Rais wa Gabon atoa urithi kwa umma
Na Mwandishi Wetu, Mashirika ya Habari
RAIS wa Gabon, Ali Bongo Ondimba ameahidi kutoa sehemu kubwa ya urithi alioachiwa na marehemu baba yake, Omar Bongo kwa vijana wa taifa hilo.
“Kwa macho yangu, sote tu warithi wa Omar Bongo,” Rais alisema wakati akilihutubia taifa jana ikiwa sehemu ya maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa nchi hiyo.
Kiasi rasmi cha urithi wa baba yake ambaye alitawala taifa hilo kwa miaka 41 hadi alipofia madarakani mwaka 2009, bado hakijajulikana, lakini ameripotiwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili18 Aug
Rais wa Gabon ametoa urithi wake kwa umma
Rais wa Gabon Ali Bongo Ondimba ameahidi kutoa urithi wake wote kwa vijana nchini humo.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-lXcUHSzyzfg/VKuK7NdhFqI/AAAAAAAG7nk/7NiUhcVy178/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-01-06%2Bat%2B10.11.09%2BAM.png)
KAMANDA MPINGA ATOA ONYO KWA WAMILIKI WA MITANDAO YA KIJAMII INAYOPOTOSHA UMMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-lXcUHSzyzfg/VKuK7NdhFqI/AAAAAAAG7nk/7NiUhcVy178/s1600/Screen%2BShot%2B2015-01-06%2Bat%2B10.11.09%2BAM.png)
KAMANDA wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania (Trafic), Mohamed Mpinga (pichani), ametoa onyo kwa baadhi ya wamiliki wa mitandao ya kijamii kuacha kusambaza taarifa ambazo hazijafanyiwa uchunguzi na kuthibitika kama zina ukweli ndani yake.
Kamanda Mpinga, ameyasema hayo jijini Dar es Salaam wakati alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu tukio la baadhi ya mitando kusambaza taarifa kuwa kulikuwa na basi la Kampuni ya Dar Express limepata ajali.
Alisema, onyo hilo...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iQfpjMn7KaY/Vjnr3r_ovBI/AAAAAAAIEFY/jQlDstxroWc/s72-c/New%2BPicture.png)
RAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA PONGEZI KWA RAIS MTEULE WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANANIA,JOHN POMBE MAGUFULI
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS![](http://2.bp.blogspot.com/-iQfpjMn7KaY/Vjnr3r_ovBI/AAAAAAAIEFY/jQlDstxroWc/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARISalamu za pongezi kwa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli zimeanza kumiminika nchini, za kwanza zikiwa zimetumwa na Rais wa Rwanda, Mheshimiwa Paul Kagame na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kiarabu ya Saharawi Mheshimiwa Mohammed Abdelaziz.
Katika salamu zake kwa Rais Mteule Magufuli, Rais wa Rwanda Mheshimiwa Kagame amesema: “Kufuatia...
![](http://2.bp.blogspot.com/-iQfpjMn7KaY/Vjnr3r_ovBI/AAAAAAAIEFY/jQlDstxroWc/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARISalamu za pongezi kwa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli zimeanza kumiminika nchini, za kwanza zikiwa zimetumwa na Rais wa Rwanda, Mheshimiwa Paul Kagame na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kiarabu ya Saharawi Mheshimiwa Mohammed Abdelaziz.
Katika salamu zake kwa Rais Mteule Magufuli, Rais wa Rwanda Mheshimiwa Kagame amesema: “Kufuatia...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lu7fZBLnWM0/VdzP08A2dNI/AAAAAAAHz_0/jiVDwEF4Sd4/s72-c/tume1.jpg)
9 years ago
BBCSwahili14 Sep
Rais wa Gabon aishtumu Ufaransa
Rais wa Gabon Ali Bongo amesema kuwa kukamatwa kwa mkuu wa majeshi mjini Paris mnamo mwezi Agosti ni jaribio la kuifedhehesha Gabon.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-n6WCy76NYlo/XsrRZCNIvrI/AAAAAAALrb0/BwEHMz86BIEayHjMPsKMJVSqdMTzz0bswCLcBGAsYHQ/s72-c/1-25.jpg)
PROF. KABUDI ATOA SHUKRANI KWA WATANZANIA KWA NIABA YA RAIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-n6WCy76NYlo/XsrRZCNIvrI/AAAAAAALrb0/BwEHMz86BIEayHjMPsKMJVSqdMTzz0bswCLcBGAsYHQ/s640/1-25.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-16.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akitoa salamu za shukrani...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BIYYbwD8fT8/VhiUV65ruVI/AAAAAAAApvA/0FnoBGrSqrQ/s72-c/1.jpg)
11 years ago
MichuziOFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA YAKUTANISHA WADAU KUTOA MAONI KUHUSU MIKATABA YA UTENDAJI KAZI KATIKA TAASISI ZA UMMA
5 years ago
MichuziKIWANDA KURUDISHA SHUKRANI KWA RAIS MAGUFULI KWA KUGAWA CHAKI BURE ...DC JOKATE MWEGELO ATOA NENO
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani Jokate Mwegelo(aliyevaa nguo nyekundu),Katibu Tawala wa wilaya hiyo Tella Mwampamba(kulia) wakiwa na baadhi ya wafanyakazi na viongozi wa kiwanda cha kutengeneza chaki cha Mkongoma General Supply Ltd wakishuhudia taa zikiwaka baada ya Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) wilayani humo kupeleka umeme katka kiwanda hicho.
Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda cha Mkongoma General Supply Ltd Geoffrey Mkongoma (kulia) akifafanua jambo kwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania