Mkenya ''atimuliwa kwa sababu ya rangi''
Atimuliwa mashindanoni baada ya kudai kuwa alikuwa amebaguliwa kwa msingi ya rangi yake katika klabu ya gofu ya Karen huko Kenya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog31 May
MAANDAMANO YA KUPINGA UBAGUZI WA RANGI NCHINI MAREKANI, SABABU NA HATARI ZAKE
![Maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi nchini Marekani, sababu na hatari zake](https://media.parstoday.com/image/4bv93bd9a04d931nvue_800C450.jpg)
5 years ago
BBCSwahili21 Jun
Ubaguzi wa rangi Urusi: Hadithi kuhusu dhana potofu za ubaguzi wa rangi
Watu weusi nchin Urusi wameiambia BBC jinsi ubaguzi wa rangi ulivyoyaathiri maisha yao
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzJVcnA3Xm3T62WsfR2ZhnBimLyy0yekPqg-TsBpDonkiWntXfvbSC6rHHAtrOWkgWl4IdnDXWJyN4xPWz-Ud2spJSK0VTyC/AUNTY.gif?width=650)
AUNT ATIMULIWA KWA WEMA!
Stori: iMELDA MTEMA
TIMBWILI la aina yake limetokea nyumbani kwa ‘Beautiful Onyinye’ wa Bongo, Wema Sepetu, kati ya Martin Kadinda na nyota wa filamu za Bongo, Aunt Ezekiel, ‘Kubwa’ lina kisa klizima. Kwa mujibu wa chanzo chetu, gogoro zima lilishika nafasi asubuhi ya Aprili 6, 2014 nyumbani kwa Wema, Makumbusho jijini Dar es Salaam, kufuatia Kadinda ambaye ni meneja wa Wema kumvurumishia...
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Mjane Rorya atimuliwa kwa kumshitaki shemejie
MJANE Pili Samweli (24) mkazi wa Kijiji cha Omuga, Wilaya ya Rorya, Mkoa wa Mara, ametimuliwa nyumbani kwake na ndugu wa mume kutokana na hatua ya kumfikisha polisi mmoja wa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XS0VdRDz2qA/U2NPpWh4jmI/AAAAAAAFe2A/IyWNMyNtB7c/s72-c/unnamed.png)
11 years ago
Mwananchi03 Feb
Mkenya mbaroni kwa cocaine JNIA
>Raia wa Kenya anayeishi Mombasa, AbdulRahman Salim, amekamatwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere(JNIA)Â akiwa na kete 141 za dawa za kulevya aina ya cocaine zenye thamani zaidi ya Sh119 milioni.
11 years ago
BBCSwahili30 May
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Kju_pfIuK0E/XlyFa03P8hI/AAAAAAALgPw/O9nkHsO0C6MHkW85T8UjsghSOuWcR5FFgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200301-WA0220.jpg)
Makete:Mwingine tena atimuliwa na wananchi kwa tuhuma za ushirikina
Na Amiri kilagalila,Njombe
Wananchi wa kitongoji cha Gongoti kijiji cha Ikonda wilayani Makete mkoa wa Njombe wameazimia kumfukuza Bi. Asteria Sanga ambaye alikuwa akiishi kijijini hapo wakimtuhumu kwa vitendo vya ushirikina
Maamuzi hayo yamefikiwa Februari 28, 2020 ikiwa zimepita takribani wiki mbili tangu wananchi wa kitongoji cha Ikonda bondeni kijijini hapo wamfukuze Bw.Mateso Mbilinyi wakimtuhumu kwa vitendo vya ushirikina.
Katika mkutano wa kitongoji hicho wananchi wamemtuhumu mama...
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Kuwa wa kisasa kwa kutoka na rangi ya njano
Kawaida katika fasheni kama ilivyo fani nyingine, mitindo huenda na kurudi. Hivyo si jambo la ajabu kwa sasa kukuta mitindo iliyofanya vizuri kwenye miaka ya themanini inaonekana kuwa juu kwa sasa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania