Al Ahly yamnyima usingizi Hans
Kocha wa Yanga, Hans Van Der Pluijm amesema haifikirii Komorozine ya Comoro kwani ni timu dhaifu na anachowaza sasa ni jinsi atakavyowakabili mabingwa watetezi Afrika, Al Ahly ya Misri.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania22 Sep
Yanga yamnyima usingizi Kerr
JUDITH PETER NA ABDUCADO EMMANUEL DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dylan Kerr, amesema bado ana wakati mgumu wa kupanga kikosi cha kwanza kutokana na ubora na viwango vya wachezaji wake.
Kerr amekiri kuwa pambano la Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya watani wake Yanga litakalofanyika Uwanja wa Taifa,
Dar es Salaam Jumamosi hii litakuwa na upinzani tofauti na mechi ambazo tayari wamecheza.
Kuelekea mchezo huo wa aina yake, Simba itaingia uwanjani ikiwa imeshinda mechi zake tatu za...
10 years ago
BBCSwahili18 Aug
Club Brugge yamnyima usingizi van Gaal
10 years ago
BBCSwahili18 Feb
Maumivu yamnyima ushindi Hyvon
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Mahakama yamnyima haki za tendo la ndoa
11 years ago
GPL
CHEZEA USINGIZI WEWE!
10 years ago
Mtanzania08 Sep
Lowassa: Msikose usingizi
Lowassa: Msikose usingizi
*Amwaga ahadi, asema hakuna kura itakayoibwa
*Mnyika amfananisha Dk. Slaa na Samsoni, Delila
NORA DAMIAN NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM
MGOMBEA urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, ameisimamisha tena Dar es Salaam kwa saa kadhaa huku akiwataka Watanzania kutokosa usingizi kwani hakuna kura itakayoibwa.
Lowassa alisema hayo jana jijini Dar es Salaam kwa nyakati tofauti...
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Yanga yamtahadhalisha Hans