MKENYA HYVON NGETICH AMALIZIA MARATHON KWA KUTAMBAA
![](http://img.youtube.com/vi/a3NuNObIX7Q/default.jpg)
Mwanariadha wa mbio ndefu Hyvon Ngetich alimaliza mita 50 za mwisho kwa kutambaa baada ya kuishiwa na nguvu akiwa karibu na mstari wa kumalizia.Ingawa mwanariadha wa masafa marefu kutoka Kenya Hyvon Ngetich hakufanikiwa kushinda mbio za masafa marefu za Austin mwaka huu bila shaka alifanikiwa kuteka nyoyo za watu kutokana na ujasiri wake wa kutambaa na kuhakikisha kuwa amemaliza mbio hizo.
Hyvon Ngetich mwenye umri wa miaka 29, aliishiwa na nguvu akiwa mita 50 kutoka kwenye mstari wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Feb
Maajabu ya mwanariadha Hyvon Ngetich wa Kenya
10 years ago
BBCSwahili17 Feb
Ngetich apigana hadi mwisho marathon
10 years ago
BBCSwahili28 Sep
Mkenya aweka rekodi mpya ya Marathon
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bf3qBTWMVA-boczHD4*NExK*JZrmFozx1eVjX3tpJ6FglFjY-6OSo27GRQY-a3J1pfoj6pBaKAvu6CXfGxhI48538IYPSKGq/farah.jpg)
MO FARAH AZIRAI, MKENYA GEOFFREY MUTAI AKISHINDA MBIO ZA NEW YORK MARATHON
10 years ago
BBCSwahili18 Feb
Maumivu yamnyima ushindi Hyvon
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Mkenya ''atimuliwa kwa sababu ya rangi''
11 years ago
Mwananchi03 Feb
Mkenya mbaroni kwa cocaine JNIA
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Mkenya anayeendesha maisha kwa kutegemea urefu wa kucha
10 years ago
Habarileo13 Jun
Mkenya, Mrundi jela kwa wizi wa gari, mafuta
RAIA wa Kenya na mwingine wa Burundi waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya wizi wa gari na mafuta ya petroli wamehukumiwa kwenda jela mwaka mmoja kila mmoja, huku Watanzania watatu wakiachiwa huru kwa kukosekana ushahidi.