Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania yazidiwa kete soko la pamba

Tanzania ni moja kati ya nchi zinazozalisha pamba kwa wingi katika bara la Afrika, lakini inazidiwa kete na nchi za Kenya, Madagascar na Lesotho katika uuzaji wa nguo katika masoko ya kimataifa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Chadema yazidiwa kete Mwibara

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) katika jimbo la Mwibara, ambalo mbunge wake ni Kangi Lugola hadi sasa kimeshinda jumla ya viti 26 vya serikali ya kijiji.

 

10 years ago

Mwananchi

Tani 5,100 za pamba zakosa soko

Chama cha Ushirika cha Mkoa wa Shinyanga (Shirecu), kimeiomba Serikali kupitia chama hicho, inunue tani 5,100 za pamba ambayo bado iko kwenye maghala ya wakulima kutokana na kukosa soko.

 

10 years ago

Mwananchi

Tatizo la kudorora kilimo cha pamba ni soko au tija?

Kati ya yai na kuku kipi kilianza? Hili ni swali ambalo hutumiwa kila panapokuwa na jambo tata.

 

10 years ago

Michuzi

KIWANDA CHA PAMBA AMBACHO PAMBA YAKE ILITEKETEA KWA MOTO MKOANI SHINYANGA CHAPATA BIMA YAKE TOKA UAP

Baadhi ya maafisa wa Kampuni ya Bima ya UAP wakiwa na Meneja wa Kiwanda cha JIELONG Holdings Tanzania LTD Kiki Huwa Xu (kushoto) wakitenbelea kiwanda hicho kujionea shughuli za utendaji ikiwa ni pamoja na kuzungumza na uongozi wa kiwanda hicho mara baada ya kukipatia bima ya shilingi milioni themanini (80,000,000/=)  kufuatia kuunguliwa na pamba yake katika ghala la kuhifadhia lililopo kiwandani hapo.Mwanzoni mwa mwaka huu 2015 pamba iliyokuwa imehifadhiwa kwenye moja ya maghala katika...

 

11 years ago

BBCSwahili

Liberia yazidiwa nguvu na ebola

Waziri mmoja wa Liberia akiri kuwa ebola imetapakaa zaidi kushinda walivyokisia, lakini wanajikaza kupambana nayo

 

5 years ago

CCM Blog

YANGA YAZIDIWA NGUVU NA KMC YA KINONDONI, YACHAPWA 3-0, LEO


CCM Blog, Dar es SalaamKlabu ya Soka ya Manispaa ya Kinondoni (KMC) imeibuka kidedea baada ya kuichapa Yanga 3-0 katika mechi ya kirafiki iliyorindima katika Uwanja wa Uhuru  jijini Dar es Salaam, leo.
Katika mpambano huo uliokuwa wa kupimana nguvu kujiandaa na mechi za ligi kuu, mabao ya KMC yamewekwa kimiani na Sadala Lipangile katika dakika ya 31 huku Charles Ilafya akifunga bao la pili katika Dakika ya 45, na hadi kuingia kipindi cha pili timu hiyo ilikuwa inaongoza kwa bao 2-0.

Goli la...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Tanzania Distilleries Ltd (TDL) yazindua kinywaji kipya cha kimataifa, Fyfe’s Scotch Whisky katika soko la Tanzania

Mkurugenzi mtendaji wa TDL David Mgwasa akielezea na kutoa ufafanuzi wa Kinywaji kipya aina ya Fyfe’s.Kampuni ya Tanzania distilleries ltd (tdl) Juzi Tarehe 20 mwezi wa 8 2014 imefanya uzinduzi wa kinywaji chake kipaya aina ya  Fyfe’s katika hoteli ya Serena, Kinywaji hicho ambacho uhalisia wake na uzindikaji ni wa nchini scotland.Mkurugenzi wa TDL David Mgwasa amewaomba waTanzania kukipokea kinywaji hicho kwenye soko la vimiminika kwani kina ubora wa hali ya juu na kimetengenezwa kwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wenje aizidi kete CCM

MBUNGE wa Nyamagana kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Ezekiel Wenje, amewaacha hoi viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na Rais Jakaya Kikwete, baada ya kuwataka wasitumie kodi za...

 

11 years ago

Mwananchi

Akamatwa na kete 61 za cocaine JNIA

 Mkazi wa Buguruni, Dar es Salaam (Jina linahifadhiwa) amedaiwa kukamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) akiwa na kete 61 za dawa za kulevya aina ya Cocaine.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani