Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Misri kuwaondosha raia wake Libya

Rais wa Misri Abdul Fattah al-Sisi ametoa ombi la kuwaondosha kwa ndege raia wa Misri wanaoshi nchini Libya

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mubarak:Raia waandamana Misri

Vikosi vya usalama nchini Misri vimepambana na waandamanaji 2000 karibu na eneo la Tahrir Square mjini Cairo.

 

10 years ago

Vijimambo

Misri yaishambulia ISIS Libya

Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri akiwafariji wakuu wa Kanisa la CopticNdege za kijeshi baada ya kutekeleza mashambulizi LibyaWaumini wa kanisa la Coptic wakiandamana nje ya mojawepo ya makani yao MisriJamaa ya marehemu wakiomboleza
uu wa kanisa la Coptic Taarifa kutoka Misri zasema kuwa, ndege za kijeshi zimewashambulia wapiganaji wa jihadi nchini Libya kwa mabomu, baada ya kutolewa kwa mkanda wa video ulioonyesha wakristo wa Misri wa madhehebu ya Coptic wakikatwa shingo.

Jeshi la Misri...

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia Misri wapinga hukumu ya Mubarak

Polisi nchini Misri wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya waandamanaji wanaopinga hatua ya mahakama nchini humo.

 

10 years ago

StarTV

Misri yashambulia wapiganaji wa ISIS Libya

Taarifa kutoka Misri zasema kuwa, ndege za kijeshi zimewashambulia wapiganaji wa jihadi nchini Libya kwa mabomu, baada ya kutolewa kwa mkanda wa video ulioonyesha wakristo wa Misri wa madhehebu ya Coptic wakikatwa shingo.

Jeshi la Misri linasema kuwa limelenga kambi za Islamic State, kituo cha mafunzo na maghala ya silaha, katika shambulizi hilo la mapema leo alfajiri.

Walioshuhudia wanasema kuwa, mji wa Derna ulioko mashariki mwa Libya na ambao umetekwa na wapiganaji wa jihadi ndio...

 

11 years ago

BBCSwahili

Raia wa Libya kuwachagua wabunge wapya

Upigaji kura umeanza nchini Libya ambapo raia wanachagua bunge jipya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kanal na dereva wake wauawa,Misri

Kanali mmoja wa polisi Nchini Misri na dereva wake wamepigwa risasi na kuuawa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Qatar yamuondoa Balozi wake Misri

Qatar yamuondoa Balozi wake nchini Misri baada ya kushutumiwa kuwaunga mkono wapiganaji wa IS nchini Libya

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa Argentina awaaga raia wake

Rais wa Argentina aliyemaliza muda wake , Cristina Fernandez de Kirchner, amewaaga maelfu ya wafuasi wake mjini wa Buenos Aires.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa Ufaransa awatuliza raia wake

Rais wa Ufaransa amewataka raia wake wasishtushwe na visa vya kushambuliwa kwa polisi na raia katika kipindi cha siku kadhaa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani