Mjane Rorya atimuliwa kwa kumshitaki shemejie
MJANE Pili Samweli (24) mkazi wa Kijiji cha Omuga, Wilaya ya Rorya, Mkoa wa Mara, ametimuliwa nyumbani kwake na ndugu wa mume kutokana na hatua ya kumfikisha polisi mmoja wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-96cEqIM3xbI/VS4lRy5XJtI/AAAAAAAHRNk/0ISr9nFcO68/s72-c/02.jpg)
NAMNA YA KUMSHITAKI DAKTARI ALIYESABABISHA MADHARA AU KIFO KWA MGONJWA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-96cEqIM3xbI/VS4lRy5XJtI/AAAAAAAHRNk/0ISr9nFcO68/s1600/02.jpg)
Wako watu wengi wameathirika kutokana na matendo yanayotokana na uzembe,kutojali au makusudi ya madaktari. Wapo waliopata vilema vya muda kutokana na uzembe huo, wapo waliopata vilema vya maisha na wapo waliouliwa na madaktari hawa hawa.
Ajabu ni kuwa ukifanya tathmini ya haraka utaona kuwa watu wote waliopata madhila kutoka kwa madaktari huhusisha madaktari wa serikali na katika hospitali za serikali. Si...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vD-hYj2mu0R-eXJwlMW5sQOKseL8ClAX2uyEVxfdCP1zgrXetpZP8Z46TQsxNr-JPlTmCSzN711G9ngyFSmstYQJlPBcogcM/mjanee.jpg)
MJANE ALIPULIWA KWA PETROLI
11 years ago
Habarileo16 Jul
TSN yatoa msaada kwa mjane
KAMPUNI ya Tanzania Standard Newspapers (TSN) ambayo ni mchapishaji wa magazeti ya Daily News na HabariLeo imempatia Sh 550,500 kwa mjane, Amina Mayove kumwezesha kufungua biashara ndogo ajikimu kimaisha.
11 years ago
Habarileo27 Mar
TAWREF yakabidhi nyumba kwa mjane, yatima
SHIRIKA la Utafiti na Huduma za Jamii (TAWREF) limekabidhi nyumba kwa mjane mwenye ulemavu, Feliciana Massawe anayekabiliwa na jukumu la kulea watoto wawili wilayani hapa.
10 years ago
Mwananchi03 Aug
Theresia , mjane aliyetengwa kwa imani za kishirikina
11 years ago
Mwananchi10 Aug
Mjane aliyeinuka kimaisha kwa kuuza ng’ombe wa urithi
10 years ago
GPLNSSF YATOA MILIONI MBILI KWA MJANE WA GURUMO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzJVcnA3Xm3T62WsfR2ZhnBimLyy0yekPqg-TsBpDonkiWntXfvbSC6rHHAtrOWkgWl4IdnDXWJyN4xPWz-Ud2spJSK0VTyC/AUNTY.gif?width=650)
AUNT ATIMULIWA KWA WEMA!
9 years ago
StarTV15 Nov
Wanafunzi Shule ya Msingi Raranya Rorya wasitishiwa masomo kwa ukosefu wa choo.
Wanafunzi zaidi ya mia tano wa shule ya msingi Raranya wilayani Rorya mkoani Mara wamelazimika kusimama masomo kwa zaidi ya miezi mitano kutokana na shule hiyo kufungwa kwa kutokuwa na choo.
Uongozi wa shule umetoa maelezo hayo kwa mbunge wa jimbo la Rorya Lameck Airo kufanya ziara ya kushutukiza na kukuta shule hiyo haina wanafunzi zaidi ya wa darasa la nne wanaoendelea na masomo.
Akiongea na star tv katika shule ya msingi Raranya ,mwl Magdalena John amekiri kufungwa kwa shule hiyo, huku...