMBA NA YANGA ZATOSHANA NGUVU UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO
10 years ago
VijimamboKMKM YA ZANZIBAR YACHAPWA BAO 1-0 KUTOKA KWA YANGA
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-XdT2ZvPaDHE/VeMWcwu1ohI/AAAAAAAD42s/3VwZXbTHT_M/s72-c/a597e70053406467714cda6c30c545cd.jpg)
SIMBA YAFUNGWA KWA MBIINDE NA YANGA DMV YAKUBALI YACHAPWA 5-2
![](http://3.bp.blogspot.com/-XdT2ZvPaDHE/VeMWcwu1ohI/AAAAAAAD42s/3VwZXbTHT_M/s640/a597e70053406467714cda6c30c545cd.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AlqE8hlHKSU/VeMWdvj7kdI/AAAAAAAD43E/mIP0DPlc0PY/s640/b5860da35036c4a1b94648dbdc7c1615.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3dOeZjUm6cY/VeMWb_Gf8II/AAAAAAAD42c/b00VIief0W4/s640/8ff7e74bb1686bfa8590ff94e7c71a53.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-B3KCESEW4eI/VeMXqYxfkKI/AAAAAAAD43Y/EstL5E6dX0g/s640/4c93c18490e8d6bf38090bd251893427.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-45eqYoit0EE/VeMWZ96S3MI/AAAAAAAD410/Nz9r2Rre7N8/s640/1af3efe6f23bba995fbf97910a453a94.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KQ9gkSm3ZKY/VeMWaOPemdI/AAAAAAAD414/aSK1Ui-_q0I/s640/3b9d531300fc2461841193fb728f2e1e.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YB1_pidwzKc/VeMWZ7DUVbI/AAAAAAAD418/i8CHBwSvXn4/s640/29e42a70613c33f470cafed3f9b848d9.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yuyLS5xN2Yc/VeMWa9ym0lI/AAAAAAAD42U/JBNVtZNulxE/s640/630fc182a2137d3c19129ac2a1cee7c8.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-s4_c8PE2T8U/VeMWcTwYbKI/AAAAAAAD42o/IDu1pUC386M/s640/9824a28452ae53dc4f54714259fd4c9c.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-eeblH_GAbh8/VeMWbFHn6zI/AAAAAAAD42M/z1TTroLlJQM/s640/69182c974485f53a0c4e3277ce22c477.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DCH4rhUidn0/VeMWcpcPFvI/AAAAAAAD42w/WEy1DdS8Ehc/s640/a4432d04c246dc46d74d35ef8f834154.jpg)
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Simba, Yanga zatoshana nguvu