Misri yashambulia wapiganaji wa ISIS Libya
Taarifa kutoka Misri zasema kuwa, ndege za kijeshi zimewashambulia wapiganaji wa jihadi nchini Libya kwa mabomu, baada ya kutolewa kwa mkanda wa video ulioonyesha wakristo wa Misri wa madhehebu ya Coptic wakikatwa shingo.
Jeshi la Misri linasema kuwa limelenga kambi za Islamic State, kituo cha mafunzo na maghala ya silaha, katika shambulizi hilo la mapema leo alfajiri.
Walioshuhudia wanasema kuwa, mji wa Derna ulioko mashariki mwa Libya na ambao umetekwa na wapiganaji wa jihadi ndio...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo16 Feb
Misri yaishambulia ISIS Libya
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/02/16/150216114501_egypt_sisi_640x360_ap.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2015/02/16/150216114410_egypt_strikes_640x360_afp.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2015/02/16/150216074007_coptic_christians_640x360_ap_nocredit.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2015/02/15/150215202718_egypt_copts_protest_640x360_reuters_nocredit.jpg)
uu wa kanisa la Coptic Taarifa kutoka Misri zasema kuwa, ndege za kijeshi zimewashambulia wapiganaji wa jihadi nchini Libya kwa mabomu, baada ya kutolewa kwa mkanda wa video ulioonyesha wakristo wa Misri wa madhehebu ya Coptic wakikatwa shingo.
Jeshi la Misri...
10 years ago
BBCSwahili17 Aug
Marekani yashambulia wapiganaji wa Iraq
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iPu63cE5yCAXpOYH-RyBMwo77IAWjdJ6*McTBevDHudbBlalyHEGelbKvJJonFFHsK9I*MURD1C*DQffKKJbiwnV1qnn1joM/MATEKA.jpg)
WAPIGANAJI WA ISIS WATOA ONYO LINGINE KWA MAREKANI
10 years ago
BBCSwahili01 Jul
10 years ago
BBCSwahili07 Feb
Wapiganaji 27 wauawa Misri
10 years ago
BBCSwahili02 Jul
Majeshi ya Misri yaua wapiganaji wa IS
11 years ago
BBCSwahili30 Apr
Wapiganaji wavamia bunge Libya
10 years ago
BBCSwahili27 Jan
Wapiganaji waiteka nyara hoteli Libya
10 years ago
BBCSwahili01 Sep
Wapiganaji wateka wizara za serikali Libya