Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Al Ahly yamnyima usingizi Hans

Kocha wa Yanga, Hans Van Der Pluijm amesema haifikirii Komorozine ya Comoro kwani ni timu dhaifu na anachowaza sasa ni jinsi atakavyowakabili mabingwa watetezi Afrika, Al Ahly ya Misri.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Yanga yamnyima usingizi Kerr

kerr kazini simba 34JUDITH PETER NA ABDUCADO EMMANUEL DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dylan Kerr, amesema bado ana wakati mgumu wa kupanga kikosi cha kwanza kutokana na ubora na viwango vya wachezaji wake.

Kerr amekiri kuwa pambano la Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya watani wake Yanga litakalofanyika Uwanja wa Taifa,
Dar es Salaam Jumamosi hii litakuwa na upinzani tofauti na mechi ambazo tayari wamecheza.

Kuelekea mchezo huo wa aina yake, Simba itaingia uwanjani ikiwa imeshinda mechi zake tatu za...

 

10 years ago

BBCSwahili

Club Brugge yamnyima usingizi van Gaal

Louis van Gaal amesema presha ni kubwa mchezo dhidi ya Club Brugge katika hatua ya mtoano ligi ya mabingwa ulaya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maumivu yamnyima ushindi Hyvon

Mwanariadha wa Kenya Hyvon Ngetich ameshindwa kutwaa ubigwa wa mbio za marathoni ya Austin huko Texas.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahakama yamnyima haki za tendo la ndoa

Mahakama nchini Uingereza imemzuia mwanamume mmoja kufanya tendo la ndoa na mke wake ambaye ana matatizo ya kiakili

 

11 years ago

GPL

CHEZEA USINGIZI WEWE!

Jamaa huyu amekutana uso kwa uso na kamera yetu, akiwa katika usingizi mzito mida ya mchana pande za Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar na kuzua minong’ono kwa wapita njia ambao hawakufahamu sababu za kuuchapa usingizi eneo hilo. (Picha na Mayasa Mariwata / GPL)

 

10 years ago

Mtanzania

Lowassa: Msikose usingizi

Pg 1Lowassa: Msikose usingizi

*Amwaga ahadi, asema hakuna kura itakayoibwa

*Mnyika amfananisha Dk. Slaa na Samsoni, Delila

 

NORA DAMIAN NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM

MGOMBEA urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, ameisimamisha tena Dar es Salaam kwa saa kadhaa huku akiwataka Watanzania kutokosa usingizi kwani hakuna kura itakayoibwa.

Lowassa alisema hayo jana jijini Dar es Salaam kwa nyakati tofauti...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yamtahadhalisha Hans

>Uongozi wa Yanga umemtaka kocha wa timu hiyo Hans van Der Plyum kupanga timu kwa kuangalia uwezo wa wachezaji na si majina kama alivyokuwa anafanya Ernie Brandts.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani