Maumivu yamnyima ushindi Hyvon
Mwanariadha wa Kenya Hyvon Ngetich ameshindwa kutwaa ubigwa wa mbio za marathoni ya Austin huko Texas.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Feb
Maajabu ya mwanariadha Hyvon Ngetich wa Kenya
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/a3NuNObIX7Q/default.jpg)
MKENYA HYVON NGETICH AMALIZIA MARATHON KWA KUTAMBAA
Mwanariadha wa mbio ndefu Hyvon Ngetich alimaliza mita 50 za mwisho kwa kutambaa baada ya kuishiwa na nguvu akiwa karibu na mstari wa kumalizia.Ingawa mwanariadha wa masafa marefu kutoka Kenya Hyvon Ngetich hakufanikiwa kushinda mbio za masafa marefu za Austin mwaka huu bila shaka alifanikiwa kuteka nyoyo za watu kutokana na ujasiri wake wa kutambaa na kuhakikisha kuwa amemaliza mbio hizo.
Hyvon Ngetich mwenye umri wa miaka 29, aliishiwa na nguvu akiwa mita 50 kutoka kwenye mstari wa...
9 years ago
Mtanzania22 Sep
Yanga yamnyima usingizi Kerr
JUDITH PETER NA ABDUCADO EMMANUEL DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dylan Kerr, amesema bado ana wakati mgumu wa kupanga kikosi cha kwanza kutokana na ubora na viwango vya wachezaji wake.
Kerr amekiri kuwa pambano la Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya watani wake Yanga litakalofanyika Uwanja wa Taifa,
Dar es Salaam Jumamosi hii litakuwa na upinzani tofauti na mechi ambazo tayari wamecheza.
Kuelekea mchezo huo wa aina yake, Simba itaingia uwanjani ikiwa imeshinda mechi zake tatu za...
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Al Ahly yamnyima usingizi Hans
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Mahakama yamnyima haki za tendo la ndoa
9 years ago
BBCSwahili18 Aug
Club Brugge yamnyima usingizi van Gaal
11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
Bajeti ya maumivu
HATIMAYE Waziri wa Fedha na Uchumi, Saada Mkuya, juzi aliwasilisha Bajeti Kuu ya Serikali ambayo kwa mtazamo wa haraka haina jipya kwani imeendelea kuacha maumivu kwa mfanyakazi na mwananchi wa...
10 years ago
Mtanzania01 Apr
Gwajima maumivu
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
Ni maumivu. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kutoka Hospitali ya TMJ alikokuwa amelazwa kwa siku tano kwa kutumia baiskeli ya wagonjwa (wheelchair) kwenda Kituo cha Polisi Oysterbay kuhojiwa kwa mara ya pili.
Askofu Gwajima, alipandishwa kwenye baiskeli hiyo, baada ya kupelekewa na mmoja wa wafuasi ambaye alikuwa amevalia mavazi ya kichungaji.
Wakati akipelekwa katika gari Askofu Gwajima, alionekana...