Mjane aliyeinuka kimaisha kwa kuuza ng’ombe wa urithi
Ni katika Viwanja vya Maonyesho ya Nanenane vya John Mwakangale jijini Mbeya ndipo mjane Doroth Myunga anaeleza machungu ya maisha aliyokumbana baada ya kufiwa na mume wake mwaka 2005.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo17 Nov
Mwanafunzi ajinyonga kwa kuzuiwa kuuza ng’ombe
MWANAFUNZI wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Nyandoto wilayani hapa, Peter Mwikwabe (19) amejinyonga kwa kutumia kamba hadi kufa, ikielezwa alikasirishwa na kitendo cha kuzuiwa kuuza ng’ombe wa baba yake.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vD-hYj2mu0R-eXJwlMW5sQOKseL8ClAX2uyEVxfdCP1zgrXetpZP8Z46TQsxNr-JPlTmCSzN711G9ngyFSmstYQJlPBcogcM/mjanee.jpg)
MJANE ALIPULIWA KWA PETROLI
9 years ago
Mtanzania19 Aug
Rais wa Gabon atoa urithi kwa umma
Na Mwandishi Wetu, Mashirika ya Habari
RAIS wa Gabon, Ali Bongo Ondimba ameahidi kutoa sehemu kubwa ya urithi alioachiwa na marehemu baba yake, Omar Bongo kwa vijana wa taifa hilo.
“Kwa macho yangu, sote tu warithi wa Omar Bongo,” Rais alisema wakati akilihutubia taifa jana ikiwa sehemu ya maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa nchi hiyo.
Kiasi rasmi cha urithi wa baba yake ambaye alitawala taifa hilo kwa miaka 41 hadi alipofia madarakani mwaka 2009, bado hakijajulikana, lakini ameripotiwa...
11 years ago
Habarileo16 Jul
TSN yatoa msaada kwa mjane
KAMPUNI ya Tanzania Standard Newspapers (TSN) ambayo ni mchapishaji wa magazeti ya Daily News na HabariLeo imempatia Sh 550,500 kwa mjane, Amina Mayove kumwezesha kufungua biashara ndogo ajikimu kimaisha.
11 years ago
Habarileo09 Mar
Mwanamke adai kunyimwa urithi kwa kuishi na VVU
MWANAMKE mmoja mkazi wa Kimandolu jijini Arusha, Suzy Mrema (40) anayeishi na virusi vya Ukimwi amedai kutengwa na ndugu zake, ikiwa ni pamoja na kunyimwa urithi wa mali za marehemu baba yao kwa madai ya kuwa yeye ni marehemu mtarajiwa.
9 years ago
BBCSwahili18 Aug
Rais wa Gabon ametoa urithi wake kwa umma
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Mjane Rorya atimuliwa kwa kumshitaki shemejie
MJANE Pili Samweli (24) mkazi wa Kijiji cha Omuga, Wilaya ya Rorya, Mkoa wa Mara, ametimuliwa nyumbani kwake na ndugu wa mume kutokana na hatua ya kumfikisha polisi mmoja wa...
10 years ago
Mwananchi03 Aug
Theresia , mjane aliyetengwa kwa imani za kishirikina
11 years ago
Habarileo27 Mar
TAWREF yakabidhi nyumba kwa mjane, yatima
SHIRIKA la Utafiti na Huduma za Jamii (TAWREF) limekabidhi nyumba kwa mjane mwenye ulemavu, Feliciana Massawe anayekabiliwa na jukumu la kulea watoto wawili wilayani hapa.