Tanzania yazidiwa kete soko la pamba
Tanzania ni moja kati ya nchi zinazozalisha pamba kwa wingi katika bara la Afrika, lakini inazidiwa kete na nchi za Kenya, Madagascar na Lesotho katika uuzaji wa nguo katika masoko ya kimataifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo17 Dec
Chadema yazidiwa kete Mwibara
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) katika jimbo la Mwibara, ambalo mbunge wake ni Kangi Lugola hadi sasa kimeshinda jumla ya viti 26 vya serikali ya kijiji.
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Tani 5,100 za pamba zakosa soko
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Tatizo la kudorora kilimo cha pamba ni soko au tija?
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gfzuAqMyrXM/VUxLep4xMrI/AAAAAAABNqk/6h38CBibuYE/s72-c/0.1UAP5.jpg)
KIWANDA CHA PAMBA AMBACHO PAMBA YAKE ILITEKETEA KWA MOTO MKOANI SHINYANGA CHAPATA BIMA YAKE TOKA UAP
![](http://1.bp.blogspot.com/-gfzuAqMyrXM/VUxLep4xMrI/AAAAAAABNqk/6h38CBibuYE/s640/0.1UAP5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--6W2I83BmfI/VUxLgrxAv4I/AAAAAAABNqs/d1k3pQncsqY/s640/0.1UAP3.jpg)
11 years ago
BBCSwahili10 Aug
Liberia yazidiwa nguvu na ebola
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-FVHerfraR34/Xt0e4-W19VI/AAAAAAACMsI/hxu9ACbyX44b2Fw4WBcXEy99pYhngIS5wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200607_200644.jpg)
YANGA YAZIDIWA NGUVU NA KMC YA KINONDONI, YACHAPWA 3-0, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-FVHerfraR34/Xt0e4-W19VI/AAAAAAACMsI/hxu9ACbyX44b2Fw4WBcXEy99pYhngIS5wCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200607_200644.jpg)
Katika mpambano huo uliokuwa wa kupimana nguvu kujiandaa na mechi za ligi kuu, mabao ya KMC yamewekwa kimiani na Sadala Lipangile katika dakika ya 31 huku Charles Ilafya akifunga bao la pili katika Dakika ya 45, na hadi kuingia kipindi cha pili timu hiyo ilikuwa inaongoza kwa bao 2-0.
Goli la...
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
Kampuni ya Tanzania Distilleries Ltd (TDL) yazindua kinywaji kipya cha kimataifa, Fyfe’s Scotch Whisky katika soko la Tanzania
Mkurugenzi mtendaji wa TDL David Mgwasa akielezea na kutoa ufafanuzi wa Kinywaji kipya aina ya Fyfe’s.Kampuni ya Tanzania distilleries ltd (tdl) Juzi Tarehe 20 mwezi wa 8 2014 imefanya uzinduzi wa kinywaji chake kipaya aina ya Fyfe’s katika hoteli ya Serena, Kinywaji hicho ambacho uhalisia wake na uzindikaji ni wa nchini scotland.Mkurugenzi wa TDL David Mgwasa amewaomba waTanzania kukipokea kinywaji hicho kwenye soko la vimiminika kwani kina ubora wa hali ya juu na kimetengenezwa kwa...
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Wenje aizidi kete CCM
MBUNGE wa Nyamagana kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Ezekiel Wenje, amewaacha hoi viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na Rais Jakaya Kikwete, baada ya kuwataka wasitumie kodi za...
11 years ago
Mwananchi19 Mar
Akamatwa na kete 61 za cocaine JNIA