Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tatizo la kudorora kilimo cha pamba ni soko au tija?

Kati ya yai na kuku kipi kilianza? Hili ni swali ambalo hutumiwa kila panapokuwa na jambo tata.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Nyangokolwa waachana na kilimo cha pamba

Wakulima wa zao la vitunguu katika Kijiji cha Nyangokolwa wilayani Bariadi, Mkoa wa Simiyu, wamenufaika na kilimo cha zao hilo baada ya kuachana na kilimo cha pamba kwa madai kuwa kina changamoto nyingi, zikiwamo kushuka kwa bei kila wakati.

 

10 years ago

Mwananchi

Madiwani wapinga kilimo cha pamba mkataba

>Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe, mkoani hapa wamepinga kitendo cha Serikali kuhamasisha kilimo cha mkataba wa pamba, huku wakitaka elimu itolewe kwa wananchi kulima alizeti ili kuondokana na maisha duni

 

10 years ago

StarTV

Kilimo cha chai Morogoro chaonesha tija.

Na Kasilda Mgeni Mulimila,

Morogoro.

 

Pamoja na changamoto nyingi zinazowakabili wakulima wa zao la chai Tanzania ikiwemo kuyumba kwa  bei ya zao hilo kwenye soko la dunia lakini limeweza  kuzitoa  kwenye lindi la  umaskini kaya  zipatazo  30,000 zilizoko katika wilaya 6 nchini zinazozalisha zao hilo.

 

Katika mkutano wa uzinduzi  wa mradi wa utetezi  wa wakulima wadogo  wa chai  nchini  ulifanyika mjini Morogoro  inabainishwa kuwa  pamoja na zao hili kuuzwa bei ndogo kwa kilo  katika...

 

11 years ago

Habarileo

Ashauri kuanzishwa mfuko wa kilimo cha pamba

SERIKALI imeshauriwa kuweka mfuko maalumu kwa ajili ya kuendeleza Kilimo cha Pamba hapa nchini badala ya kupoteza fedha zake nyingi katika kuendesha vikao vinavyohusu zao hilo. Ombi hilo lilitolewa juzi na Meneja wa Kiwanda cha Kahama oil Mill, William Matonange wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya Kilimo cha mkataba ambacho wao kama wanunuzi wa zao hilo hawakubaliani nacho.

 

9 years ago

StarTV

Wakulima Nzega walalamikia pembejeo za kilimo cha pamba

Baadhi ya wakulima wa Pamba wilayani Nzega mkoani Tabora wameingiwa hofu ya kukiuka kalenda ya uzalishaji wa zao hilo kutokana na kucheleweshewa pembejeo za kilimo hicho zikiwemo mbegu.

Kwa mujibu wa kalenda ya Pamba kanda ya magharibi, ifikapo Novemba 15 hadi Desemba 15, zao hilo linapaswa kuwa limepandwa ili kuepuka mazalia ya wadudu waharibifu pamoja na kuimarisha ustawi wa zao hilo.

Mvua  za masika zimekwisha  anza kunyesha, wakulima  wengine wanaendelea  na shuguli za kilimo, hofu  ni...

 

11 years ago

Mwananchi

Ukosefu wa soko watishia kilimo cha mwani

Kwa Watanzania wengi waishio bara huenda wasilifahamu sana zao la Mwani ambalo hulimwa katika sehemu mbalimbali za pwani nchini.

 

11 years ago

Michuzi

JK afungua kituo cha afya na kukagua kilimo cha Kahawa Mbinga, afungua soko la kimataifa mkenda

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kufungua rasmi kituo cha afya katika Gereza la Kitai wilayani Mbinga jana.Kushoto ni Mkuu wa Gereza hilo Alexander Richard Nyefwe.Kituo hicho kitatoa huduma kwa askari magereza,wafungwa na vijiji jirani Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi miche bora ya kahawa mkulima mdogo Bi Dorothea Komba wakati alipolitembelea na kukagua shamba la kahawa AVIV Farm linalomilikiwa na kampuni ya Olam katika kijiji cha Lipokela wilayani Mbinga, mkoani Ruvuma...

 

10 years ago

Mwananchi

Tani 5,100 za pamba zakosa soko

Chama cha Ushirika cha Mkoa wa Shinyanga (Shirecu), kimeiomba Serikali kupitia chama hicho, inunue tani 5,100 za pamba ambayo bado iko kwenye maghala ya wakulima kutokana na kukosa soko.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania yazidiwa kete soko la pamba

Tanzania ni moja kati ya nchi zinazozalisha pamba kwa wingi katika bara la Afrika, lakini inazidiwa kete na nchi za Kenya, Madagascar na Lesotho katika uuzaji wa nguo katika masoko ya kimataifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani