Mkenya mbaroni kwa cocaine JNIA
>Raia wa Kenya anayeishi Mombasa, AbdulRahman Salim, amekamatwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere(JNIA)Â akiwa na kete 141 za dawa za kulevya aina ya cocaine zenye thamani zaidi ya Sh119 milioni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Aug
Mcolombia mbaroni kwa Cocaine
KIKOSI cha Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini kinamshikilia Andres Filipe Ballesteros Uribe (28) raia wa Colombia kwa tuhuma za kuingiza dawa hizo nchini kinyume cha sheria. Akizungumza...
11 years ago
Mwananchi19 Mar
Akamatwa na kete 61 za cocaine JNIA
11 years ago
Michuzi12 Aug
M-Colombia akamatwa JNIA na cocaine alizozivaa nguoni
KIKOSI cha Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini kinamshikilia Andres Filipe Ballesteros Uribe (28) raia wa Colombia kwa tuhuma za kuingiza dawa hizo nchini kinyume cha sheria.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam leo, Mkuu wa kikosi hicho, Kamanda Godfrey Nzowa alisema mtuhumiwa huyo aliingia nchini saa nane usiku kwa ndege ya shirika la Ethiopian akitokea Adisi...
11 years ago
BBCSwahili03 Aug
Polisi akamatwa kwa wizi wa Cocaine
9 years ago
Mwananchi14 Aug
Kwa nini pembe za ndovu zinapita kirahisi JNIA?
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Mkenya ''atimuliwa kwa sababu ya rangi''
10 years ago
Habarileo13 Jun
Mkenya, Mrundi jela kwa wizi wa gari, mafuta
RAIA wa Kenya na mwingine wa Burundi waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya wizi wa gari na mafuta ya petroli wamehukumiwa kwenda jela mwaka mmoja kila mmoja, huku Watanzania watatu wakiachiwa huru kwa kukosekana ushahidi.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/a3NuNObIX7Q/default.jpg)
MKENYA HYVON NGETICH AMALIZIA MARATHON KWA KUTAMBAA
Mwanariadha wa mbio ndefu Hyvon Ngetich alimaliza mita 50 za mwisho kwa kutambaa baada ya kuishiwa na nguvu akiwa karibu na mstari wa kumalizia.Ingawa mwanariadha wa masafa marefu kutoka Kenya Hyvon Ngetich hakufanikiwa kushinda mbio za masafa marefu za Austin mwaka huu bila shaka alifanikiwa kuteka nyoyo za watu kutokana na ujasiri wake wa kutambaa na kuhakikisha kuwa amemaliza mbio hizo.
Hyvon Ngetich mwenye umri wa miaka 29, aliishiwa na nguvu akiwa mita 50 kutoka kwenye mstari wa...
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Mkenya anayeendesha maisha kwa kutegemea urefu wa kucha