Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


M-Colombia akamatwa JNIA na cocaine alizozivaa nguoni

Suruali ya mtuhumiwa huyo ikiwa imezungushiwa Cocaine. Baadhi ya dawa alizokuwa amemeza mtuhumiwa huyo.
 KIKOSI cha Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini kinamshikilia Andres Filipe Ballesteros Uribe (28) raia wa Colombia kwa tuhuma za kuingiza dawa hizo nchini kinyume cha sheria.

Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam leo, Mkuu wa kikosi hicho, Kamanda Godfrey Nzowa alisema mtuhumiwa huyo aliingia nchini saa nane usiku kwa ndege ya shirika la Ethiopian akitokea Adisi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Akamatwa na kete 61 za cocaine JNIA

 Mkazi wa Buguruni, Dar es Salaam (Jina linahifadhiwa) amedaiwa kukamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) akiwa na kete 61 za dawa za kulevya aina ya Cocaine.

 

11 years ago

Mwananchi

Mkenya mbaroni kwa cocaine JNIA

>Raia wa Kenya anayeishi Mombasa, AbdulRahman Salim, amekamatwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere(JNIA)  akiwa na kete 141 za dawa za kulevya aina ya cocaine zenye thamani zaidi ya Sh119 milioni.

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi akamatwa kwa wizi wa Cocaine

Polisi wa Ufaransa wamemkamata afisa mmoja wa kukabiliana na mihadarati kwa kuiba kilo hamsini za Cocaine

 

11 years ago

Mwananchi

UHALIFU: ‘Mchina’ akamatwa na vito vya tanzanite JNIA

>Mtu anayesadikiwa kuwa ni raia wa China, amekamatwa akiwa na madini aina ya tanzanite huku kukiwa na utata wa kushikiliwa kwake.

 

11 years ago

GPL

NISHA AMWAGIWA MATUSI YA NGUONI KISA, MWANAUME

Staa wa sinema za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ Matusi! Staa wa sinema za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kutukanwa matusi ya nguoni na mwanadada anayejulikana kwa jina la Muna Alphonce kisa, kikidaiwa ni mwanaume. Habari ya mjini ilieleza kwamba Muna ambaye ni mke wa mtu aliporomosha matusi ya nguoni ambayo hayaandikiki gazetini huku akimtoa kasoro mbalimbali Nisha na...

 

10 years ago

The Asian Age

2 held with cocaine worth over Rs 2 lakh


NYOOOZ
2 held with cocaine worth over Rs 2 lakh
The Asian Age
The Bandra police arrested two alleged drug peddlers, including a Tanzanian national, in the early hours of Saturday for trying to peddle cocaine collectively worth Rs 2.10 lakh in the famous Bandstand area of Bandra (west). The two were produced before a ...
Bandra gym trainer and Tanzanian man arrested with cocaine worth Rs 3.5 lakhTimes of India
Bandra-Worli Sea Link's toll hiked to Rs 60Daily News & Analysis

all 7

 

11 years ago

The New Indian Express

Tanzanian Cocaine Peddler held


Tanzanian Cocaine Peddler held
The New Indian Express
The Narcotics Control Bureau on Saturday raided a house at Maduravoyal and arrested a Tanzanian who possessed 123 grams of cocaine and two other high-end party drugs estimated to be totally worth about `10 lakh in the illegal market. Police said the ...
Tanzanian man caught with 123g of cocaineTimes of India
Tanzanian national held; cocaine seizedThe Hindu

all 3

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mcolombia mbaroni kwa Cocaine

KIKOSI cha Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini kinamshikilia Andres Filipe Ballesteros Uribe (28) raia wa Colombia kwa tuhuma za kuingiza dawa hizo nchini kinyume cha sheria. Akizungumza...

 

11 years ago

TheCitizen

Cocaine seized at Dar airport

>A man holding a Kenyan passport was caught by the special drugs task force for carrying 131 pellets of cocaine.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani