Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais wa Ufaransa awatuliza raia wake

Rais wa Ufaransa amewataka raia wake wasishtushwe na visa vya kushambuliwa kwa polisi na raia katika kipindi cha siku kadhaa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Zari awatuliza wabaya wake

ZARINA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MPENZI wa msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Nassib Abdul ‘Dimond’, Zarinah Hassab ‘Zari The Boss Lady’, amewakata mdomo waliokuwa wakimbeza kuwa hana ujauzito kwa kuweka picha kwenye mtandao wake wa Instagram akionyesha ‘kitumbo’ chake.
Watu mbalimbali walikuwa wakionyesha kutokuamini ujauzito wa mrembo huyo, huku wengine wakidai kuwa ni ya kutengeneza.
Msanii huyo wa Uganda, Zari, ambaye amekuwa kimya, juzi aliamua kuweka picha zake mbili kwenye mtandao wake...

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa Argentina awaaga raia wake

Rais wa Argentina aliyemaliza muda wake , Cristina Fernandez de Kirchner, amewaaga maelfu ya wafuasi wake mjini wa Buenos Aires.

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA WAZIRI WA NCHI MAENDELEO NA FRANCOPHONIE WA UFARANSA NA UJUMBE WAKE, LEO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na kumkaribisha Ofisini kwake Waziri wa Nchi Maendeleo na Francophonie wa Ufaransa Mhe. Annick Girardin, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu Dar es salaam leo April 09, 2015.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Waziri wa Nchi Maendeleo na Francophonie wa Ufaransa Mhe. Annick Girardin aliyeongoza ujumbe wa watu tisa, wakati alipofika...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UFARANSA FRANCOIS HOLLANDE JIJINI PARIS

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika Ikulu ya Ufaransa maarufu kama Champs L’Elysee jijini Paris Jumatano jioni Januari 28, 2015 kuonana na mwenyeji wake Rais Francois Hollande. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na mwenyeji wake Rais Francois Hollande katika Ikulu ya Ufaransa maarufu kama Champs L’Elysee jijini Paris Jumatano jioni Januari 28, 2015.Rais Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wake wakiwa katika mazungumzo na mwenyeji wake kuonana na mwenyeji wake Rais Francois Hollande...

 

10 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA UFARANSA FRANCOIS HOLLANDE JIJINI PARIS

  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika Ikulu ya Ufaransa maarufu kama Champs L’Elysee jijini Paris Jumatano jioni Januari 28, 2015 kuonana na mwenyeji wake Rais Francois Hollande.…

 

10 years ago

Mwananchi

Ufaransa yakanusha uchumi wake kuyumba

Ufaransa imekanusha taarifa za kuyumba kwa uchumi wao na kusisitiza kuwa bado uko imara katika maendeleo.

 

10 years ago

Michuzi

Mh. Mahenge akutana na Balozi wa Ufaransa aliyemaliza muda wake hapa nchini

Balozi wa Ufaransa aliyemaliza muda wake hapa nchini Bw.Marcel Escure (pili kushoto), akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mh. Dk. Eng Binilith Satano Mahenge, alipokwenda kumuaga ofisini kwake mtaa wa Luthuli jijini Dar es Salaam na kumtambulisha kuu wa mahusiano mpya bwana Philippe Boncour wa (tatu kushoto) atakayekuwepo hapa Nchini . Wa kwanza kulia ni Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Dk. Julius Ningu. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mh. Dk. Eng...

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani:'Sudan inashambulia raia wake'

Marekani imeadai kuwa Sudan inaendeleza mashambulio dhidi ya raia katika majimbo ya Kordofan kusini na Blue Nile .

 

10 years ago

BBCSwahili

Misri kuwaondosha raia wake Libya

Rais wa Misri Abdul Fattah al-Sisi ametoa ombi la kuwaondosha kwa ndege raia wa Misri wanaoshi nchini Libya

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani