Akamatwa na kete 61 za cocaine JNIA
 Mkazi wa Buguruni, Dar es Salaam (Jina linahifadhiwa) amedaiwa kukamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) akiwa na kete 61 za dawa za kulevya aina ya Cocaine.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi12 Aug
M-Colombia akamatwa JNIA na cocaine alizozivaa nguoni
KIKOSI cha Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini kinamshikilia Andres Filipe Ballesteros Uribe (28) raia wa Colombia kwa tuhuma za kuingiza dawa hizo nchini kinyume cha sheria.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam leo, Mkuu wa kikosi hicho, Kamanda Godfrey Nzowa alisema mtuhumiwa huyo aliingia nchini saa nane usiku kwa ndege ya shirika la Ethiopian akitokea Adisi...
11 years ago
Mwananchi03 Feb
Mkenya mbaroni kwa cocaine JNIA
11 years ago
BBCSwahili03 Aug
Polisi akamatwa kwa wizi wa Cocaine
11 years ago
Mwananchi30 Jun
UHALIFU: ‘Mchina’ akamatwa na vito vya tanzanite JNIA
10 years ago
Habarileo17 Dec
Chadema yazidiwa kete Mwibara
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) katika jimbo la Mwibara, ambalo mbunge wake ni Kangi Lugola hadi sasa kimeshinda jumla ya viti 26 vya serikali ya kijiji.
11 years ago
Tanzania Daima27 Feb
Sitta amzidi kete Chenge
WAKATI kitendawili cha nani atakuwa Mwenyekiti wa Bunge la Katiba kitatenguliwa Jumapili, Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta amemzidi ujanja Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge anayetajwa kuwania...
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Wenje aizidi kete CCM
MBUNGE wa Nyamagana kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Ezekiel Wenje, amewaacha hoi viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na Rais Jakaya Kikwete, baada ya kuwataka wasitumie kodi za...
11 years ago
Mwananchi23 May
Tanzania yazidiwa kete soko la pamba
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Anaswa na kete 71 Uwanja wa Ndege Dar