Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjane aliyeinuka kimaisha kwa kuuza ng’ombe wa urithi

Ni katika Viwanja vya Maonyesho ya Nanenane vya John Mwakangale jijini Mbeya ndipo mjane Doroth Myunga anaeleza machungu ya maisha aliyokumbana baada ya kufiwa na mume wake mwaka 2005.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mwanafunzi ajinyonga kwa kuzuiwa kuuza ng’ombe

Kamanda wa Kanda Maalumu ya Kipolisi ya Tarime/Rorya, Lazaro MambosasaMWANAFUNZI wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Nyandoto wilayani hapa, Peter Mwikwabe (19) amejinyonga kwa kutumia kamba hadi kufa, ikielezwa alikasirishwa na kitendo cha kuzuiwa kuuza ng’ombe wa baba yake.

 

10 years ago

GPL

MJANE ALIPULIWA KWA PETROLI

Stori: Haruni Sanchawa  na Makongoro Oging’ MAMA mmoja mjane, Mwajuma Hamisi Lissu (42) ameteketea kwa moto baada ya nyumba aliyokuwa amelala eneo la Kibamba Hondogo A maarufu Miti Mirefu jijini Dar es Salaam, kulipuliwa kwa petroli usiku wa  Agosti 24, mwaka  huu. Marehemu Mwajuma Hamisi Lissu Enzi za uhai wake. Tukio hilo la kusikitisha inadaiwa linahusishwa  na ugomvi baada ya mama  huyo kuachana na...

 

9 years ago

Mtanzania

Rais wa Gabon atoa urithi kwa umma

Gabon-Ali-Bongo-OndimbaNa Mwandishi Wetu, Mashirika ya Habari

RAIS wa Gabon, Ali Bongo Ondimba ameahidi kutoa sehemu kubwa ya urithi alioachiwa na marehemu baba yake, Omar Bongo kwa vijana wa taifa hilo.

“Kwa macho yangu, sote tu warithi wa Omar Bongo,” Rais alisema wakati akilihutubia taifa jana ikiwa sehemu ya maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa nchi hiyo.

Kiasi rasmi cha urithi wa baba yake ambaye alitawala taifa hilo kwa miaka 41 hadi alipofia madarakani mwaka 2009, bado hakijajulikana, lakini ameripotiwa...

 

11 years ago

Habarileo

TSN yatoa msaada kwa mjane

Bibi Amina Mayove mkazi wa Mbagala Kipati, Dar es Salaam akipokea msaada wa fedha Sh 550,500 za mtaji wa biashara kutoka kwa Ofisa Rasilimaliwatu wa Kampuni ya magazeti ya serikali (TSN), Joseph Kilima jana. Katikati ni Kaimu Mhariri wa gazeti hili, Nicodemus Ikonko. (Picha na Mroki Mroki).KAMPUNI ya Tanzania Standard Newspapers (TSN) ambayo ni mchapishaji wa magazeti ya Daily News na HabariLeo imempatia Sh 550,500 kwa mjane, Amina Mayove kumwezesha kufungua biashara ndogo ajikimu kimaisha.

 

11 years ago

Habarileo

Mwanamke adai kunyimwa urithi kwa kuishi na VVU

MWANAMKE mmoja mkazi wa Kimandolu jijini Arusha, Suzy Mrema (40) anayeishi na virusi vya Ukimwi amedai kutengwa na ndugu zake, ikiwa ni pamoja na kunyimwa urithi wa mali za marehemu baba yao kwa madai ya kuwa yeye ni marehemu mtarajiwa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa Gabon ametoa urithi wake kwa umma

Rais wa Gabon Ali Bongo Ondimba ameahidi kutoa urithi wake wote kwa vijana nchini humo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mjane Rorya atimuliwa kwa kumshitaki shemejie

MJANE Pili Samweli (24) mkazi wa Kijiji cha Omuga, Wilaya ya Rorya, Mkoa wa Mara, ametimuliwa nyumbani kwake na ndugu wa mume kutokana na hatua ya kumfikisha polisi mmoja wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Theresia , mjane aliyetengwa kwa imani za kishirikina

“Igogoo, Igogoo, Igogoo, Igogoo.” Ni kelele za sauti nzito, zilizonishitua baada ya kufika Ofisi ya Serikali, Kata Lwamgasa, Kijiji cha Lwamgasa mkoani Geita nilipofika kikazi na baada ya kuuliza wenyeji kulikoni nikajibiwa kuna mama  anayedaiwa mshirikina aliyetengwa na familia yake sasa anaishi jirani na ofisi hiyo na ndipo zinatoka kelele hizo.

 

11 years ago

Habarileo

TAWREF yakabidhi nyumba kwa mjane, yatima

SHIRIKA la Utafiti na Huduma za Jamii (TAWREF) limekabidhi nyumba kwa mjane mwenye ulemavu, Feliciana Massawe anayekabiliwa na jukumu la kulea watoto wawili wilayani hapa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani