Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKENYA HYVON NGETICH AMALIZIA MARATHON KWA KUTAMBAA



Mwanariadha wa mbio ndefu Hyvon Ngetich alimaliza mita 50 za mwisho kwa kutambaa baada ya kuishiwa na nguvu akiwa karibu na mstari wa kumalizia.Ingawa mwanariadha wa masafa marefu kutoka Kenya Hyvon Ngetich hakufanikiwa kushinda mbio za masafa marefu za Austin mwaka huu bila shaka alifanikiwa kuteka nyoyo za watu kutokana na ujasiri wake wa kutambaa na kuhakikisha kuwa amemaliza mbio hizo.
Hyvon Ngetich mwenye umri wa miaka 29, aliishiwa na nguvu akiwa mita 50 kutoka kwenye mstari wa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Maajabu ya mwanariadha Hyvon Ngetich wa Kenya

“Nchi yangu haikunituma maili zaidi ya 5,000 kuanza mbio, bali ilinituma zaidi ya maili 5,000 kumaliza mbio,” hiyo ilikuwa ni kauli ya mwanariadha wa Tanzania, John Steven Akwari aliyoitoa mwaka 1968 baada ya kumaliza mbio za marathon katika michezo ya Olimpiki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ngetich apigana hadi mwisho marathon

Ujasiri wa mwanariadha wa Kenya katika mbio za marathon huko Texas, Hyvon Ngetich umemzawadia

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkenya aweka rekodi mpya ya Marathon

Mwanariadha wa Kenya Dennis Kimeto amevunja rekodi ya dunia katika mbio za Marathon mapema leo mjini Berlin nchini Ujerumani.

 

11 years ago

GPL

MO FARAH AZIRAI, MKENYA GEOFFREY MUTAI AKISHINDA MBIO ZA NEW YORK MARATHON

Mo Farah akipatiwa huduma ya kwanza baada ya kuzirai. ...Farah akiinuliwa kutoka eneo la tukio. Wa kwanza kushoto ni mshindi Geoffrey Mutai na wa pili kulia ni mshindi wa tatu Stephen Sambu.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Maumivu yamnyima ushindi Hyvon

Mwanariadha wa Kenya Hyvon Ngetich ameshindwa kutwaa ubigwa wa mbio za marathoni ya Austin huko Texas.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkenya ''atimuliwa kwa sababu ya rangi''

Atimuliwa mashindanoni baada ya kudai kuwa alikuwa amebaguliwa kwa msingi ya rangi yake katika klabu ya gofu ya Karen huko Kenya.

 

11 years ago

Mwananchi

Mkenya mbaroni kwa cocaine JNIA

>Raia wa Kenya anayeishi Mombasa, AbdulRahman Salim, amekamatwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere(JNIA)  akiwa na kete 141 za dawa za kulevya aina ya cocaine zenye thamani zaidi ya Sh119 milioni.

 

11 years ago

Mwananchi

Mkenya anayeendesha maisha kwa kutegemea urefu wa kucha

>Inaweza kuonekana kuwa ni kitu cha ajabu kwa binadamu wa kawaida kukaa bila kukata kucha kwa mwaka moja, lakini kumbe inawezekana kabisa mtu kufuga kucha kwa muda wa miaka 12.

 

10 years ago

Habarileo

Mkenya, Mrundi jela kwa wizi wa gari, mafuta

RAIA wa Kenya na mwingine wa Burundi waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya wizi wa gari na mafuta ya petroli wamehukumiwa kwenda jela mwaka mmoja kila mmoja, huku Watanzania watatu wakiachiwa huru kwa kukosekana ushahidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani