Rais wa Gabon aishtumu Ufaransa
Rais wa Gabon Ali Bongo amesema kuwa kukamatwa kwa mkuu wa majeshi mjini Paris mnamo mwezi Agosti ni jaribio la kuifedhehesha Gabon.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania19 Aug
Rais wa Gabon atoa urithi kwa umma
Na Mwandishi Wetu, Mashirika ya Habari
RAIS wa Gabon, Ali Bongo Ondimba ameahidi kutoa sehemu kubwa ya urithi alioachiwa na marehemu baba yake, Omar Bongo kwa vijana wa taifa hilo.
“Kwa macho yangu, sote tu warithi wa Omar Bongo,” Rais alisema wakati akilihutubia taifa jana ikiwa sehemu ya maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa nchi hiyo.
Kiasi rasmi cha urithi wa baba yake ambaye alitawala taifa hilo kwa miaka 41 hadi alipofia madarakani mwaka 2009, bado hakijajulikana, lakini ameripotiwa...
9 years ago
BBCSwahili18 Aug
Rais wa Gabon ametoa urithi wake kwa umma
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Mlinzi wa Rais Gabon awanoa walimu wa Taekwondo Arusha
ALIYEWAHI kuwa mlinzi wa Rais wa zamani wa Gabon, Omar Bongo, Jin Yung Kim, ameanza kuwanoa walimu wa mchezo wa taekwondo mjini Arusha katika mafunzo yaliyoanza juzi. Awali Shirikisho la...
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-231cf0zEJRE/VMpHhX-0Q0I/AAAAAAACy4k/UDrpoboyvaM/s1600/h2.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA UFARANSA FRANCOIS HOLLANDE JIJINI PARIS
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Q86NUVMT8ZE/VMpJoMSMB2I/AAAAAAAHAL4/7CaC8wZsKW4/s72-c/h2.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UFARANSA FRANCOIS HOLLANDE JIJINI PARIS
![](http://1.bp.blogspot.com/-Q86NUVMT8ZE/VMpJoMSMB2I/AAAAAAAHAL4/7CaC8wZsKW4/s1600/h2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-N6Stjz-dmzg/VMpJoV6Rj6I/AAAAAAAHAL8/AUdyG0NOAdI/s1600/h3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-AUX-ShPiuC4/VMpJoheXy3I/AAAAAAAHAMA/3iXCjNe8HgY/s1600/h4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qnx5OvXcXGk/VMpJqT-IBsI/AAAAAAAHAMQ/8mwKZsk2wqo/s1600/h5.jpg)
10 years ago
BBCSwahili27 Jan
Kocha wa Senegal aishtumu West Ham
9 years ago
Bongo501 Oct
Mke aliyetelekezwa na Rais tajiri wa Gabon Ali Bongo aomba talaka, ni mmarekani anayeishi LA!
10 years ago
BBCSwahili23 Dec
Rais wa Ufaransa awatuliza raia wake