Tatizo la kudorora kilimo cha pamba ni soko au tija?
Kati ya yai na kuku kipi kilianza? Hili ni swali ambalo hutumiwa kila panapokuwa na jambo tata.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Jan
Nyangokolwa waachana na kilimo cha pamba
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Madiwani wapinga kilimo cha pamba mkataba
10 years ago
StarTV18 Feb
Kilimo cha chai Morogoro chaonesha tija.
Na Kasilda Mgeni Mulimila,
Morogoro.
Pamoja na changamoto nyingi zinazowakabili wakulima wa zao la chai Tanzania ikiwemo kuyumba kwa bei ya zao hilo kwenye soko la dunia lakini limeweza kuzitoa kwenye lindi la umaskini kaya zipatazo 30,000 zilizoko katika wilaya 6 nchini zinazozalisha zao hilo.
Katika mkutano wa uzinduzi wa mradi wa utetezi wa wakulima wadogo wa chai nchini ulifanyika mjini Morogoro inabainishwa kuwa pamoja na zao hili kuuzwa bei ndogo kwa kilo katika...
11 years ago
Habarileo07 Mar
Ashauri kuanzishwa mfuko wa kilimo cha pamba
SERIKALI imeshauriwa kuweka mfuko maalumu kwa ajili ya kuendeleza Kilimo cha Pamba hapa nchini badala ya kupoteza fedha zake nyingi katika kuendesha vikao vinavyohusu zao hilo. Ombi hilo lilitolewa juzi na Meneja wa Kiwanda cha Kahama oil Mill, William Matonange wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya Kilimo cha mkataba ambacho wao kama wanunuzi wa zao hilo hawakubaliani nacho.
9 years ago
StarTV16 Nov
Wakulima Nzega walalamikia pembejeo za kilimo cha pamba
Baadhi ya wakulima wa Pamba wilayani Nzega mkoani Tabora wameingiwa hofu ya kukiuka kalenda ya uzalishaji wa zao hilo kutokana na kucheleweshewa pembejeo za kilimo hicho zikiwemo mbegu.
Kwa mujibu wa kalenda ya Pamba kanda ya magharibi, ifikapo Novemba 15 hadi Desemba 15, zao hilo linapaswa kuwa limepandwa ili kuepuka mazalia ya wadudu waharibifu pamoja na kuimarisha ustawi wa zao hilo.
Mvua za masika zimekwisha anza kunyesha, wakulima wengine wanaendelea na shuguli za kilimo, hofu ni...
11 years ago
Mwananchi22 May
Ukosefu wa soko watishia kilimo cha mwani
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CVU5FipKmeU/U8zMG0Xj2FI/AAAAAAAF4SU/LqQUJ-DYOcM/s72-c/unnamed+(18).jpg)
JK afungua kituo cha afya na kukagua kilimo cha Kahawa Mbinga, afungua soko la kimataifa mkenda
![](http://3.bp.blogspot.com/-CVU5FipKmeU/U8zMG0Xj2FI/AAAAAAAF4SU/LqQUJ-DYOcM/s1600/unnamed+(18).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tl73CbvjXCY/U8zIBzTX1II/AAAAAAAF4Qg/w1OhpjJGz_s/s1600/D92A6133.jpg)
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Tani 5,100 za pamba zakosa soko
11 years ago
Mwananchi23 May
Tanzania yazidiwa kete soko la pamba